Dkt. Slaa Afuatiliwa na watu wasiojulikana kutoka Iringa hadi Dar Es Salaam

Kubwa zima pumbavu, jirekebishe kwa manufaa ya wanao na wajukuu
Yupi kati yangu na mimi anayetakiwa kujirekebisha?. Yule anayerusha matusi bila kujali kama hili ni jukwaa la watu wote bila kujali kama ni watoto au wazee au mimi ambaye naweka hoja za kistaarabu pamoja na kwamba siyo wote watakubaliana na mimi.
 
Chadema punguzeni uoga mh! kila kitu mana tafuta nyinyi tu yani anaetaka kukuzuru kutoka iringa paka dar anakufata nyuma tu mh!!!!!
 
Chadema punguzeni uoga mh! kila kitu mana tafuta nyinyi tu yani anaetaka kukuzuru kutoka iringa paka dar anakufata nyuma tu mh!!!!!
Soma kwa utulivu,wamefuatiliwa na pia "wakatanguliwa" kwa nyakati tofauti.

Pia kudhuriwa kunaweza kuwa kwa namna nyingi,kwa mfano kuwasababishia ajali nk.
 
hebu twambie ni njia gani zinazoweza kutumika nje ya hizo unazo kataa.
 
Uko Lumumba unajitahidi sana kupost, wewe unacho pinga ni kipi? so unatakatusikubaliane na mleta maada tukubaliane na wewe? Au wewe ndo mhusika mwenyewe?
Ninatoa mawazo yangu kama ulivyo nawe na uwezo wa kufanya hivyo kwa mawazo yako..

Kama hizi siyo spinning. Huyu huyu mleta mada anaonekana kama alikuwa ndani ya gari na Dr. Slaa pamoja na viongozi wengine na ofisa habari. kwani si wote hawa wana VERIFIED ID hapa. Kwa nini wamtume huyu ambaye inavyoonekana amejiandikisha maksusi leo kwa kazi hii?
 
mimi pia nahisi kuna mtu ananifuata
 
hebu twambie ni njia gani zinazoweza kutumika nje ya hizo unazo kataa.
Lwakatare anazijua zaidi yangu. unfortunately, bado yuko gerezani lakini pia kama una haraka unaweza kutembelea video yake YouTube kupata maelekezo na njia mbadala
 

Did you write in a hurry? Keep calm boy!
 

Huwezi ukasema kuwa hiyo ni spinning kama wewe hukuwepo! Inawezekana kweli hao watu walikuwa wanamfuata au inawezekana walikuwa hawamfuati. Hata hivyo, viashiria tulivyoonyeshwa hapo juu, vinaonyesha kuwa hao watu kwenye LCruiser walikuwa na kamchezo fulani. Katika hali ya siku hizi iliyopo Tanzania, kuna haja ya kila mwananchi kuwa macho kwa vile imedhihirika kwamba usalama wa raia hauna uhakika (Rejea kutekwa kwa Dr. Ulimboka, Kibanda, kifo cha Mwangosi n.k.)

Kuna methali ya Kiswahili isemayo, 'Aliyeumwa na nyoka, akiona nyasi hustuka'!
 
Anafuatiliwa kwa lipi alilonalo? Mbona mnamkweza sana yaani watu waache kazi zao wamfuatilie slaa!



Hayo kamuulize wasira. Alisema Kibanda ni nani....labda ingekuwa Mbowe au dr. Slaa.
 
Naona kwa sababu Dk Slaa aliwachana sana TISS Pamoja na ikulu kwa ujumla, pale kwenye mkutano mkubwa wa hadhara Mbeya.
 
Viashiria vinavyoonyesha hapo juu ndiyo viashiria vinanifanya nipate dokezo hili.

Huyu mleta thread, amejuaje kama aliyekuwa anafuatiliwa ni Dr. Slaa wakati anadokeza pia kuwa gari lilikuwa na maofisa wengi wa CHADEMA. Huoni kama anataka kuileta habari yake kwenye centre stage kwa kulihusisha jina la Dr Slaa as a main character na ndiyo iwe Heading ili jamii iguswe na habari yake. THIS IS PURE SPINNING.
 

kachukue ujira wako lumumba,ukakojoe ulale MwanaDiwani
 
Last edited by a moderator:
Karibu sana mkuu. Ila siku nyingine ukitumwa kuandika propaganda waambie wawe makini na wanachukutuma. Hiyo namba uliyoandika ni namba ya gari la chadema ambayo hutumika maalum wakatiwa misafara ya viongozi wa chama hicho. Ni namba ambayo hubadilishwa pindi safari ikifika. Aghalabu hutumika kwa nadara sana hasa pale ambapo kunajengeka hisia kuwa viongozi wapo hatarini
 

watakuwa ni waumini wake hawamuoni church!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…