Dkt. Philip Mpango: Narudi kuchapa kazi, Mungu amenivusha. Leo siku ya 3 sijatumia mtungi wa Oxygen

Mwambie barakoa ni muhimu asije akatuletea balaa jingine!

Hatari sana, hivi Kwa Maelekezo ya Wizara ya Afya, huyu bwana alikuwa sahihi kuongea vile na kikohozi bila barakoa? Pembeni akiwa na wape jamaa wawili nao bila barakoa za kutengenezwa MSD?
 
Uchambuzi murua
 
Pole sana bibie, mimi mepoteza ndugu last two weeks
 
Bado unaumwa DR.. tusidanganyane !! usifanye mchezo na Covido - bado game hujalimaliza rudi kitandani fasta upate 0xgn watanzania wanakuhitaji.
 
Hatari sana, hivi Kwa Maelekezo ya Wizara ya Afya, huyu bwana alikuwa sahihi kuongea vile na kikohozi bila barakoa? Pembeni akiwa na wape jamaa wawili nao bila barakoa za kutengenezwa MSD?
Ajabu na hao wawili mmoja ni mkurugenzi wa hiyo hospitali ya Benjamin Mkapa?
 
Nadhan sasa dokta atakuwa amepata fundisho, kutovaa barakoa kwake lilikuwa ni kosa kubwa sana kwake, siku nyingine asikubali kudanganywa......
 
Ukweli, alikuwa anaumwa na wengine wamekufa - ni mpango wa mwenyezi Mungu tu; si kwamba yeye aliomba sana kuliko wengine au alipata huduma za ziada kuliko wengine!
Hivi gharama ya kulazwa wiki 2 ni sh ngapi? na bado unatoka ukiwa dhaifu! Chanjo je ni bei gani? maana wahenga walisema kinga ni bora kuliko tiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…