HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
UONGOMfalme Nebkadneza aliambiwa na Danieli aache matendo yake dhidi ya Wana wa Israeli la sivyo Atabadilika kuwa Hayawani.
Nebkadneza alikuwa na jeshi zuri lenye nguvu likiongozwa na Jemedali Mwanaye anaitwa Neboporasa.
Baadae pamoja na jopo lake la waganga, wasihiri na wenye hekima ufalme ukaanguka, mfalme akajikuta yuko nyikani anakula nyasi kama wanyama wa mwituni.
Hapa ardhi ya Nyerere kuna mtu aliambiwa atubu akawa amedharau pia.