Pre GE2025 Dkt. Slaa akamatwa usiku nyumbani kwake Mbweni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Awe na amani sana MUNGU na amsaidie

Nchi yetu anakotupeleka huyu mama ni kubaya sana
 
huyo Mzee mwenye roho ya tamaa na usaliti sio balozi gentleman ni mnafiki tu,

acha akaeleze unafiki wake huko polisi na basdae mahakamani ili angalau awe na adabu kidogo kwa viongozi wa kitaifa 🐒
 
Acha vitisho vya kijinga, unataka kila mtu awe chawa kama wewe
 
Mkuu kwao wanaona ni kosa sababu wao wanamuabudu. Sasa ukimkosoa umemgusa kamungu kao.
 
ni muhimu sana akapelekewa sobar house moja kwa moja kwasababu huenda amepata changamoto ya Afya ya akili,

mzee amekua hana adabu kabisa kwa viongozi wa kitaifa, utadhani katoto kadogo,

lakini pia mzee amezidisha unafiki kwa kiwango cha juu sasa. Nadhan jeshi la police limefanya kazi nzuri kumtia nguvuni mzee huyu mwenye tamaa kupindukia, msaliti na asie na shukrani 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…