evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Wapi nimesema Elimu haina maana kwenye maelezo yangu.Haya maelezo yako hakuna sehemu yameonyesha elimu haina maana.
Ukipata yanayoelezea upuuzi wa elimu ukaungana na ngumbaru wenzako niite.
Kaokote na wewePhD China unaokota tu
CrapAlipataje huo ukuu wa Chuo?
.
1. Nafasi ilitangazwa wazi? Kwenye magazetti? Lipi? La lini?
2. Wali-apply wangapi? Shortlisted? Invited for interview? Interview scores? Panelists walikua wakina nani?
3. Nani alishinda interview? Scores zao?
Yeye ana impact Kwa jamii Hadi alikuwa na foundation ya kusaidia watu hadharani hao wanaofanya mambo Yao kimya kimya wanafanya Nini uchawi kukaba watu usiku au ?Na majina ya wazazi wao yamewabeba. Ni wangapi wana masters na hizo PhD wako mtaani wanafanya Yao kimya kimya hawaonekani kwenye hizo nafasi??
Tanzania upendeleo una nafasi kubwa sana kuliko kile unchojua
Anzia kwenye comment yangu nimewaita wanaodai elimu haina maana waje wajionee.Wapi nimesema Elimu haina maana kwenye maelezo yangu.
Kila kitu kina umuhimu wake.
Ila kipaji kina lipa zaidi ya elimu ndugu kwa sababu under Ceteris paribus, kila mtu anaweza kusoma kupata elimu ila kila mtu hawezi kuwa na kipaji fulani
Naomba tutumie u Afrika wetu na Utanzania wetu kutomsema vibaya marehemu.Alipataje huo ukuu wa Chuo?
.
1. Nafasi ilitangazwa wazi? Kwenye magazetti? Lipi? La lini?
2. Wali-apply wangapi? Shortlisted? Invited for interview? Interview scores? Panelists walikua wakina nani?
3. Nani alishinda interview? Scores zao?
Kuwa na Foundation NI kitu kimoja kuwa na impact nako ni habari nyingineYeye ana impact Kwa jamii Hadi alikuwa na foundation ya kusaidia watu hadharani hao wanaofanya mambo Yao kimya kimya wanafanya Nini uchawi kukaba watu usiku au ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ka donate maabara..
Dah wew jamaa mbishi sana huyu binti marehemu huwezi kusema katoka kwenye familia ya wasomi saanaa.Anzia kwenye comment yangu nimewaita wanaodai elimu haina maana waje wajionee.
Wanionyeshe familia ambayo baba ni msanii kafanikiwa, mama ni muigizaji kafanikiwa, mtoto mmoja yuko bongo fleva na mwingine yuko timu ya ligi kuu kama hii familia ilivyofanikiwa kwa elimu tu.
Mbona hatuja taarifiwa yakuwa Ndyamkama hatunaye tena.Kweli kabisa mkuu,muda mfupi tu uliopita tulimpoteza mbunge mwingine kwa complication za uzazi, Irene Ndyamkama, rip all.
Pole paskali kwa kuondokewa na mdau wako.Nilifanya nae kazi sana, enzi akiwa Mkuu wa Chuo Cha Taifa cha Utalii, NCT
Hapa ni Channel Ten -
View: https://youtu.be/G4VMLLp4eJc?si=K7Y9XcclA0rehICgHapa ni ITV -
View: https://youtu.be/Ya31uC_hd68?si=QOczRo0qUdO8ieeqHapa ni EATV -
View: https://youtu.be/63TGS1pxWVs?si=GAWCHT0JCikU6vbnHapa ni Channel Ten tena -
View: https://youtu.be/GFARCfkHjYE?si=xaD4dhEih0ZcPUE7RIP Dr. Mlozi.
P
P
Baasi,subiri kwanza msiba upite...Alipataje huo ukuu wa Chuo?
.
1. Nafasi ilitangazwa wazi? Kwenye magazetti? Lipi? La lini?
2. Wali-apply wangapi? Shortlisted? Invited for interview? Interview scores? Panelists walikua wakina nani?
3. Nani alishinda interview? Scores zao?
SawaMkuu wa Mkoa wa Kagera ni Fatuma Mwasa au Halima Dendegu na siyo Queen Mlozi!
Sawa asante. Nimechanganya na Fatma MwasaMkuu wa Mkoa wa Kagera ni Fatuma Mwasa au Halima Dendegu na siyo Queen Mlozi!
Bila kujua ushike wapi hiyo NGO Itafika wapi?? As if huelewi mifumo ya nchi hii. Wengi waliokuwa wanasapot hyo NGO yake wengi ni wabunge... Nenda instagram uangalie alafu urudi uandike tena.Yeye ana impact Kwa jamii Hadi alikuwa na foundation ya kusaidia watu hadharani hao wanaofanya mambo Yao kimya kimya wanafanya Nini uchawi kukaba watu usiku au ?
R.I.P
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson ametangaza kifo cha Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Dk Shogo Mlozi.
Spika Tulia ametangaza kifo hicho leo Alhamisi June 13, 2024 kabla ya kuanza kwa kikao cha 46 cha mkutano wa 15 wa Bunge la 12 Bungeni Jijini Dodoma ambapo amesema taarifa zaidi zitatolewa baadaye.
Dkt. Tulia amesema ““Leo asubuhi tumepokea taarifa kwamba Mh. Dkt. Shogo Richard Mlozi ambaye tulimchagua kuwa Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki hatunae tena, hii ni taarifa ya awali tutakapopata taarifa za ziada tutawataarifu tusimame kaa dakika moja tumpe heshima zake za mwisho”
Pia soma Mhe. Dkt. Shogo Mlozi Ashiriki Semina ya EALA Women Caucus Bujumbura
Hao ndio watoto wa kwanza? Mbona Sedoyeka ana watoto wengine au aliachana na mke wa kwanza akamuoa huyu mbunge?Halafu ndio ulikuwa uzao wake wa kwanza marehemu alikuwa busy na masomo alichelewa kuolewa
Tulikuwa nae coet huyo😀Na wewe ulisoma UDSM Engineering ?miaka ya 2000
PcetTulikuwa nae coet huyo😀