Dr. Wa ukweli usife moyo kwani penye mafanikio hapakosi changamoto kama hizi na mwisho wake mafanikio yatakuwepo mfano mzuri ni NELSON MANDELA wakati akipigania uhuru wa south afrika
Spinning at the highest order.
Hivi wewe kwa akili zako kama kweli kuna watu wanataka kuwadhuru viongozi wa CHADEMA watahangaika kwa jinsi unavyoelezea hapa.
Siyo kila jambo ni siasa siasa siasa. Siku hizi mwanasiasa hata akikumbana na vibaka anadai wanasiasa wanamfanyizia.
Jifunzeni kutokuwa wepesi wa kupata majibu kabla ya uchunguzi makini.
Cha kushangaza hao hao watu wa usalama mnaowatuhumu kwa matukio mbali mbali yanayowahusu, ndiyo hao hao mnaotueleza mlienda kulipoti tukio.
Yaani umeamua kuja na ID mahususi kwa ajiri ya SPINNING za kiulinzi.
Kweli tutasikia mengi.
Mkuu hawa jamaa wanatafuta attention kwa gharama zote sasa,Spinning at the highest order.
Hivi wewe kwa akili zako kama kweli kuna watu wanataka kuwadhuru viongozi wa CHADEMA watahangaika kwa jinsi unavyoelezea hapa.
Siyo kila jambo ni siasa siasa siasa. Siku hizi mwanasiasa hata akikumbana na vibaka anadai wanasiasa wanamfanyizia.
Jifunzeni kutokuwa wepesi wa kupata majibu kabla ya uchunguzi makini.
Cha kushangaza hao hao watu wa usalama mnaowatuhumu kwa matukio mbali mbali yanayowahusu, ndiyo hao hao mnaotueleza mlienda kulipoti tukio.
Yaani umeamua kuja na ID mahususi kwa ajiri ya SPINNING za kiulinzi.
Kweli tutasikia mengi.
Mkuu si unajua usiposikika ndio unakuwa umekwisha kisiasa ?Ili nimuone Dr anaakili timamu
1. Athibitishe hiyo namba ya gari sisi tuko tayari kufuatilia na kutaja gari ni ya nani.
2. Abandike hiyo picha ya gari iliyo pigwa. Na kama picha imechakachuliwa tutaielewa ninazo tools.
La sivyo huyu mzee atakuwa anazeeka vibaya.
Hawa jamaa wanadhani wanaogea na watu ambao hamnazo.Mkuu si unajua usiposikika ndio unakuwa umekwisha kisiasa ?
Inabidi ufanye lolote lakini sio kama anavyofanya lema ili uonekane upo, hiyo ndio siasa ya chadema
Wanasema hilo gari limewafuata kwa muda mrefu sana na waliweza kulitambua kila wakikutana nalo.Hawa jamaa wanadhani wanaogea na watu ambao hamnazo.
Hivi kweli wewe inakujia akilini. Mzee mzima unakua muongo.
Na Mzee Slaa anatoa maelezo ya kitoto kabisa. Hivi anatuona sisi kama nini huyu mzee?
Asipo thibitisha basi huyu mzee kila kitu atakacho ongea nitajua tu akili zake zimeanza kuliwa nauzee
Hao ni CCMTISS. Kudos Jack Zoka and Ramadhani Ighondu, the nation is watching everything you do...
...Attention mbona mnatupa bure tu wenyewe? mfano MULONGO wenu wa Arusha ameieneza CDM kwa kasi sana siku mbili hizi hadi raha. Na kanda zitatengenezwa 3000 kuwaonyesha watanzania waamue nani ana hatia kati ya RC na Lema. Unajua pamoja na ubaya wenu Mungu ameamua kuwatumia ninyininyi kuwazindua watanzania.Mkuu hawa jamaa wanatafuta attention kwa gharama zote sasa,
Usishangae kesho ukisikia mbunge wa chadema anatoa show ya bolingo kariakoo ili aandikwe magazetini.
Haya mambo ya magari kukufuata au kuongozana nayo katika safari ni jambo la kawaida , wakati mwingine hutokea tu kwani wengine wakiwa kwenye safari ndefu hupenda kuongozana na magari mengine ili wasichoke na pia kuwa na back up kama wakipatwa na lolote barabarani, mimi pia huwa napenda kufuata gari ambalo naliona linaenda safari ndefu kama yangu kama kampani.
Na pia ni kawaida kwa binadamu kuhisi anafuatwa hasa pale anapokuwa mtu maarufu kama Dr.
Mbona mimi nilipotoka kwa Dr kuna magari mawili yalinifuata sana mpaka nikaamua kusimama na kuwapiga mkwara wakasepa? Dr si ana walinzi? kwa nini mlinzi asifyatue moja ya juu ili jamaa wasepe? Unajuje kama hao sio vibaka waliokuwa wanataka kuwapora hela walizochangisha kwenye mikutano?
Msikubali kulaghaiwa na Dr. Slaa.
Note kuwa hajataja namba ya gari. Hii ni kujaribu kujiweka mbali na responsibility za huu uzushi.
Hii simulizi ni sawa Dar Express lifike Arusha halafu waseme Scandnavia lilikuwa linatufuata!
