Dkt. Mwingulu Nchemba awataka Wabunge kujadili sheria wakati wa Utungwaji na Siyo Wakati wa utekelezaji Wake

πŸ˜‚

Nimewaona Wakenya wanajadili Finance Bill ya 2024/25 kwenye Media zote

Hapa Bongo wengi hawajui Finance Bill ni nini wanashabikia Mijadala ya sidiria tu

Dr Mwigullu yuko sahihi
Wabunge wa CCM wanapatikana kwa rushwa na ushirikina, wapo busy na kuiba mali za umma wapate utajiri
 
Tanzania ni nchi ya kijinga sn haina mifumo sahihi zaidi tunaishi kwa utashi na hisani ya Rais inategemea ameamkaje siku hiyo.
 
Wabunge wa CCM ni wajinga sn wao huwa hawasomi zaidi huwa wanashangilia na kupitisha hata hawajui kilichomo, Ndugai amewahi kushangaa sheria kama ilipita bungeni na wakati yeye alikuwa Spika. Jinga sn
Jenga hoja na siyo matusi mdogo wangu
 
On top of that, Kila anayemiliki simu na tunaambiwa kuwa Kuna laini za simu zaidi ya milioni 60 nchini na Kila laini ya simu, Kila inapofanya muamala wa pesa, inalipa Kodi

Hivi unawezaje kusema walipa Kodi nchini ni less than 10%?😚
 
Hawa waliopitisha mkataba wa bandari? We kijana no taka taka ya Taifa kabisa.
 
Kwani mkataba wa bandari una shida gani? Usipende kusikiliza porojo za watu mitandaoni wenye lengo la kupotosha ukweli
Wale mambwana wametupa account Mpya za kwao za kulipia tozo mbali mbali na hawajaweka hata mchanga kama kuendeleza so now wanakula vyetu.

Unajua Hilo? Nikikuambia wewe ni kijana takataka utakataa.
 
Sheria inaweza kupitishwa kwa dhamira njema na baadaye ikaonekana kuwa mzigo kwa watu. Ndio maana kunafanyika marejeo na masahihisho kuendana na wakati.
Umerudi pale pale na tumekubaliana Wanaozipinga sheria baada ya kupitishwa wanahoja na sio vitisho vya Mwigulu kwamba watu wahoji kipindi zinatungwa tu na zikishapitwa ni utekelezaji!
 
Kwa wabunge wa CCM kusoma muswada, kuulewa na kuuhoji kwa kina ni ndoto ya alinacha!
Wao kila kitu ni ndioooooooooooooooo!
 
Kwa hiyo nayo hii ni stori?
 
πŸ˜‚

Nimewaona Wakenya wanajadili Finance Bill ya 2024/25 kwenye Media zote

Hapa Bongo wengi hawajui Finance Bill ni nini wanashabikia Mijadala ya sidiria tu

Dr Mwigullu yuko sahihi
Hapana! Watawala wanafurahi na wanaweka mazingira magumu kwa wananchi ili wasishiriki ili iwe rahisi kuwaibia

Huyu dk anajifanya ana uchungu sana mwalimu kulipa Kodi alafu wafanyabiashara wasilipe Kodi.

Sawa lakini je wabunge na wakuu wenye nchi wanalipa Kodi, wanalipa nssf au bima ya afya??

Ccm huwalazomisha, huwaadaa, huwalewesha na kuwapumbaza wabunge kabla ya kupeleka miswada bungeni,

Wabunge hustuka ayari weishapitisha Sheria mbovu na kandamizi

Kwanza waache michexo michafu wawaache wabunge wawe huru
Watungie Sheria nzuri

Hivi ni kweli walipitisha uuzwaji wa bandari kwa hiari yao??
 
Alichosema waziri sio sahihi

Mfano.mimi nimeingia bungeni Leo Naona Kuna Sheria iliyopitishwa huko nyuma sio sahihi lazima nitaipinga bungeni Ukiniambia nilitakiwa kujadili wakati inapitishwa sio kweli.Kuna Sheria mfano zilipitishwa na wabunge Miaka ya sitini huko wakati hata wabunge wa Sasa hawakuwepo huwezi zuia wasijadili kuwa walitakiwa kujadili wakati inapitishwa
 
Kama kukipa Kodi kutenda Haki.kila mtu alipe Kodi ikiweko Raisi ,mawaziri na wabunge

Hilo jukumu.la kulipa Kodi ni la wananchi tu wengine ? Ncho hii Ina matabaka kwenye ulipaji Kodi bunge lijitafakari pamoja na Raisi mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…