Dkt. Slaa adaiwa kubadilishiwa mashtaka kutoka ya uchochezi na kuwa ya uhaini

Dkt. Slaa adaiwa kubadilishiwa mashtaka kutoka ya uchochezi na kuwa ya uhaini

Ameandika kwenye account yake ya mtandao wa twitter:

Usiku huu, Dkt. Wilbroad Peter Slaa, mashtaka yake yamebadilishwa kutoka katika matumizi ya lugha ya uchochezi sasa amepewa mashtaka ya UHAINI. Dkt. Wilbroad Slaa yupo kituo cha polisi Oysterbay. Taarifa hii ni kutoka kwa wakili wake, Adv. Dickson Matata. Anakuwa mtu wa tatu.
Naona kitengo kimefanikiwa kumuondoa mama kwenye Reli sio!!?

Ngoma ya dp imelia hadi ilani ya CHAMA na mipango ya serikali imefifia kabisa!!!

YAANI DP world imetumika ipasavyo kuua utulivu wa mama na kuanza ku deal watu badala ya mipango ya maendeleo na kuitangaza!!
 
Kama nakuelewa vile
Hivi nyinyi mnaamini kabisa huyu mama ni mkatili?

Yote anayoyafanya kuleta mifumo ya haki hamyaoni?

Hii ni hujuma ya ndani inayofanywa kwa mkakati maalum, issue ni Urais 2025, hawa kina Dr Slaa ni sadaka tu ya kuujaza chuki umma.

Mama anapaswa kujitenga mapema na hawa wahuni.

Emanuel Nchimbi ampe majukumu haraka, ondowa chongolo hapo kwenye ukatibu mkuu akae Emanuel Nchimbi ndio anaweza kumnusuru huyo mama.
 
Andiko lako hili limenifanya niwe na wazo kichwani mwangu.

Huyu mwanamke anaweza kuwa kishajiandalia sehemu ya kukimbilia mambo yatakapomzidi kimo.
Sioni huyu akiendelea kuishi humu humu nchini kwa jinsi hali inavyoendelea kujipambanua.

Huyu atakuwa ni Idd Amin wa pili toka ukanda huu kukimbilia uarabuni kwenda kumaliza maisha yake huko.
Wewe endelea kuota tu

Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
 
Ameandika kwenye account yake ya mtandao wa twitter:

Usiku huu, Dkt. Wilbroad Peter Slaa, mashtaka yake yamebadilishwa kutoka katika matumizi ya lugha ya uchochezi sasa amepewa mashtaka ya UHAINI. Dkt. Wilbroad Slaa yupo kituo cha polisi Oysterbay. Taarifa hii ni kutoka kwa wakili wake, Adv. Dickson Matata. Anakuwa mtu wa tatu.
Hii inatukumbusha wakati wa Raisi Salmin Amour kule Zanzibar Machano Khamis na wezake 18 walivoshitakiwa kwa kesi ya Uhaini walinyea MTONDOO sio chini ya miaka 3 DR slaa na wezake wajiandae

Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
 
Hii inatukumbusha wakati wa Raisi Salmin Amour kule Zanzibar Machano Khamis na wezake 18 walivoshitakiwa kwa kesi ya Uhaini walinyea MTONDOO sio chini ya miaka 3 DR slaa na wezake wajiandae

Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
Mama asome historia ya Chief Dodo na Chief Swarwat.

Kumshikilia Dr Slaa umeshika mkoa wote wa Manyara na viungo vyake.
 
Mimi naamini kwa Chato kabisa haya yanayoendelea siyo maagizo ya Samia.

Mama anayo nafasi ya kusimama kama Rais na kukomesha huu uhaini anaofanyiwa ndani ya mfumo wake.

Ni hakika jamaa wamedhamiria 2025 mgombea Urais asiye mama, hizi medani za kivita za kumdhoofisha na kumchonganisha umma ili anuke ubaya na wanaelekea kufanikiwa.

Usalama wa Samia ni kuamka usingizini sasa na kutoka maagizo kama amiri Jeshi mkuu.

Haiwezekani Kamwe mtu anayejitahidi kurekebisha mifumo ya haki eti hiyo huyo ndio awe mratibu wa hiki kinachoendelea, hili si kweli hata kidogo namuonea huruma sana huyu mama.

