Pre GE2025 Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kasema kweli kabisa.aliypfanya huyu bibi ushulungi ni maajabu ya Dunia.mafano miradi aliyoianzisha magufuli mingi imemshinda kuimalizia,deni la taifa kalipaisha kuzidi uwezo wa nchi kulipa na ameifilisi nch Kwa safari zisizo na tija.huu wote ni muuniza Kwa kweli
 
Umeandika 🚮🚮🚮🚮

View: https://www.instagram.com/p/C5_TInKIH3C/?igsh=M2I2eGt5c2Q3ZTN0
Samia sio Rais wa maigizo kama yule wenu 👇👇

View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1781960388864622884?t=pIqmAmvkT1mGzl_qkwSdWw&s=19
 
Wewe ni mgonjwa wa akili,wahi tiba.
 
Wana-maombi, tafadhali pale mwishoni mwa sala msema "mapenzi yako yatimizwe" huyu Mungu hawezi kuchezewa.
Mungu ana wivu, hagawani utukufu na wanadamu, na Kama kweli Mungu upo , na wewe mwenyewe ndio ulisema una wivu , sasa onyesha wivu wako, tumechoka!!
 
Sgr,bwawa la umeme rufiji,daraja la busisi n.k.ni miradi iliyoanzishwa na JPM, ambayo ilipaswa iwe kwenye uzalishaji, badala yake mna zuga na,majaribio [test]zisizoisha,ameweka wezi kusimamia miradi na kuwaelekeza wale kwa urefu wa kama/wale polepole,Hayo ndiyo mnayoyaita mafanikio? Miradi yenu mipya ni ipi ?[Bila shaka unahitaji mume].
 
Yeye mbona alishindwa kuweka kwenye uzalishaji section ya Dar-Moro?

Mwisho Marehemu hana chake,wewe ulitaka wale kulingana na urefu wa kamba ya nani? Kiswahili ulipata ngapi? Nakukumbusha tena Kila mbuzi hula kulingana na urefu wa kamba yake.
 
Mfumuko wa bei wa bidhaa mbalimbali katika miaka 3 ya Mama pia ni Muujiza
 

View: https://www.instagram.com/p/C6DdTvSsWca/?igsh=MTZkc2EycHlraTJlaw==
 
Chawa wa kisiasa

Hakuna kitu chochote kigeni alichoanzisha saa100 zaidi ya zile zilizoainishwa kwenye iLani ya CCM ya 2020-2025 maana yake miradi yote hiyo ilibuniwa na kunadaiwa kwenye uchaguzi na JPM yeye akiwemo.

Kwa msimpake mafuta kwa mgngo wa chupa asubiri Ilani ijayo ya 2025-2030 kuweka ya kwake na aitekeleze hapo ndio unaweza kumpongeza.
 
Una uhakika? Miradi ya uviko ilikuwa kwenye Ilani? Mimi Ilani ninayo na miradi Mingi haipo ikiwemo Bwawa la JNHPP,Kidunda Wala Sgr havikuwwpo.

Pili hata kwenye hiyo Ilani Samia ndio ametekeleza kushinda Magufuli,unabisha?
 
Una uhakika? Miradi ya uviko ilikuwa kwenye Ilani? Mimi Ilani ninayo na miradi Mingi haipo ikiwemo Bwawa la JNHPP,Kidunda Wala Sgr havikuwwpo.

Pili hata kwenye hiyo Ilani Samia ndio ametekeleza kushinda Magufuli,unabisha?
1. UVIKO ni mradi wa wema au wizi kutoka kwa wafadhili?

2. Nani alianzisha mradi wa JNHPP, Vidunda na SGR?

3. Nani alianzisha miradi ya maji, hospitali za kanda, zahanati na vituo vya afya?

4. Nani alianzisha ujenzi wa Ikulu ya Dodoma na kuhamisha watumishi wote wa serikali kwenda huko?

5. Nani alinunua ndege zilizokodiwa kwa shirika la ATCL?

6. Nani alifanya miradi mingi ya barabara korofi na ikakamilika kwa ubora?

7. Kwanini barabara ya njia nane kutoka Kimara hadi Kibaha haijazinduliwa hadi leo?

8. Nani alinunua rada ya usalama wa anga Tanzania badala ya kutumia za nchi jirani ya Kenya?

9. Nani alianzisha mchakato wa ujenzi wa viwanja vya ndege Tanzania nzima katika mikoa ya kimkakati yote?

10. Nani alianzisha ujenzi wa meli katika maziwa makuu yote Tanzania kwa kutumia makandarasi wa ndani na baadhi kutoka Korea kusini?

11. Nani aliweka mfumo sahihi wa ukusanyaji wa mapato kupitia TRA?

12. Nani aliwagusa wezi na waharifu walioshindikana waliokuwa wanaharibu uchumi wa nchi kwa kuhodhi njia za kiuchumi?

13. Nani alijenga masoko yenye hadhi katika mikoa ya kimkakati (Mtwara, Dar, Morogor, Mwanza, Dodoma, Mbeya, Iringa) bila kulazimika kuchoma yaliyopo kwa njia zisizo halali

14. Nani aliyejenga vituo vingi vyenye hadhi vya mabasi katika mikoa kadhaa (Dar, Dodoma, Tanga, Mwanza, Iringa)
 
Unakuwa kama jinga na poyoyo.

Naweza hata nisikujibu,kwamba kabla ya unaedhani alianzisha hayo yote yalikuwa hayafanyiki na Wala Hayajawahi fanyika hapa Tanzania?

Una akili sawa sawa kichwani? Kwanza kwenye mada yangu sijaweka miradi ya Magufuli hata mmja,nimeweka miradi aliyoanzisha Samia ndani ya miaka 3
 
Usiandike ukosefu wa akili wako humu kwa mapenzi yako ya upande mmoja na chuki zako binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…