Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
"Ni kipenzi cha watanzania"📌 utathibitisha 2025! G/E.Sema kipenzi chako. Kwa wengine, huyu kiongozi kibaraka wa waarabu, kamwe hawezi kuwa kipenzi chao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Ni kipenzi cha watanzania"📌 utathibitisha 2025! G/E.Sema kipenzi chako. Kwa wengine, huyu kiongozi kibaraka wa waarabu, kamwe hawezi kuwa kipenzi chao.
Haya mambo ya kukariri biblia waachie akina Mwamposa au Mwakasege. Twende na hoja za kuwadhibiti hawa washenzi na wapotoshajiDanieli Sura ya 4 anza mstari wa 19 hadi 34. Pia kw akuelewa zaidi unaweza kuongeza sura ya Kwanza na ya Pili.
Ni kipenzi cha Watanzania kweliSema kipenzi chako. Kwa wengine, huyu kiongozi kibaraka wa waarabu, kamwe hawezi kuwa kipenzi chao.
Kwani unafahamu kwanza uhaini ni nini? Kwa nini unadhani Dr Slaa hajafanya uhaini? Nakuletea bandiko hapaHawa kunguni wanajiona miungu mtu wakikosolewa wanakuuzia kesi ya uhaini, zero respect kwa huyu mama sasa
Anaambiwa kwa kutuhumiwa na serikali ya majizi ya kura?! Utakuwa unachekesha kweli ww.Kabisa, ndo maana slaa amenyimwa maarifa licha ya umri wake mkubwa na mwishowe anaanguka kitoto kama hivyo!
Sijapenda ila wanastahili. Mama alisema wazi yuko tayari kukosolewa na kushauriwa ili kujenga Taifa lenye amani, umoja na mshikamano. Hata hivyo ukosoaji huo ufanyike kwa maana ya kukosoa sio kutukana wala kukosoa au kutishia watu. Bahati mbaya kuna watu hawajapenda hali hiyo. Wacha dola ifanye kazi yake.Ameandika kwenye account yake ya mtandao wa twitter:
Usiku huu, Dkt. Wilbroad Peter Slaa, mashtaka yake yamebadilishwa kutoka katika matumizi ya lugha ya uchochezi sasa amepewa mashtaka ya UHAINI. Dkt. Wilbroad Slaa yupo kituo cha polisi Oysterbay. Taarifa hii ni kutoka kwa wakili wake, Adv. Dickson Matata. Anakuwa mtu wa tatu.
Wewe ni kati ya wapotoshaji wakuu. Ni lini bandari zimetolewa milele? Mbona wajomba wa Samia wako Oman na siyo Dubai? Huu upotoshaji ndiyo unawa cost viherehere wenzio.Kipenzi chenu kimetoa bandari zetu zote milele kwa wajomba zake, halafu kwa mawazo yako ya kitumwa bado unamuita kipenzi? huoni kama anawapenda waarabu zaidi ya anavyokupenda wewe?
Mjinga.
Anakuaje kizuizini na kuwa na mawasiliano?Wakati wa Mwendazake, watu walipiga kelele Mungu akajibu kwa namna yake. Umepewa nafasi na Mungu huyo, huyo, sasa unafanya kinyume . Haya endelea tuone na wewe utafika wapi unless wewe ni bora sana .
Ina maana ameshasomew shitaka lake kabla ya kwenda mahakamani?Ameandika kwenye account yake ya mtandao wa twitter:
Usiku huu, Dkt. Wilbroad Peter Slaa, mashtaka yake yamebadilishwa kutoka katika matumizi ya lugha ya uchochezi sasa amepewa mashtaka ya UHAINI. Dkt. Wilbroad Slaa yupo kituo cha polisi Oysterbay. Taarifa hii ni kutoka kwa wakili wake, Adv. Dickson Matata. Anakuwa mtu wa tatu.
