Dkt. Mwigulu: Chanjo za Corona zimefanyiwa utafiti nchi za baridi zitawafaaje watu wa Dar es Salaam?

HAHAHAHAHAHAHAAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAH🤣
 
You can forgive Magufuli ukisikiliza hoja zake unaona tatizo la msingi ni psychological barrier (mistrust ambayo misingi yake ni ngumu kuelewa, if you ask me it’s due to misinformation).

Ni mambo ya kawaida kwenye medical intervention yeye sio kwanza kuwa na ‘unfounded fear’ matter of fact sasa hivi nchi kama UK wana campaign kubwa ya ushawishi kwa baadhi ya raia wao haswa jamii za kutoka East Asia na Black communities, wengi wana psychological barriers na chanjo.

Unaweza elewa pia wakati mgumu wanaopitia wataalamu wa wizara ya afya kukwepa health promotion kadhaa ili watu wachukue tahadhari zaidi, kwa uoga wa kupoteza ajira zao kwa siasa za Tanzania.

Lakini ni jambo la kushangaza sana waziri tena msomi mwenye PhD, ambae hana ulazima wa kutoa matamko kwa sababu hiyo sio wizara yake; kuja adharani na kujidhalilisha kwa kuongea ujinga kama huo yote kwa sababu tu, za kujipendekeza.
 
Kwanza mlisema covid haiwezi kushambulia sehemu za joto, inawatesa hao wazungu huko Ulaya. Kilichofuatia wote mmekiona.

Chanjo yenu ya majaribio ya nchi za joto itatoka lini?
 
Dr Mwigulu Nchemba baada ya kupata title ya Udokta (PhD) anahisi na yeye ameshafuzu uMD

Uchumi na Afya wapi na wapi??
Pathetic!!
Kosa wanalofanya ni kuhisi kwamba virus wa COVID-19 ni kama.vya mafua na havitambi nchi za joto. Ndiyo maana Daktari huyu mpya anasema watutengenezee chanjo yetu ya nchi za joto!!
 
Atuambie za kwenye joto tunazoweza kutumia zikowapi aache longolongo.
 
[emoji106]
 
Lakini ni jambo la kujidharaurisha sana waziri tena msomi mwenye PhD, ambae huna ulazima wa kutoa matamko kwa sababu hiyo sio wizara yake; kuja adharani na kujidhalilisha kwa kuongea ujinga kama huo yote kwa sababu za kujipendekeza.
 
Hao wanaoendesha hicho kipindi wanapaswa kumuuliza swali hili: Kwani chanjo nyingine zote zinazotumika hapa nchini zimetoka wapi?
 
Dawa zote huwa zinafanyiwa utafiti huko first world kwenye baridi na huwa zinatufaa
Huwa nachukia sana siasa lakini the fact kwamba siasa inauwezo wa kuingilia hata namna unavyoishi linaniacha red faced. 2q4aalamu waliotakiwa kutupa mwongozo wameachwa , tunarespond kwa politicians.
 
Hao wanaoendesha hicho kipindi wanapaswa kumuuliza swali hili: Kwani chanjo nyingine zote zinazotumika hapa nchini zimetoka wapi?
 
Sosa wanalofanya ni kuhisi kwamba virus wa COVID-19 ni kama.vya mafua na havitambi nchi za joto. Ndiyo maana Daktari huyu mpya anasema watutengenezee chanjo yetu ya nchi za joto!!
Ngoja ianze kuwala na wao ndiyo akili zitawajia.

Ila nimeamini Baba akiwa haeleweki ndiyo chanzo cha kushuka kwa maadili hata ya familia.

Angalia Triangle yetu ya uongozi from top then angalia mashudu yanayoshuka chini.

#KilioChetu🙆🙆
 
Mwigulu nchemba na yeye siku hizi ni dokta wa binadamu?
 
Ni kukosa kuheshimu taaluma za watu.

Pia anataka kuibua mjadala mwingine ambao nadhani akitakiwa kutoa majibu, ataanza kutumia mwamvuli wa mamlaka aliyonayo.
1.Ni akina nani hao waliochanjwa kimya kimya?
2.Nini kimewakuta?
3.Nani amethibitisha kitaalamu kuwa ni athari za chanjo walizopata?
4.Je, wapo tayari kuweka wazi ukubwa wa tatizo nankuelekeza/kushauri kitaalamu njia sahihi za kujilinda ambazo ni matokeo ya tafiti?

Maswali ni mengi


Sent from my Rocket using http://r.tapatalk.com/byo?rid=77694 Wi-Fi
 
Kumbe Kijazi alimtoroka jiwe akaenda kuchanjwa kimya kimya,ngoja tusubiri Kaboud arudi tuone kama naye hatapass away

Kuna kama kaukweli Fulani hivi,inaonekana wateule wa jiwe waliona njia pekee ya kuepuka kuvaa barakoa mbele ya Jiwe ni kutoroka na kupata chanjo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…