Pre GE2025 Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
πŸ†’πŸ“πŸ€πŸ™πŸŽ
 
Nchimbi awaite Waandishi wa Habari wa CNN MSNBC Al Jazeera TV 5 BBC n.k n.k awaeleze haya wayabandike huko kwao.

Hizi ni Ngonjera za Kinafiki.

LUHANGA MPINA ajibiwe hoja zake.
Keyboard drop
 
Hebu acheni kutufanya wapumbavu kiasi hicho.Ni kipi tunachoweza kujivunia kuwa ni maendeleo kitaifa,angalau kiwe ni alama ya utawala huu?Sanasana ni hali ya wananchi kurudishwa nyuma miaka 10+.
 
Ule utawala wa maisha bora kwa kila mtanzania ulisababisha baadhi ya watu kuwaza na kusema ''bora kuzaliwa/angezaliwa mbwa/paka ulaya kuliko hali ya maisha anayoishi Tanzania akiwa binadamu ,ni rahisi kuona/kuhisi ni mawazo ya kijinga, lakini ilidhihirisha hali ngumu anayo/wanayo ipitia.Lakini kwa hali iliyopo sasa hivi,ni bora ya utawala ule.
 
Ukishakuwa na perception ya kwamba unatawaliwa / utawala ni sawa na sio kwamba hawa ni watumishi wetu tunaowalipa na tumewapa vyeo kama dhamana utaendelea kuona kila kinachofanyika ni Hisani na sio wajibu..., hence hata ukipewa pungufu utashukuru na sio kuhoji kwanini hakiendani na malipo unayowapa...
 
Ni kweli kuwa hawa n[viongozi]ni watumishi wetu kama ambavyo JPM alivyokuwa akiwasisitiza wasaidizi wake kuwa wananchi [walipa kodi]ndio waajiri wao...Ni kwanini hatuna nguvu/uwezo wa pamoja wa kuwawajibisha wanapo kosea,kama ilivyo kwa baadhi ya mataifa mengine ?Hapo ndipo tatizo lilipo,katiba na sheria zetu zimekuwa kinga yao na kuwafanya waitupilie mbali hiyo dhana ya kuwa wananchi ndiyo waajiri wao,matokeo yake wanageuka kuwa miungu watu/
 
Hebu acheni kutufanya wapumbavu kiasi hicho.Ni kipi tunachoweza kujivunia kuwa ni maendeleo kitaifa,angalau kiwe ni alama ya utawala huu?Sanasana ni hali ya wananchi kurudishwa nyuma miaka 10+.
Usiwe unauliza swali la kipumbavu na kipunguani,hayo niliyoeleza hapo Juu yamefanyika Burundi na hivyo Warundi ndio wanatakiwa kujivunia? Kwa akili zako wewe kitu Cha kujivunia na alama kintakiwa kuwaje? Acha upunguani basi.

Wananchi wa Kalambo walioachiwa alama hii ya daraja watamkumbuka Mama Yako? Unataka nikutajie vitu specific si nitajaza servers?
My Take: Majitu majinga yaliyojaa chuki za kipumbavu kama wewe ni hatari sana Kwa Taifa.

Kusoma hujui na picha huoni? Waliosema Nabii hakunaliki kwao hawakuwa wajinga.

View: https://twitter.com/ccm_tanzania/status/1781731724684042444?t=LwQSgtN4xldHxRV4qnXsbA&s=19
Mwisho jitu halijui chochote Cha maana kinafanyika hata hapo ulipo aidha Kwa sababu huna pesa za kusafiri,mbaya zaidi hujui hata upate vipi sources za taarifa kujua nini kinafanyika hapo hapo mkoani kwako au kwingineko ila unaropoka tuu kama punguani.
 
Ajira kiasi gani?
Mfumuko wa bei?
Kikokotoo?
Biashara ngapi zimeanzishwa?
Biashara ngapi zimefungwa?
Bima ya afya?
GDP per capita?
Viwanda?
Nauli za ndege?
Ajali za barabarani zimepungua kwa kiasi gani?
Katiba mpya?
Wakikujibu nitagi.

Hata wakikutukana tu
 
Nchimbi awaite Waandishi wa Habari wa CNN MSNBC Al Jazeera TV 5 BBC n.k n.k awaeleze haya wayabandike huko kwao.

Hizi ni Ngonjera za Kinafiki.

LUHANGA MPINA ajibiwe hoja zake.
Keyboard drop
Punguani wenzenu ndio watawajibu
 
Ajira kiasi gani?
Mfumuko wa bei?
Kikokotoo?
Biashara ngapi zimeanzishwa?
Biashara ngapi zimefungwa?
Bima ya afya?
GDP per capita?
Viwanda?
Nauli za ndege?
Ajali za barabarani zimepungua kwa kiasi gani?
Katiba mpya?
Kwahiyo katiba mpya ni maendeleo? BAVICHA mna vituko
 
Hata deni la Taifa nalo ni muujiza ndugu Katibu Mkuu.

Hakuna Rais akiyethubutu kukopa namna hii tangu Uhuru 1961.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…