Dkt. Slaa adaiwa kubadilishiwa mashtaka kutoka ya uchochezi na kuwa ya uhaini

Dkt. Slaa adaiwa kubadilishiwa mashtaka kutoka ya uchochezi na kuwa ya uhaini

Ameandika kwenye account yake ya mtandao wa twitter:

Usiku huu, Dkt. Wilbroad Peter Slaa, mashtaka yake yamebadilishwa kutoka katika matumizi ya lugha ya uchochezi sasa amepewa mashtaka ya UHAINI. Dkt. Wilbroad Slaa yupo kituo cha polisi Oysterbay. Taarifa hii ni kutoka kwa wakili wake, Adv. Dickson Matata. Anakuwa mtu wa tatu.
Time will tell . Umma haujawahi kushindwa na dola
 
Ameandika kwenye account yake ya mtandao wa twitter:

Usiku huu, Dkt. Wilbroad Peter Slaa, mashtaka yake yamebadilishwa kutoka katika matumizi ya lugha ya uchochezi sasa amepewa mashtaka ya UHAINI. Dkt. Wilbroad Slaa yupo kituo cha polisi Oysterbay. Taarifa hii ni kutoka kwa wakili wake, Adv. Dickson Matata. Anakuwa mtu wa tatu.
 
Hii DiPiWeldi imeleta matata sana...

DiPiWeldi imefanikiwa kufunga maridhiano na uvumilivu wa kukosoana kwa hoja....

DiPiWeldi inaweza ikarudisha watu magerezani na mahakamani na wengine wakarudi Ubelgiji...

DiPiWeldi limekuwa jitu kuubwa sana....

Yaani Eti Balozi wa Magufuli anataka kumpindua Makamu wa Rais Magufuli....

Hii nchi tukifanikiwa kwenda mbinguni tutakuwa tunalala stoo baada ya kudeki vyoo vya malaika...
Mama yako huyu anaupiga mwingi bado?
 
Sisi wafuasi wa Magufuli tuko na porp corn zetu tu hapa tunacheck hii movie. Maana tuliambiwa boss wetu ndio alikua Rais muovu kuliko wote duniani na huyu aliyeingia ni Chaguo la Mungu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kibaya zaidi hata wapinzani wakawa wanamsifia!
.
Magufuli aliwahi kusema ukiona mpinzani wako anakusifia geuka nyuma uangalie wapi unapokosea.
 
Mama hajui kuwa hiyo yote ni movement ya kumng'oa yeye.
Atafululizishiwa matukio halafu si unajua mambo ya overweight, busy, uchovu na stress? MPANGO ni Mkakati wa kumalizia ndiyo maana akapangwa pale.
[emoji848]
 
Sumu ya waropokaji, ukonga , keko Segrea. Waache waende wakale sima,
Mwana mbonde kenda karudi menene.
 
Wewe ni mbumbumbu. Unapongelea Katiba hakuna kufanya reference kwa kitu kinaitwa "Sura ya" bali kuna ni "Ibara ya". Umekwenda kwenye Katiba kwa ujinga wako na kuleta uliyoyaleta.

Mimi nimekupa Sura ya 7 ya Kanuni ya Makosa ya Jinai (Criminal Procedure Act).

Halafu nyinyi ndiyo washauri wa akina Dr Slaa na Mwabukusi kwenye masuala ya sheria za mikataba. Pumbavu
Okay, upo sahihi mkuu. Upo huru kuendelea kunitukana mpaka ufurahi.
Nashukuru umefafanua na nimefanya marejeo na nimejirizisha kuwa upo sahihi.
Swali ni je, mabadiliko haya yaliingizwa wakati gani?
Au ndiyo yale kuhusu nafasi ya rais ikitokea amefariki wakati yupo madarakani? Maana hata wale ambao huwa wanaapa apa kuilinda walikua wanajiandaa kwa Uchaguzi mkuu, hata yule aliyetakiwa kurithi madaraka na yeye alikiri kuwa alilazimika kwenda kuisoma kujua Katiba inasemaje. Hii maana yake ni kwamba kuna mabadiliko hufanywa na kuingizwa kinyemela kwenye Katiba?
 
