Mliompiga risasi ndiyo waogaLissu ni mtu muoga sana,kufungwa na ni wakili anayeogopa kesi zake mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mliompiga risasi ndiyo waogaLissu ni mtu muoga sana,kufungwa na ni wakili anayeogopa kesi zake mwenyewe
Sema unataka amuabudu rais Kama unavyomwabudu wewe. kuwa muwazi tu unazunguka niniAnamchukilia rais kama kitu flani supernatural, some creature above human level with through and through perfections.
Hawafatilii hao mkuu.Slaa alivuliwa hadhi ya kibalozi.Rejea kumbukumbuku zake.
Umesahau kuwa maaskari wengi ni darasa la 7 na form 4 failure yan ma div 4 yale ya mwisho mwisho ndio mana kila kitu wao ni ndio, hawajui kulogic kitu...Ilinishangaza sana mwaka jana madogo waliopiga division 1 kali na 2 nzuri waliombaga kazi za upolice wakapigwa chini kwa kigezo cha wao wanaweza kwenda chuo ile kazi ya upolice wawaachie watu walofeli... Something somewhere is not okay...Really? Alichokisema kinahatarisha usalama wa nchi kweli?
Hata kama walihitaji kumhoji, sioni ulazima wa kumkamata usiku.
Mambo mengine huwa wanaenda overboard. Labda kama hatua za awali za kutaka kuongea naye hazikuzaa matunda.
Ila kama shida yao ilikuwa ni kuongea naye tu, hakuna haja ya kumkamata usiku.
Dkt. Slaa siyo jambazi.
Kwani hao wanaoropoja wao wanaabudu nini? 😁😁Uwezi kuwa nayo ukiwa utaendelea kuwa muabudu wenye madaraka
Amesemaje kuhusu Mama yenu? Primary Source ya hio habari tunaweza kuipata kwenye chombo gani cha habari?Itakuwa alivyomuongelea mama
We kwa akili yako unadhani Slaa ni wa kuendeshwa na vijana? Huyu mtu Slaa ni mtu mwenye akili sana kumbukaMzee anaendeshwa na vijana huko club house anajisahau atakuwa karopoka polisi wakamfuata alisaidie jeshi.
Wanapowaambia ukweli mnaowaabudu unaelewa tu kuwa wao hawaabudu binadamuKwani hao wanaoropoja wao wanaabudu nini? 😁😁
Bado Lissu,Heche na Lema.Kamata kamata wapinzani imerudi.
Wote ni wauaji tu tena huyu wa sasa amezidi mikono yake imelowa damu.Kumlinganisha Maza na JPM ni saswa na kulingajisha maji na mafuta.
Kuna haja gani ya kutungia watu uwongo?Kuingia matatizoni ndiyo kukoje na anayewaigiza nani?
Sawa mkuu😃Acha vitisho vya kijinga, unataka kila mtu awe chawa kama wewe
Sio kusifiwa mkuuPamoja na kwamba Slaa ni mnafiki wala hastahili kuhesabiwa kama mpinzani wa CCM na hata huko CCM kwenyewe hawawezi kumkubali, ni mropokaji anayehaha kukubalika tena, lakini linapokuja suala la kumshutumu rais hiyo ni haki yake kama raia.
Ni upuuzi uliokithiri kufikiri kwamba rais anapaswa kusifiwa tu na haipaswi kushutumiwa, huo upumbavu wa aina hiyo ndiyo unafanya viongozi wanajifanyia mambo hovyohovyo wakijua raia wanawaona wao kama 'miungu-watu' na hakuna anayeweza kuwalaumu wala kuwakosoa.