Weka picha ya gari hapa tulione.
Spinning at the highest order.
Hivi wewe kwa akili zako kama kweli kuna watu wanataka kuwadhuru viongozi wa CHADEMA watahangaika kwa jinsi unavyoelezea hapa.
Siyo kila jambo ni siasa siasa siasa. Siku hizi mwanasiasa hata akikumbana na vibaka anadai wanasiasa wanamfanyizia.
Jifunzeni kutokuwa wepesi wa kupata majibu kabla ya uchunguzi makini.
Cha kushangaza hao hao watu wa usalama mnaowatuhumu kwa matukio mbali mbali yanayowahusu, ndiyo hao hao mnaotueleza mlienda kulipoti tukio.
Yaani umeamua kuja na ID mahususi kwa ajiri ya SPINNING za kiulinzi.
Kweli tutasikia mengi.
WanaJF,
Mimi Dr Slaa ambaye kwa siku 4 nimekuwa na ziara ya mkoa wa Iringa,Mbeya na Njombe nilikuwa narudi Dar jana baada ya kulala Iringa mjini kutokea Njombe.
Tukio linaloelezwa ni la kweli na nimelishuhudia mwenyewe. nimeingia kwa jina langu na ID yangu ili kuondoa dhana ya Spinning.
Namshukuru sana aliyetoa Taarifa, na kuliwasilisha kama ilivyotokea bila kuongeza wala kupunguza kitu.
Tuliondoka Iringa majira ya saa 3.30 hivi. Kwa mwanzo hatukutambua kitu, ila mara ya kwanza tuliona gari hilo likitupita kwa kasi km kama 20 hivi baada ya kupita junction ya Ipogolo. Tuliona kawaida. katika hatua hiyo tulijua ni wasafiri wenzetu. baadaye tukawa tunawapita, wanatupita kasi na kupotea, lakini baada ya muda tunawakuta na kutupisha. hatukustuka sana, japo kuanzia Ilula tukaanza kuulizana.
Mlima Kitonga wakatipita kwa kasi sana japo mbele yetu kulikuwa na semitrela kama 4 zikiteremka pole pole sana na nabasi 2 kwenye kona moja basi lililpkuwa mbele yetu kikakwaruzwa na lori lililokuwa lunapanda. Tukachukua tahadhari sana.
Tulipovuka daraja la Mtp Ruaha tukalikuta Lcruiser hiyo imesimama pembeni lakini abiria wake wote walikuwa ndani. tulipolikaribia likaondoka kwa kasi. kidogo tulistuka. sisi tukaamua makusudi kusimama na kununua vitunguu. Tulipofika Mikumi mjini tukalikuta tena likienda taratibu. kuanzia hapo tukawa makini sana hasa kwenye kona na au vichaka vikubwa. kimsingi tukajiweka kwenye hali ya tahadhari kubwa.
Moro tuliingia Petrol Station nao pia wakaingia nyuma yetu lakini hawakujaza mafuta. Punda wakaondoka direction ya Dodoma. Ikumbukwe sisi tumetoka Njombe tumetangaza tunaenda Kongwa ,Jimbo la Ndugai. mimi nikakapata dharura nikapaswa kurudi Dar. hivyo baada ya mufuta tukafuata direction ya Dar. Punde likatokeza tena na kutupita. Tukalipita kidogo kabla ya Chalinze. Baada ya Chalinze hatukuliona tena mpaka tulipolikuta Junction ya Tamko limepaka. mata nyibgine huwa natumia hiyo junction badala ya kuingia Jijini. Na kweli driver akapiga indicator nyingie hapo. nikaagiza tuelekee jijini Dar. ndipo ghafla nao wakaingia barabarani nyuma ya gari langu kabisa. ndipp nikaagiza afisa wangu apande juu ya gari letu -roof top na kulipga picha. kuona hivyo ghafla likatoka pembeni na kupaki. sisi tukaendelea, ndipo mbele kidogo tukakuta askari walioko zamu yao ya kawaida wakatusimamisha na tukawapa taarifa ya halu hiyo.
Sasa katika mazingira hayo kuna mtu bado anafikiria ni spinning anaweza kuamini hivyo hatuwezi kumlazimisha.
Natumaini nimefafanua ya kupotosha. Nawashukuru wote waliotupa pole. Tunaanza na Mungu tunabaki na Mungu. Hatumwogopi Binadamu na mapambano ya ukombozo hayatakoma kwa vitisho vya aiina hiyo, ndiyo kwanza vinatupa ari na mori.
hivi una akili timamu kweli?Namba ya gari si imewekwa hapo juu?Wanasema hilo gari limewafuata kwa muda mrefu sana na waliweza kulitambua kila wakikutana nalo.
Hata kama hawajalipiga picha basi watupatie usajili wa hilo gari/ namba zake
Kama hawana mimi naweza kuwapatia namba ya gari la polisi moja
STG 8915 TOYOTA LANDCRUISER
Kama hiyo haitoshi naweza kuwapatia nyingine nyingi tu ninazikumbuka nilipokuwa polisi au kuna lile la usalama wa taifa namba T500 SER nalo ni li landcruiser ila sijui kama rangi zinafanana