Pre GE2025 Dkt. Slaa akamatwa usiku nyumbani kwake Mbweni

Pre GE2025 Dkt. Slaa akamatwa usiku nyumbani kwake Mbweni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Panawaka,

Zile Shutuma alizotoa Kwa Rais mnaona zipo sawa?

Hakuna siasa au harakati za vile tuache siasa za Kishamba.

----
Aina ya Siasa wanazofanya SyW zitawaponza wengi sana... Honestly..
Shutuma chafu sana dhidi ya Mbowe, Rais na watu wanomuunga mkono Mbowe.

Wasichojua hakuna kitu cha maana wanaweza panga CH kisivuje..

Sasa Dr. Slaa kadakwa wanahangaika kufanya updates CH na kutafuta mawakili bila hata utaratibu.

Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo
hiyo si sababu ya ku-arrest mtu
 
Dr. Slaa siyo mjinga. Anajua anachokifanya. Hiyo kamata kamata yake ni kuwatisha wengine. Mwisho wa siku watamuachia aendelee na shughuli zake. Maza hana ubavu wa kuhandle mambo mazito ka haya.
Sasa nani hajui anachokifanya? Na Serikali imemtia kibindoni Ili akome kumchafua Rais kisa upumbavu wao wa huko Chadomo.
 
Unfortunately ndio aina ya siasa tuliyoichagua kuwa nayo hapa nchini.

Watu badala ya kujikita kwenye hoja za kusaidia kutatua matatizo ya wananchi, huwa tunapenda kusikia umbea kama huu unaoibuliwa na kina Slaa.

Raia wanapenda kusikia mambo kama hayo, hivyo wanasiasa nao hawawezi kuacha kuwapa wanachokitaka.
 
Dr Slaa amekamatwa usiku huu.

Inasemekana amepelekwa kituo cha Polisi Mbweni.

Matukio ya kiusalama kuelekea uchaguzi mkuu 2025 angalia hapa: Kuelekea 2025 - Uzi Maalum wa Matukio ya Kiusalama kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akizungumza kwa njia ya simu Dkt. Slaa ameeleza kuwa, polisi wamefika nyumbani kwake na kumchukua na kuelekea naye kituo cha polisi Mbweni.

- Kuelekea 2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma pia: Dkt. Slaa: Tundu Lissu anafaa kuwa Rais wa JMT leo na siyo Oktoba 2025...

View attachment 3197059

Kama wanemkamata Dr. Slaa kwa kuvujisha Mshiko wa Maza kwa FAM kwa nini wasifanye hivyo pia kwa TAL kwa kudai hela za Abdul na Mama yake zimeingizwa CHADEMA kuchafua uchaguzi.

Binafsi sioni tofauti ya alichokisema Lissu na kile alichokisema Silaa.
 
Mzee anaendeshwa na vijana huko club house anajisahau atakuwa karopoka polisi wakamfuata alisaidie jeshi.
 
Kifo cha Kujitakia Hakina Msiba..

Kama Usalama wa Taifa walimwambia Kuhusu Njama za Mama Abdul katika kuharibu au Kumpa Uenyekiti Mbowe Na Kumfedhehesha TAL..

Alitakiwa Ampe TAL Taarifa na Baada ya hapo wafanye Harakati Underground na Sio kwenda Media Na Kuongea alichoongea Serkali haijaribiwi..

Yeye kuwa na Mtu wa Ndani Ndani ya Idara ya TISS tayari ni Tishio kwa Serikali (Hasa kama Taarifa zake Ni za Kweli)..

Na Kibaya zaidi kama Taarifa yake aliyoitoa Ni ya Kweli Inaweza Kupelekea Au Kuhatarisha Maisha yake binafsi..

Wengi wana Watu pandikizi kwenye System Kina Lissu, Kina Mbowe na hata Kina Zitto ila Huwezi kuwakuta Mitandaoni au Club House wanatangaza Hilo..

Hiyo ni uchonganishi baina ya Serikali na Idara zake au Na majeshi yake..

Kutaka Kuonyesha Ufalme Umefitinika..

Pole zake na Akitoka Hapo Ajifunze..

"Sumu Aionjwi kwa Kulambwa"
Hii inaonyesha ni jinsi gani unavyowachukulia watu kuwa ni miungu kwako. Kwa taharifa yako Siri zinavuja ili kutimiza maneno ya Mungu tu. Kuwa Yalio sirini yatahubiriwa juu ya mapaa ya nyuma By Jesus
 
JESHI la Polisi Kanda maalumu ya Dar es Salaam, linamshikilia kwa mahojiano aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Sweeden, Dk Willibrod Slaa.

