Umechagua ujinga kuliko maarifaWaliokuzaa ndio wamenipa access.
Hiyo Msaliti wa Kanisa anatapatapa Kwa kukosa wajukuu,umri huo sio wa kupiga makelele ameshakongoloka.
Sasa ngoja ashughulikiwe alikoswa.kipindi.kile.saizi wasimuachie Hadi ashike adabu.
Imipendeza atake ndani 2026.
Mzee kibao alishushwa kwenye bus na nani na kwenda kuuwawa?Kama kakamatwa na polisi ni jambo la kheri kuwa yupo katika mikono salama.
huu mwaka utakuwa wa heka heka nyingi+mauaji
Sinaga maarifa Kwa malofaUmechagua ujinga kuliko maarifa
Anamchukilia rais kama kitu flani supernatural, some creature above human level with through and through perfections.Acha kufundisha watu uoga boss.
huyo Mzee mwenye roho ya tamaa na usaliti sio balozi gentleman ni mnafiki tu,JESHI la Polisi Kanda maalumu ya Dar es Salaam, linamshikilia kwa mahojiano aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Sweeden, Dk Willibrod Slaa.
Slaa alikamatwa jana usiku nyumbani kwake Bweni na mpaka sasa Jeshi hilo halijaweka wazi tuhuma zinazomkabili mwanasiasa huyo ambaye pia amepata kuhudumu katika wadhifa wa Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na mbunge wa Karatu.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, mahojiano na mwanasiasa huyo yamekwenda vizuri na hivi sasa wanaangalia sheria zinasemaje ili wachukue hatua zaidi.
Hata hivyo kamanda Muliro hakuwa tayari kueleza kwa undani tuhuma zinazomkabili Dk Slaa ambaye amekuwa mkosoaji mkubwa wa serikali na viongozi wake.
Acha vitisho vya kijinga, unataka kila mtu awe chawa kama wewePanawaka,
Zile Shutuma alizotoa Kwa Rais mnaona zipo sawa?
Hakuna siasa au harakati za vile tuache siasa za Kishamba.
----
Aina ya Siasa wanazofanya SyW zitawaponza wengi sana... Honestly..
Shutuma chafu sana dhidi ya Mbowe, Rais na watu wanomuunga mkono Mbowe.
Wasichojua hakuna kitu cha maana wanaweza panga CH kisivuje..
Sasa Dr. Slaa kadakwa wanahangaika kufanya updates CH na kutafuta mawakili bila hata utaratibu.
Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo
Huyo jamaa mwezi mchanga.minyoo imepanda kichwani...Mbowe ndio Amiri Jeshi Mkuu siku hizi kiasi awe na mamlaka ya kuvielekeza vyombo vya dola?
Kuingia matatizoni ndiyo kukoje na anayewaigiza nani?Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo
Mkuu kwao wanaona ni kosa sababu wao wanamuabudu. Sasa ukimkosoa umemgusa kamungu kao.Pamoja na kwamba Slaa ni mnafiki wala hastahili kuhesabiwa kama mpinzani wa CCM na hata huko CCM kwenyewe hawawezi kumkubali, ni mropokaji anayehaha kukubalika tena, lakini linapokuja suala la kumshutumu rais hiyo ni haki yake kama raia.
Ni upuuzi uliokithiri kufikiri kwamba rais anapaswa kusifiwa tu na haipaswi kushutumiwa, huo upumbavu wa aina hiyo ndiyo unafanya viongozi wanajifanyia mambo hovyohovyo wakijua raia wanawaona wao kama 'miungu-watu' na hakuna anayeweza kuwalaumu wala kuwakosoa.
ni muhimu sana akapelekewa sobar house moja kwa moja kwasababu huenda amepata changamoto ya Afya ya akili,Dr Slaa amekamatwa usiku huu.
Inasemekana amepelekwa kituo cha Polisi Mbweni.
Matukio ya kiusalama kuelekea uchaguzi mkuu 2025 angalia hapa: Kuelekea 2025 - Uzi Maalum wa Matukio ya Kiusalama kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akizungumza kwa njia ya simu Dkt. Slaa ameeleza kuwa, polisi wamefika nyumbani kwake na kumchukua na kuelekea naye kituo cha polisi Mbweni.
- Kuelekea 2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma pia: Dkt. Slaa: Tundu Lissu anafaa kuwa Rais wa JMT leo na siyo Oktoba 2025...
View attachment 3197059
Uwezi kuwa nayo ukiwa utaendelea kuwa muabudu wenye madarakaSinaga maarifa Kwa malofa
Slaa alivuliwa hadhi ya kibalozi.Rejea kumbukumbuku zake.Hivi balozi mstaafu na aliyewahi kuwa Afisa usalama wa Taifa anaweza kukamatwa na ninyi mkaamini kabisaa kuwa nikweli,huu uhuni utaisha hadi pale waTz watakaposema sasa basi kuzungushiwa dawa ya mbu!!!