Dkt. Slaa Afuatiliwa na watu wasiojulikana kutoka Iringa hadi Dar Es Salaam

umepotosha watu maana kwenye taarifa ya habari ya star tv slaa ameonyeshwa akiwa anahutubia njombe ina maana alienda dar kulala na leo akaenda njombe?

Jana Star TV walionyesha habari ya juzi.Leo wameonyesha habari ya mkutano wa jana
 
wamechelewa hata kama hakiwatisha ss kumeshakucha na kifo ni moja ya maisha na hujafa ujaumbika na kila siku tunaomba kuona mbingu mbingu haionwi na mtu hai. na ajabu watatukuta hukohuko
 
Ungeweka picha ya hilo gari ingependeza zaidi
 
Tangu ufukuzwe Chadema umekua desperate sana kwenye mitandao.....
Inavyoonekana una uzoefu wa muda mrefu pamoja na kujiandikisha jf leo mpaka unafahamu ID za watu hapa jf waliofukuzwa CHADEMA.

Umeanza kuonyesha sura yako halisia. Simama kwenye uzi wako huu .Dude!

Ndiyo maana ninasema, hizi spinning zetu hazitawafikisha mbali. You lack experience on electronic warfare.
 
Turudi kwenye mjadala

Hapa hakuna mjadala. Kuna habari ambayo sio authentic. Sasa tutajadili vipi kitu cha magumashi wakati unayemzungumzia yuko hapa JF na anaweza kutoa maelezo ya kuthibitisha kilichotokea?

Kosa la jina tangu lini likaripotiwa polisi kwa maneno bila kuwa na nyaraka ya maandishi inayothibitisha kutoa ripoti?

Acheni uongo wa kitoto...
 

Huyu jamaa tabia zake kama nyoka mmoja anaitwa COBRA.

I hope you know what am talking about...
 
sasa wewe ndo msemaji wa serikali au Magamba?Unatoka povu as if you are very sure with anything. Are you real a Tanzanian by the way? Shameless
 

Mtahubiri sana Uvunjifu wa Amani, ndo kazi iliyo bakia kwenu, Wale wamasai wananyang'anywa Aridhi yao si Uvunjifu wa Amani?

Ndo ngao pekee ambayo sisiemu imebaki nayo
 
Vp battybwoy kichaa kimeisha...
 
Kuna watu wengi hawajajisajili JF lakini ni wasomaji kwa muda mrefu
Sasa wewe unamfahamu vipi mtu aliyefukuzwa CHADEMA lakini hatumii verified id na mpaka muda huu ulikuwa haujakuwa jf members wakati yeye unayo.

Something fishy...
 
sasa wewe ndo msemaji wa serikali au Magamba?Unatoka povu as if you are very sure with anything. Are you real a Tanzanian by the way? Shameless
Una maana gani unaposema REAL. Kwa hiyo kwako REAL ni yule anakubali cheap spinning. Kama hiyo ndiyo maana yake, I'm not REAL Tanzania
 
Kuondolewa kwenye mjadala maana yake nini?

Dr. Slaa anapenda sana kujibu habari za udaku hapa JF. Kwanini asije kuthibitisha hii habari in person?

Story za kutekwa siku hizi zimekuwa deal la kupata umaarufu!!!

I know you butt boy about your hatred on Dr Slaa. Nothing new. Son of a devil is a devil.
 
duuuu magamba bwana asa wanafikiri kumpata dr wa ukweli ni raisi ivo analindwa kuliko wanavofikiri na muda wote watu wapo makini ushauri wafanye kazi za wananchi si kufatilia watu wenye mapenzi na nchi yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…