Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Una uhakika anakuwakilisha huko bungeni kweli au ameenda kumaliza shida zake ?Dk damas ndumbaro n mbunge wa songea mjini mkuu
Usimfananishe na dk laurian ndumbaro katibu mkuu utumishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika anakuwakilisha huko bungeni kweli au ameenda kumaliza shida zake ?Dk damas ndumbaro n mbunge wa songea mjini mkuu
Usimfananishe na dk laurian ndumbaro katibu mkuu utumishi
Hapo Sasa ndio tatizo mkuu nadhan analiwakilisha tumbo lake kupitia Jimbo la songea mjiniUna uhakika anakuwakilisha huko bungeni kweli au ameenda kumaliza shida zake ?
Mkuu umeua
Hofu yangu mmoja wao anaweza akawa prezidaa Kama Dr stone halafu akauza nchi kabisa
Hivi yule wazir wa elimu wa Tanzania lakn n mkenya kiasili ambaye alifuta michezo mashuleni na kuunganisha masomo hivyohovyo alikuwa anaitwa Nani vile?
Nchi hii hata waziri anaweza akashauri tule mavi na mamlaka zikaafki tu
Na ndumbaro ana chuki na watu wa kasikazini, si mlisema ni wasukuma tu ndo wanawachukiaHuu ni mwendelezo wa chuki dhidi ya watu wa Kaskazini. Mi nashauri hata na Mlima Kilimanjaro ahamishie Songea kama itawasaidia kuwa karibu na watalii toka Malawi na Mozambique
Dumbaro ni empty set a.k.a empty box aisee hyo PhD yake sijui alisomea wapi hivi unahamishaje chuo badala ya kujitahidi kujenga other branches kwa kusingizio eti Cha miti lohKuna wakati huwa nawaelewa Sana msukuma na kibajaji wanapowaamba ukweli hawa professors and PhD holders sijui wanatumia nn kufikiri
Wakat dunia inaenda kasi katika elimu wao wanairudisha dunia kuwa kuwa ya mwaka 1990
Kifupi hakuna haja ya kuhamisha chuo badala yake waongeze fursa ya elimu ya misitu maeneo mengine Zaid ili tuwe na vyuo vingi
Kama hali n hyo bas hata chuo cha OLMOTONYI ARUSHA hakitakiwi kuwa pale kiende iringa maana misitu s ndio ipo huko
Kozi ya mifugo haikutakiwa kuwa CHUO CHA MIFUGO TEMEKE ..LITA.sababu wafugaji wakubwa hawapo huko TEMEKE
Hizi PhD jaman tuwe nazo makini Sana Kuna siku watafanya Jambo la kushangaza tutakuwa tumechelewa kubaini
Basi hata chuo cha Madini Dodoma kihamishiwe Kahama. Kwa nn asianzishe chuo kama hicho huko Mafinga?Na ndumbaro ana chuki na watu wa kasikazini, si mlisema ni wasukuma tu ndo wanawachukia
NB: tukiondoa chuki na ukabila waziri ana hoja ya msingi.
Mbunge wa Moshi mjini ni nani?Kuhamishwa Kwa chuo cha FITI kilichopo huko Moshi Kilimanjaro,Litakuwa ni pigo la kwanza la kumuondoa ubunge mbunge mwaka 2025 aliyeko madarakani bila kupepesa macho. Mbunge huyo alihaidi miradi kibao ikiwepo hospital ya wilaya,mikopo Kwa Boda Boda, mafunzo Kwa wapangazi wa mlima Kilimanjaro, ujenzi wa ofisi za chama wilaya, mikopo Kwa vikundi , kugufua viwanda karibua 20 vilivyo kufa, Ila hadi Leo hajafanya Chocho te amekuwa msindikizaji huko bungeni Sasa anasimamia chuo kinahamishiwa iringa.
Kuanzisha kipya kuna taratibu zake, kuhamisha ni rahisi zaidi.Basi hata chuo cha Madini Dodoma kihamishiwe Kahama. Kwa nn asianzishe chuo kama hicho huko Mafinga?
Kichwa naona unafugia nywele tu.
Joseph Mungai aliunganisha masomo ya science yakawa physics with chemistry kitu ambacho kilifanyika only in Tanzania. Nchi yangu inahitaji maombi wasomi wetu wamekuwa wajinga kuliko ambao hawajaenda shuleMkuu umeua
Hofu yangu mmoja wao anaweza akawa prezidaa Kama Dr stone halafu akauza nchi kabisa
Hivi yule wazir wa elimu wa Tanzania lakn n mkenya kiasili ambaye alifuta michezo mashuleni na kuunganisha masomo hivyohovyo alikuwa anaitwa Nani vile?
Nchi hii hata waziri anaweza akashauri tule mavi na mamlaka zikaafki tu
Ibra lineMbunge wa Moshi mjini ni nani?
Hawa wabunge waliopitishwa kinguvu na tume ya uchaguzi ni mzigo kwa taifa
Ndumbaro anarudisha favor kwao kwa kunyang'anya sehemu nyingine huyo ni kiazi wallahMleta mada kiukweli bado ile hangover ya wasukuma bado inaitesa hii serikali tulivu na isiyo na mambo ya hovyo kama mtangulizi wake.
lazima ieleweke kuwa FITI imekuwa pale kwa miaka mingi na ina manufaa mengi hata kwa ustawi wa Mt Kilimanjaro.
Haya maamuzi ya kipuuzi ya viongozi wetu ni ya ajabu na ya kupigwa vita, sidhani kama mama Samia atakubali huu upuiuzi.
Huenda Ngumbaro anataka kuisogeza karibu na kwao au hajui mchezo ulio nyuma yake.
OUT PHD ya Open University hiyo.Kuna wakati huwa nawaelewa Sana msukuma na kibajaji wanapowaamba ukweli hawa professors and PhD holders sijui wanatumia nn kufikiri
Wakat dunia inaenda kasi katika elimu wao wanairudisha dunia kuwa kuwa ya mwaka 1990
Kifupi hakuna haja ya kuhamisha chuo badala yake waongeze fursa ya elimu ya misitu maeneo mengine Zaid ili tuwe na vyuo vingi
Kama hali n hyo bas hata chuo cha OLMOTONYI ARUSHA hakitakiwi kuwa pale kiende iringa maana misitu s ndio ipo huko
Kozi ya mifugo haikutakiwa kuwa CHUO CHA MIFUGO TEMEKE ..LITA.sababu wafugaji wakubwa hawapo huko TEMEKE
Hizi PhD jaman tuwe nazo makini Sana Kuna siku watafanya Jambo la kushangaza tutakuwa tumechelewa kubaini
Hawa wabunge wa mwendazake ni empty set, mbunge wa Moshi mjini alikuwaga tu ndesamburo.Ibra line
Kumbe ni PhD za shule ya kata, kusoma open university hyo sio chuo bana wanasiasa hukimbilia huko kupata mteremkoOUT PHD ya Open University hiyo.
Lakini mwakyembe na paramimacho ni wa mlimani pia mkuuKumbe ni PhD za shule ya kata, kusoma open university hyo sio chuo bana wanasiasa hukimbilia huko kupata mteremko
Joseph Mungayi. Mkenya wa Mufindi.Mungai