YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Akihojiwa kingereza alichosomea sekondari hadi chuo kikuu huwezi jua kuwa kwenye kichwa ana kitu?Hapana, kiingereza kiendelee kutumika kwa usaili wa wasomi wa ngazi ya degree kwenda juu!
... ni njia sahihi kabisa ya kujua kama kuna chochote ndani ya fuvu husika!
Ujue na anayeendesha interview kasoma Vyuo hivyo hivyo alivyosoma huyo anayemhoji au naye fuvu la kichwa kingereza hakipandi ndio maana anataka a interview kiswahili? Wakutane waswahili watupu Mafuvu matupu ambayo wote kingereza hakipandi kuanzia anaye hoji na anayehojiwa