Dkt. Slaa akamatwa na watu waliojitambulisha kama Polisi

Dkt. Slaa akamatwa na watu waliojitambulisha kama Polisi

mh
Halaleluya daka wote kabisa, bado mbowe na lema na lisu. Daka wote sweka huko lupango na huku kuwanyonga wote hawa wahaini.mhai
mhaini ni wewe na serikali ya ssem isiyojali masilahi ya wananchi wake na kuwajali waarabu,wazalendo watetezi wa rasilimali za nchi wanasekwa ndani ilikupisha rushwa
 
hap0 policccm wamegusa pabaya huyo mwamba huwa harudi nyuma na maneno yake ni makali kuliko radi
Atakamatwa na atatupwa ndani na kazi zitaendelea,usilete mikwala yako ya mbuzi hapa .hakuna anayeogopwa wala anayeweza kushindana na serikali yetu hapa nchini. Sisi ndio wenye nchi na ndio tunasema kuwa kamata tupa ndani huko maana watanzania hatutaki mtu anayechochea machafuko na vurugu nchini
 
Wapuuzi wachache wanatuharibia Nchi...

Bora tu tuwe kama China (tuachane na ngonjera za Demokrasia ambayo ni gharama) wakati kinachoendelea ni Maigizo - Demokrasia when it suits them...

Hata kama wakiachiwa kesho damage ishatendeka (Kuziba watu midomo) au kutokusema / kuongea
 
Ngoja siku moja hawa polisi wajichanganye kusipoingilika wale risasi mpaka waseme waliowatuma. Kwani wakitoa wito kwa barua ya kumwita mtu kituoni kuna shida gani mpaka wavizie? Ipo siku yaja watakoma kutumika kisiasa.
Hata wewe utadakwa tu na tumikwala twako twa mbuzi huyo.hakuna atakayebakia mitaani ikiwa ataendelea kuhamasisha vurugu hapa nchini ,wote ni lazima wazolewe kwa nguvu ili watii sheria zetu na siyo kufanya nchi kama klabu cha pombe cha kila mtu kuzungumza na kuropoka atakacho
 
Atakamatwa na atatupwa ndani na kazi zitaendelea,usilete mikwala yako ya mbuzi hapa .hakuna anayeogopwa wala anayeweza kushindana na serikali yetu hapa nchini. Sisi ndio wenye nchi na ndio tunasema kuwa kamata tupa ndani huko maana watanzania hatutaki mtu anayechochea machafuko na vurugu nchini
machafuko kwa masilahi ya ccm, tunataka haki kwa masilahi ya taifa ccm wajibu hoja za wananchi kupitia hao wawakilishi wao akina slaa na mwabukusi,kuwasweka ndani ndo uchochoezi na taharuki kwa taifa acheni ujinga
 
Back
Top Bottom