Slaa alikamatwa jana usiku nyumbani kwake Bweni na mpaka sasa Jeshi hilo halijaweka wazi tuhuma zinazomkabili mwanasiasa huyo ambaye pia amepata kuhudumu katika wadhifa wa Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na mbunge wa Karatu.

Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, mahojiano na mwanasiasa huyo yamekwenda vizuri na hivi sasa wanaangalia sheria zinasemaje ili wachukue hatua zaidi.

Hata hivyo kamanda Muliro hakuwa tayari kueleza kwa undani tuhuma zinazomkabili Dk Slaa ambaye amekuwa mkosoaji mkubwa wa serikali na viongozi wake.
 
Hawa wana ccm wamejijengea mfumo wa kutetemekea wenye mamlaka hata kama wamekosea wana ujinga mwingi sana hawa
Siyo kutetemekea mkuu ni kuabudu. Hao watu wanawaabudu watu alafu wanataka kulazimisha kila mtu aabudu watu Kama wanavyofanya wao na ukikataa wanatamani hata wakuuwe uwa wanaona dunia hii Kama wameiumba mama zao
 
Kule slaa kakamatwa, huku mbowe anaongea na clouds kuhusu chadema na mambo yake, tujadili lipi?
 
JESHI la Polisi Kanda maalumu ya Dar es Salaam, linamshikilia kwa mahojiano aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Sweeden, Dk Willibrod Slaa.

Slaa alikamatwa jana usiku nyumbani kwake Bweni na mpaka sasa Jeshi hilo halijaweka wazi tuhuma zinazomkabili mwanasiasa huyo ambaye pia amepata kuhudumu katika wadhifa wa Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na mbunge wa Karatu.

Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, mahojiano na mwanasiasa huyo yamekwenda vizuri na hivi sasa wanaangalia sheria zinasemaje ili wachukue hatua zaidi.

Hata hivyo kamanda Muliro hakuwa tayari kueleza kwa undani tuhuma zinazomkabili Dk Slaa ambaye amekuwa mkosoaji mkubwa wa serikali na viongozi
wake.
1736487687000.jpg
 
Panawaka,

Zile Shutuma alizotoa Kwa Rais mnaona zipo sawa?

Hakuna siasa au harakati za vile tuache siasa za Kishamba.

----
Aina ya Siasa wanazofanya SyW zitawaponza wengi sana... Honestly..
Shutuma chafu sana dhidi ya Mbowe, Rais na watu wanomuunga mkono Mbowe.

Wasichojua hakuna kitu cha maana wanaweza panga CH kisivuje..

Sasa Dr. Slaa kadakwa wanahangaika kufanya updates CH na kutafuta mawakili bila hata utaratibu.

Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo
Naangaliaga maoni yako, Kisha najisemea ya kwamba tuna safari ndefu sana.
 
Panawaka,

Zile Shutuma alizotoa Kwa Rais mnaona zipo sawa?

Hakuna siasa au harakati za vile tuache siasa za Kishamba.

----
Aina ya Siasa wanazofanya SyW zitawaponza wengi sana... Honestly..
Shutuma chafu sana dhidi ya Mbowe, Rais na watu wanomuunga mkono Mbowe.

Wasichojua hakuna kitu cha maana wanaweza panga CH kisivuje..

Sasa Dr. Slaa kadakwa wanahangaika kufanya updates CH na kutafuta mawakili bila hata utaratibu.

Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo
Pamoja na kwamba Slaa ni mnafiki wala hastahili kuhesabiwa kama mpinzani wa CCM na hata huko CCM kwenyewe hawawezi kumkubali, ni mropokaji anayehaha kukubalika tena, lakini linapokuja suala la kumshutumu rais hiyo ni haki yake kama raia.
Ni upuuzi uliokithiri kufikiri kwamba rais anapaswa kusifiwa tu na haipaswi kushutumiwa, huo upumbavu wa aina hiyo ndiyo unafanya viongozi wanajifanyia mambo hovyohovyo wakijua raia wanawaona wao kama 'miungu-watu' na hakuna anayeweza kuwalaumu wala kuwakosoa.
 
Kazi imeanza tena.

Hizo ndio 4R za mama Abdul
Unajuaje kama kuna makosa ameyafanya?.Sheria za nchi ziko vile vile.4r nikatika mambo ya kisiasa nakijamii sio kwenye uhalifu wakijinai na mengine.nakumbuka huyo alishapewa hadi ubalozi kwahiyo inawezekana kuna kitu kazingua.
 
Back
Top Bottom