Hata kama kinatambulika SADC au AU, bado kiswahili hakifai kwa kufundishia, kuna vitu vingi vinakosekana kwenye lugha ya kiswahili....maneno mengi ya science. Ebu acheni siasa, watoto wenu mnawafunza English, wetu wakajifunze Kiswahili? Huu ni ujinga mkubwa, kwani tukitumia English kuanzia darasa la kwanza tatizo lipo wapi? Pia kujua lugha zaidi ya moja ni kosa? Kuna rafiki anajua lugha tano...na huko kwenye kazi anapeta ile mbaya, yaani English ipo juu, French, Kiswahili, Kinyarwanda, Luganda na Espanol. Mbona hajapungukiwa chochote....mbona kuna watu wanaongea lugha zetu za kikabila vizuri, kwanini tushindwe English lugha rahisi, hapo uweze kupata kazi nzuri? Acheni uvivu watanzania.