Wanaokwenda kufaidika na DP World pale TPA ni wafanya biashara wengi wanaoingiza pesa nyingi kwenye mzunguko wa mtaani, ni rahisi sana kwa haya maneno ya mkuu kitansa kutokuwa na ushawishi wowote miaka miwili ijayo wakati wa uchaguzi mkuu.Huyu mama kachukia sana. ana dili za wizi nyingi na waarabu , sasa hii moja imevuja na watu wameishikia bango, ile ya ngorongoro watu walipiga kimnya...pia kapoteza mvuto kwa kasi ya 5G.. Hapo anafikiri dili za wizi zilizobaki na waarabu zitakuweje? Mwisho wa siku anatoa maamuzi mabovu sababu ya Hasila zake...SIKU YA KUFA NYANI ....
Huyu wakili namkumbuka kwenye kesi ya mbowe akiwa na akina kibatalaAmeandika kwenye account yake ya mtandao wa twitter:
Usiku huu, Dkt. Wilbroad Peter Slaa, mashtaka yake yamebadilishwa kutoka katika matumizi ya lugha ya uchochezi sasa amepewa mashtaka ya UHAINI. Dkt. Wilbroad Slaa yupo kituo cha polisi Oysterbay. Taarifa hii ni kutoka kwa wakili wake, Adv. Dickson Matata. Anakuwa mtu wa tatu.
Safi sn tunaenda pazuri huyu dikteta anadhani nchi ni mali ake binafsiAmeandika kwenye account yake ya mtandao wa twitter:
Usiku huu, Dkt. Wilbroad Peter Slaa, mashtaka yake yamebadilishwa kutoka katika matumizi ya lugha ya uchochezi sasa amepewa mashtaka ya UHAINI. Dkt. Wilbroad Slaa yupo kituo cha polisi Oysterbay. Taarifa hii ni kutoka kwa wakili wake, Adv. Dickson Matata. Anakuwa mtu wa tatu.
Huyu bibi chuki anayoitengeneza 2025 atapata aibu kubwa snMungu akitaka kukuangusha, sometimes hukunyima maarifa.
Mpaka mimi chawa nimetema damu niliyonyonya usiku kucha hahahahah, hilo jambo sijui kwa nini Mama yaani hakuliona tangu asubuhi, sijui kwa nini hana macho, walianza toka walivyotaka kumgombanisha na msukuma wa watu anayependa wanawake wenye rangi za kiarabu, yaani kwake kumuona tu Samia ilikuwa burudani tosha, alimpenda kama dada yake, wajuvi wakaingia kazini wakahakisha wanamfitinisha na hatimaya k-vant na spirit zikahusika hahaha akiingia nyumbani hahaha U makamu mwisho getini ohhhh msukuma akachoka kabisa, basi wakamtengeneza akawa mnyetishaji kigogo14 raha tupu,Mama hajui kuwa hiyo yote ni movement ya kumng'oa yeye.
Atafululizishiwa matukio halafu si unajua mambo ya overweight, busy, uchovu na stress? MPANGO ni Mkakati wa kumalizia ndiyo maana akapangwa pale.
Kwani hujawahi kusikia Rais ameiba mali ya nchi yake?Kumtuhumu Mtu kuwa ni Mwizi ni lazima utusaidie na Ushahidi wa Wizi wake maana kosa la Wizi ni Jinai. Kumtuhumu Uongo Rais wa nchi ni Kujidhalilisha Mwenyewe kwenye uso wa Dunia.
Wanasiasa badala ya kutumia Nafasi Vizuri kuviuza vyama vyenu mnaanza kutukana na Kutishia Viongozi sidhani kama ndilo lengo la Demokrasia eti kudhalilishana badala ya kuuza Sera zako.
Kwa kuwa nia ilikuwa amani, umoja na mshikamano kama unavyosema, haya yanayofanyika yanatupelekea kwenye nia hiyo au hizo nia hazina umuhimu kuzidi staha Kwa wakubwa?Sijapenda ila wanastahili. Mama alisema wazi yuko tayari kukosolewa na kushauriwa ili kujenga Taifa lenye amani, umoja na mshikamano. Hata hivyo ukosoaji huo ufanyike kwa maana ya kukosoa sio kutukana wala kukosoa au kutishia watu. Bahati mbaya kuna watu hawajapenda hali hiyo. Wacha dola ifanye kazi yake.