Kama angalikuwa ni mama yangu ningemshauri aongoze kipindi kimoja akae pembeni watamuuwa.

Maadui wa mama na Wahaini halisi siyo upinzani Bali wapo ndani ya Ccm na kwenye mifumo, mnapowaona kina Kassimu wapo kimyaa kama hawapo jiongezeni akili.
Huu ndiyo ukweli ambao wengi hawauoni. Kuna Kampeni inaendelea dhidi ya mama, kuna watu wamedhamiria, by hooks or crooks.

Mama ana mapumgufu yake kama binaadam, timu yake badala ya kuyafukia kwa faida ya nchi, wao wanayatumia kumdhoofisha.

Mpaka hivi sasa hajawahi kuunda serikali yake, kikanuni hili pia ni tatizo. Kuna orders zinagotea mahala, pamoja na kuapa, anabaki kuwa kama Spika au Jaji mkuu anapokua amekaimu nafasi hiyo.
 
Ameandika kwenye account yake ya mtandao wa twitter:

Usiku huu, Dkt. Wilbroad Peter Slaa, mashtaka yake yamebadilishwa kutoka katika matumizi ya lugha ya uchochezi sasa amepewa mashtaka ya UHAINI. Dkt. Wilbroad Slaa yupo kituo cha polisi Oysterbay. Taarifa hii ni kutoka kwa wakili wake, Adv. Dickson Matata. Anakuwa mtu wa tatu.
Dikteta Samia
 
Ameandika kwenye account yake ya mtandao wa twitter:

Usiku huu, Dkt. Wilbroad Peter Slaa, mashtaka yake yamebadilishwa kutoka katika matumizi ya lugha ya uchochezi sasa amepewa mashtaka ya UHAINI. Dkt. Wilbroad Slaa yupo kituo cha polisi Oysterbay. Taarifa hii ni kutoka kwa wakili wake, Adv. Dickson Matata. Anakuwa mtu wa tatu.
Sifa ya ubalozi wameiondoa?
 
Yote tisa cha msingi kuna mtu anajua fika kuwa vyesi vya mchongo mwisho wake ni aibu mahakamani.Hapa ni kudhalilishana na kupotezeana muda tu.Hakuna cha uhaini Wala nini.
 
Acha upotoshaji Kenge wewe. Sura ya Saba inaongelea maswala ya Mchango na Mapato, halafu ninyi mnaanza kutuletea upotoshaji.
Ndiyo maana huwa mnajibadili hadi matumizi ya kijinsia na kugeuzwa Mashoga.View attachment 2716770
Wewe ni mbumbumbu. Unapongelea Katiba hakuna kufanya reference kwa kitu kinaitwa "Sura ya" bali kuna ni "Ibara ya". Umekwenda kwenye Katiba kwa ujinga wako na kuleta uliyoyaleta.

Mimi nimekupa Sura ya 7 ya Kanuni ya Makosa ya Jinai (Criminal Procedure Act).

Halafu nyinyi ndiyo washauri wa akina Dr Slaa na Mwabukusi kwenye masuala ya sheria za mikataba. Pumbavu
 
Ameandika kwenye account yake ya mtandao wa twitter:

Usiku huu, Dkt. Wilbroad Peter Slaa, mashtaka yake yamebadilishwa kutoka katika matumizi ya lugha ya uchochezi sasa amepewa mashtaka ya UHAINI. Dkt. Wilbroad Slaa yupo kituo cha polisi Oysterbay. Taarifa hii ni kutoka kwa wakili wake, Adv. Dickson Matata. Anakuwa mtu wa tatu.
Chezea DP world wewe!!
 
Huyu mama kachukia sana. ana dili za wizi nyingi na waarabu , sasa hii moja imevuja na watu wameishikia bango, ile ya ngorongoro watu walipiga kimnya...pia kapoteza mvuto kwa kasi ya 5G.. Hapo anafikiri dili za wizi zilizobaki na waarabu zitakuweje? Mwisho wa siku anatoa maamuzi mabovu sababu ya Hasila zake...SIKU YA KUFA NYANI ....
FB_IMG_1686074170313.jpg
 
Back
Top Bottom