Mwalimu Nyerere alikuwa msikivu sana hususan kuhusiana na hoja za maana.Dk Slaa kaandika katika kitabu chake kuwa kabla ya Serikali ya Nyerere haijapeleka mswada wa sheria ya uzazi wa mpango Bungeni ilimuita yeye DK Slaa kwa nafasi yake kama Katibu Mkuu wa TEC atoe maoni yake kwa niaba ya Kanisa Katoliki.

Alitoa maoni hayo mbele ya wajumbe wa NEC ya CCM ambapo kabla ya hapo alikuwa Musoma alikotumiwa ndege ya Serikali ikamchukue na kumpeleka Dodoma kwenye kikao hicho.Anasema kuwa kiasi kikubwa cha maoni yake kilizingatiwa kwenye sheria hiyo.

Naisihi Serikali ya sasa imuite Dk Slaa na baadhi ya wasomi na viongozi kama vile Prof. Shivji, DK Nshala, Mzee Butiku nk iwasilize badala ya kuwaona maadui.
 
Mwalimu Nyerere alikuwa msikivu sana hususan kuhusiana na hoja za maana.Dk Slaa kaandika katika kitabu chake kuwa kabla ya Serikali ya Nyerere haijapeleka...
Huyo mwalimu nyerere sii ndio alietengeneza hii katiba wanayoitumia hao watawala ambao nyie munaipigia kelele na kuilalamikia au wewe hufahamu kuwa tunatumia katiba ya tangu enzi za nyerere
 
Ameandika kwenye account yake ya mtandao wa twitter:

Usiku huu, Dkt. Wilbroad Peter Slaa, mashtaka yake yamebadilishwa kutoka katika matumizi ya lugha ya uchochezi sasa amepewa mashtaka ya UHAINI. Dkt. Wilbroad Slaa yupo kituo cha polisi Oysterbay. Taarifa hii ni kutoka kwa wakili wake, Adv. Dickson Matata. Anakuwa mtu wa tatu.
Ni sahihi maana tulimsikia akiongea maneno ya uhaini, ushahidi inao dunia nzima. Alikuwa anawaambia wananchi kuwa waamke tudai Tanganyika yetu, huo siyo uhaini? Unaidai Tanganyika wakati nchi yetu inaitwa Tanzania, ule ni uhaini kwamba serikali ya Tanzania iangushwe waunde serikali ya nchi yao hiyo wanaiita Tanganyika.

Huyo Warioba ni mpuuzi km hao wapuuzi wengine, alishindwa kuipata hiyo Tanganyika akiwa waziri mkuu ataiweza leo ktk uchovu wake huo wa uzee? Ndio maana Mwinyi alimfukuza uwazri mkuu na umakamu wa rais baada ya kuundwa G55 iliyokuwa ikiidai Tanganyika. Huyo hana jipya anataka amalize maisha yake ya hapa duniani vibaya.

Ana kinyongo bado cha kufukuzwa uwaziri mkuu. Kwanza anayemwalika huyo mzee mpuuzi naye ana matatizo, huyo hajawa na nia njema na nchi hii na ndio maana wakati wa katiba mpya alipigwa na vijana wa UV-CCM.

Huyo ndio mchochezi mkubwa, asifikiri anaogopwa utafika wakati hata yeye atashughilikiwa. ni wazee waliokosa busara na watakufa wakiwa wapuuzi hivyo hivyo. Hakuna wa kuvunja muungano nchi hii, hakuna.
 
Ni sahihi maana tulimsikia akiongea maneno ya uhaini, ushahidi inao dunia nzima. Alikuwa anawaambia wananchi kuwa waamke tudai Tanganyika yetu, huo siyo uhaini? Unaidai Tanganyika wakati nchi yetu inaitwa Tanzania...
Kila kilochoundwa uwezakano wa kukivunja upo
 
Andiko lako hili limenifanya niwe na wazo kichwani mwangu.

Huyu mwanamke anaweza kuwa kishajiandalia sehemu ya kukimbilia mambo yatakapomzidi kimo...
Hii kitu nawambia watu kila siku huyu mama ananunua maghorofa uko Dubai, akitoka tu hawezi kukaa hata Zanzibar atakaa kwa wajomba zake uko maisha yake yote na atazikwa uko.

Ndo maana anafanya mambo ya ovyo sana mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya haya. Akina Kikwete Kinana wanamupa kiburi.

Leo hii kikinuka Kikwete ataenda kukaa Singapore alikowekeza Sana pesa zake za wizi. Hana huruma na nchi hii sijui tunakoenda
 
Back
Top Bottom