Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lengo ni kuwaweka ndani bila dhamana hadi wageni watakapotamalaki vizuri bandari zetu!! Mtuhuniwa wa uhaini huwa hana dhamana!! Ni kama vile makelele ya chura YANAMKERA mchotamaji hata kama hayamzuii!! dhamiri zinawauma!!Ameandika kwenye account yake ya mtandao wa twitter:
Usiku huu, Dkt. Wilbroad Peter Slaa, mashtaka yake yamebadilishwa kutoka katika matumizi ya lugha ya uchochezi sasa amepewa mashtaka ya UHAINI. Dkt. Wilbroad Slaa yupo kituo cha polisi Oysterbay. Taarifa hii ni kutoka kwa wakili wake, Adv. Dickson Matata. Anakuwa mtu wa tatu.
Kwa mujibu wa Zwangendaba, lugha kali kwa wakubwa inastahili adhabu ya uhaini, iachwe dola ifanye kazi yake.Kwa hiyo sio uhaini tena ni staha?
Yana mwisho!!Ameandika kwenye account yake ya mtandao wa twitter:
Usiku huu, Dkt. Wilbroad Peter Slaa, mashtaka yake yamebadilishwa kutoka katika matumizi ya lugha ya uchochezi sasa amepewa mashtaka ya UHAINI. Dkt. Wilbroad Slaa yupo kituo cha polisi Oysterbay. Taarifa hii ni kutoka kwa wakili wake, Adv. Dickson Matata. Anakuwa mtu wa tatu.
Wafanye uendawazimu na waachwe tu kwani wakiguswa rais anakuwa kaingilia uhuru wao wa kuongea na kuwasilisha maoni yao!.WAMEMTUSI,KUMDHIHAKI, KUMSIMANGA,KUMTWEZA RAIS WETU KIPENZI CHETU, SIJUI KWA KUWA NI MWANAMKE, AU NI MPOLE AU SIJUI ALIZIDISHA USTAARABU...
Maneno ya kijinga kama haya uyaongee humu humu jukwaani lakini yakiwa ni kichwa cha habari kwenye chombo cha habari fulani, kumbuka kuwa kushughulikiwa ni lazima.Ninyi ni wa hivyohivyo tu. Huwa akili zenu huwa hazijitegemei huwa ni za maelekezo tu, hata mkiagizwa kuolewa huwa mnashangilia tu, wala hamjiulizi.
Bimkubwa anaundiwa zengwe baya kuelekea 2025.Mungu akitaka kukuangusha, sometimes hukunyima maarifa.
Na comment za kijinga kama hizo uwe unazitoalea humuhumu, tukikutana mitaani jitahidi kuuficha upumbavu wako.Maneno ya kijinga kama haya uyaongee humu humu jukwaani lakini yakiwa ni kichwa cha habari kwenye chombo cha habari fulani, kumbuka kuwa kushughulikiwa ni lazima.
Acha mikwara ya kishamba hii, wewe bwana mdogo.Na comment za kijinga kama hizo uwe unazitoalea humuhumu, tukikutana mitaani jitahidi kuuficha upumbavu wako.
Maana utakachofanywa uta left group.
mwandishi kutoka kwa mshindani wetu wa kiuchumi (Kenya),anaripoti Reuter!Sasa tumefikia pazuri
Ndio wapigwe kesi ya uhaini?WAMEMTUSI, KUMDHIHAKI, KUMSIMANGA, KUMTWEZA RAIS WETU KIPENZI CHETU, SIJUI KWA KUWA NI MWANAMKE, AU NI MPOLE AU SIJUI ALIZIDISHA USTAARABU...
Wewe ni wa kukupuuza maana, unachokitaka hakina tija, it's too bad kwamba nilisumbuka kukujibu, ilitakiwa nikupe 'like' tu then nikuache kama ifuatavyo.Acha mikwara ya kishamba hii, wewe bwana mdogo.
Mtajua "mpubavu hasa ni yupi" karibuni.Wafanye uendawazimu na waachwe tu kwani wakiguswa rais anakuwa kaingilia uhuru wao wa kuongea na kuwasilisha maoni yao!.
Huo uhuru ukizidi na ukiwa ni wa kipumbavu huyo Rais anayo haki ya kukuonyesha kwa vitendo ulichokifanya ni upumbavu.
Sukuma gang kaziniMtajua "mpubavu hasa ni yupi" karibuni.
Bila shaka wewe utakuwa umeharibikiwa huko kichwani kwako.Sukuma gang kazini
Ujanja wenu ni humu humu mitandaoni, huko mitaani ni waoga kama mbwa koko tui.Mtajua "mpubavu hasa ni yupi" karibuni.
Mikwara mingi inaishia humu humu JF huko nje hakuna lolote la maana unaloweza kulifanya.Tutawashinda mafisadi
Tutawashinda wadini
Tutawashinda madalali wa hii nchi
Waarabu mnaweza kuja kwa kubebwa na hao watu wenu
But you won't stay long
Hii nchi ya TANGANYIKA ni yetu sisi watanganyika kile kikundi cha wahuni watacheka kwa muda tu
Mungu akutie nguvu Dr.slaa na mawakili wote mliokamatwa kuitetea nchi yetu ya Tanganyika