Kigoma line hiyo mzee..watu wameaga makwao.Du jamaa anaponaga kimiujiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigoma line hiyo mzee..watu wameaga makwao.Du jamaa anaponaga kimiujiza
Atakuwa Mkurya huyu au nshomile ahahahahhaNi Camala. Unaharibu jina la Bi Mkubwa
Anaandika kama ugomvi😀Atakuwa Mkurya huyu au nshomile ahahahahha
Huyo uliyemtaja angekuwa ni baba yako ungeandika kuwa alitolewa kwenye oxygen na kwamba alikuwa anakohoa Kila baada ya sekunde mbili kiasi Cha kushindwa kueleweka ?!?! Stupid to the coreHata wakati wa Jiwe alitolewa kwenye oxygen na kuletwa kwa Waandishi wa habari , alikuwa anakohoa kila baada ya sekunde 2 kiasi cha kushindwa kueleweka alichokuwa anaongea (video yake imo humu jf)
Kama amepata ahueni au kama hakuwa anaumwa, ni jambo jema. Alimradi wasimfanyie kama wakati ule alipokuwa ameugua covid 19. Kule ni kumdhalilisha mgonjwa.Ngoja tusubiri, kuna timu mbili zinabishana hapa.
Huwa nawasikia watu wakisema "wakati wa amani ndiyo wakati wa kujiweka sawa...."We fala nini? Utamuombeaje uponyaji mtu ambaye haumwi?
Hizi pombe za mataputapu ni shida katika ubongo!
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Usisome Biblia kama novel ya James Hadley Chase utaishia kupotoka kama hivi.Huwa nawasikia watu wakisema "wakati wa amani ndiyo wakati wa kujiweka sawa...."
Sehemu fulani Biblia imeandikwa "ombeni mvua wakati wa masika "
Asante nimejifunza piaUnyenyekevu sio udhaifu my dear.
Anaandika kama ugomvi😀
Mstari gani huo?Huwa nawasikia watu wakisema "wakati wa amani ndiyo wakati wa kujiweka sawa...."
Sehemu fulani Biblia imeandikwa "ombeni mvua wakati wa masika "
Hao waandaaji heri wange ahirisha kama uhakika wa mgeni rasmi hatakuwepo,inaweza kuleta taharuki kubwa zaidi.
Acha kupenda umbea, anaweza asiende na bado akawa mzima. Kuwa makini na hizo roho za kishetani unazoziendekeza, utatangulia wewe usipokuwa makini.1. Hivi majirani mlio karibu na makaazi ya VP hali ya kuingia na kutoka watu kukoje huko?
2. Kwani hadi sasa familia ya VP wanasemaje?
4. Wafanyakazi wa ofisi ya VP wanasemaje?
5. JK, Pengo na Rugabwa wanasemaje?
6. Pascal Mayalla anasemaje?
7. Nasser Abdul na Khadija Kopa wanasemaje?
8. Je asipoenda leo kwenye hayo maadhimisho na badala yake kukawa na mwakilishi itatafsirika vipi?
Zakaria 10:1Mstari gani huo?
Mkuu Deleted01 umbea wangu ni upi?Acha kupenda umbea, anaweza asiende na bado akawa mzima. Kuwa makini na hizo roho za kishetani unazoziendekeza, utatangulia wewe usipokuwa makini.
Naanda kasuti kangu alikonipa babu yetu wa Mara baada ya kuchekwa eti vishikizo vinapishana! Asipotokea nitamuwakilisha.Ndyo ofisi inaweza kualikwa kwa mfano kama alialikwa kwa cheo cha makamu wa Rais means anaweza kuwakilishwa kama hatokuwepo...
Lets say tumemualika mkurugenzi wa Jamiiforums kwenye certain Function Means anaweza kuja mwakilishi wake kwa sababu Yeye anasimama badala ya ofisi.
Sijaona Alipoleta ujuaji mahali popote alichouliza ni kuhusu Amealikwa Yeye kama yeye au amealikwa kama makamu wa Rais.
Kama kaalikwa kama makamu wa Rais means kimealikwa kiti (Ofisi) na sio yeye