Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii imekaa vizuri wengi wanashindwa kufanya interview sababu ya mkinzano na ujuzi mdogo wa kmanagea
Utachagua itumike lugha gani wakati wa usahiliImekaa vibaya,tuseme umesomea HR manage management au engineering,utaulizwa Nini Sasa kwa kiswahili ? Mimi binafsi ukiniuliza maswali kwa kiswahili vitu vingi sijui
Mimi naweza kusema nafahamu kiingereza vizuri kuliko kiswahili
Mambo ya uchumi yamemshinda sasa kahamia kwenye kiswahili.Kiswahili ndio lugha yetu inatambulika SADC na Umoja wa Afrika. Wazri wa fedha ahoji sababu ya kufanya usaili wa watumishi wa serikali kwa lugha ya kiingereza na kushindwa kukipa nguvu Kiswahili.
Ameshauri kishwahili kitumike katika usaili
Kusoma unasoma kwa kizungu. Interviews kwa kiswahiliKiswahili ndio lugha yetu inatambulika SADC na Umoja wa Afrika. Wazri wa fedha ahoji sababu ya kufanya usaili wa watumishi wa serikali kwa lugha ya kiingereza na kushindwa kukipa nguvu Kiswahili.
Ameshauri kishwahili kitumike katika usaili
Imekaa vibaya,tuseme umesomea HR manage management au engineering,utaulizwa Nini Sasa kwa kiswahili ? Mimi binafsi ukiniuliza maswali kwa kiswahili vitu vingi sijui
Mimi naweza kusema nafahamu kiingereza vizuri kuliko kiswahili
CCM haina timu bwashee.Kuna kitu amekisema kina ukakasi mbaya sana: kusamehe kodi kwa nyasi bandia kwa viwanja vya michezo/mpira kadhaa kama Arusha, Mwanza, Mbeya n.k. Maana yake ni kwamba ccm inaweka nyasi bandia viwanja vyake bila kulipia kodi.
Hiki ndo Kingereza unachovimbia.!!Siwezi kusoma miaka 10 kumi kwa kingereza . Miaka minne O'level na miaka sita on my professional alafu mtu ani-intreview kwa Kiswahili,…….
Leta ung'eng'e huohuo tutapambana tu.. kama ipo ipo tu.
I would nimesoma taaluma yangu kwa Kiswahili hapo sawa, So kama wanataka hv basi na mavyuoni watumie kiswahili
Kusoma unasoma kwa kizungu. Interviews kwa kiswahili
Ina maana mtu akikuuliza utakayofanya juu ya au kuhusiana na taaluma yako utashindwa kumwelezea kweli? Yaani utashindwa kujieleza kuwa nafanya au nitafanya hivi na vile? Labda umekariri tu na hujui unachokifanya au utakachofanya sambamba na taaluma yako.Siwezi kusoma miaka 10 kumi kwa kingereza . Miaka minne O'level na miaka sita on my professional alafu mtu ani-intreview kwa Kiswahili,...
Bora umemwuliza hivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiki ndo Kingereza unachovimbia.!!
Anayejuwa taaluma yake hashindwi kueleza afanyacho.Huu nao mtihani sasa maneno mengine kutafsiri sijui itakuwaje, Watanzania tusiogope lugha za kigeni tujifunze, hii ya Kiswahili ingekuwa kwa wale wanaoletewa interview za Kiswahili ila huku juu lugha iendelee au waruhusiwe kuchanganya lugha.
HahaaaHiki ndo Kingereza unachovimbia.!!