YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Uko sahihiKuwe na option kwenye interview mtu achague lugha anayotaka kujieleza
Sababu nchi bado ina mifumo miwili ya swahili medium schools na English medium.schools Mtu achague interview ahojiwe kwa Lugha ipi.Ila kwa level ya digrii sidhani kama mtu atakubali interview ahojiwe kwa kiswahili.Atapata shida ya kufa mtu kutafuta maneno ya kiswahili
Fikiria umesoma electrical engineering
Halafu upigwe maswali ya kiswahili.Kwanza waandaaji maswali wenyewe ya kiswahili utawatoa wapi sababu wao wenyewe wamesoma kwa kiingereza hiyo fani
Ni.kupotezeana muda tu