jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,603
- 3,776
Maana kwahali ya jana na walivyomlazimisha press conference wamejitia aibu...unapambana na kigogo ambae humjui huo ni ujinga wa Hali ya juuMawazoyako kama yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana kwahali ya jana na walivyomlazimisha press conference wamejitia aibu...unapambana na kigogo ambae humjui huo ni ujinga wa Hali ya juuMawazoyako kama yangu
Atapona tu,Huyu jamaa sijui Kama atatoboa
Mkuu uliona alivyokua analazimisha kuongea halafu leo tunaambiwa Yuko na oxygen tenaAtapona tu,
Mwambie barakoa ni muhimu asije akatuletea balaa jingine!
Uchambuzi muruaAmezungumza na waandishi wa habari akiwa hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma leo tarehe 23 Febr 2021, live kupitia TBC.
Amesema alikuja hapo hospitalini akiwa na mtungi wa Oxygen. Amekuwapo kwa zaidi ya wiki mbili. Na leo ni siku ya 3 hajagusa mtungi wa Oxygen, anapumua mwenyewe.
Tunafurahi sana kuona amepona.
Binafsi nafurahi zaidi kwa ushuhuda wake wa kwamba amepona kwa tiba rasmi za hospitali, na si kwa mambo ya kujifukiza na kupiga nyungu. Huu ni ushuhuda kwamba hizi ndizo huduma tunazopaswa kuzieneza kwa wote na kuhimiza wananchi wazitumie, na siyo kutupoteza kwa mambo ya nyungu.
Amesifu excellent professionalism ya madaktari wetu. Naomba ujumbe huu uwafikie wale wanasiasa wote wanaobeza madaktari wetu na kuwadhalilisha, na ujumbe uwafikie pia wale wanaohimiza uganga wa jadi. Mheshimiwa amekiri kuwa hii sekta inastahili kupewa kipaumbele zaidi.
Yeah hii ndio point, ilituendelee kuwa fresh kiuchumi lazima tuwe wajinga.Au tujifanye wajinga..
Pole sana bibie, mimi mepoteza ndugu last two weeksJamani dakika 20 tu zimepita nimepata taarifa za msiba. Na umri ni 35. Aliumwa na akapata nafuu lkn ghafla hali ilibadilika na ameaga dunia leo. COVID-19 variant ni unpredictable na inachukua aspect tofauti kwa kila anayeipata. Watoto tu ndio inafahamika symptoms sio severe lakini very good carriers of the C-19.
Ni wewe mkuu, umepotea kitambo 😁😁😁We Gagnija huyo unamtaja@ Mmawia yupi?
Mkuu kwa sasa nipo chimbo kwetu Mozambique nimekimbia koronaNi wewe mkuu, umepotea kitambo [emoji16][emoji16][emoji16]
Mozambique korona haipo?Mkuu kwa sasa nipo chimbo kwetu Mozambique nimekimbia korona
Huku kijijini kwetu chimumuna hatuijui koronaMozambique korona haipo?
Kumbe! Wasalimu huko Chimumuna.Huku kijijini kwetu chimumuna hatuijui korona
Ajabu na hao wawili mmoja ni mkurugenzi wa hiyo hospitali ya Benjamin Mkapa?Hatari sana, hivi Kwa Maelekezo ya Wizara ya Afya, huyu bwana alikuwa sahihi kuongea vile na kikohozi bila barakoa? Pembeni akiwa na wape jamaa wawili nao bila barakoa za kutengenezwa MSD?
ZimefikaKumbe! Wasalimu huko Chimumuna.
kweli???.Karudi tena ICU lol