Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Wewe umetathimini kwa kusaidiwa na vyombo gani na kuthibitisha kuwa hizo tuhuma anazozitoa huyo mzee ni za uongo?Sawa
Ila kusema vitu vya kutunga ndio matokeo yake.
Mimi muoga kutungia watu uwongo ili nitengeneze jina langu
Sasa vijana uliowataja wameingiaje wakati aliyekamatwa ni Mzee wa miaka zaidi ya 76?Kuna haja gani ya kutungia watu uwongo?
Matusi makubwa sana hayaKitoto cha 2000 hicho Bado kinaishi na kula Kwa shemeji yake, dada yake asipochanua miguu ujue atashinda na njaa siku hiyo
Je atuwezi kudhani wamemchukua mwenzao?Kiusalama ni lazima ahojiwe. Mbaya zaidi alisemea Clubhouse ambamo watu wa usalama wa taifa lazima wamo. Na wanaweza kukurekodi kirahisi tu. Amejitakia mwenyewe.
Amandla...
Mchafu hachafuliwiSafi sana huyu Mzee mpumbavu amekuwa anamchafua Rais kisa upuuzi wao wa kugombea madaraka huko Chadomo via vibaraka wake.
Pia huyu Mzee na Kitima wanatumia Kanisa lao kueneza chuki za kijinga Kwa Rais.
Huyu atiwe adabu asitoke Hadi 2026 itapendeza sana,anajikuta spesho sana na Nchi ni familia yake anaichezea anavyojiskia.
Panawaka,
Zile Shutuma alizotoa Kwa Rais mnaona zipo sawa?
Hakuna siasa au harakati za vile tuache siasa za Kishamba.
----
Aina ya Siasa wanazofanya SyW zitawaponza wengi sana... Honestly..
Shutuma chafu sana dhidi ya Mbowe, Rais na watu wanomuunga mkono Mbowe.
Wasichojua hakuna kitu cha maana wanaweza panga CH kisivuje..
Sasa Dr. Slaa kadakwa wanahangaika kufanya updates CH na kutafuta mawakili bila hata utaratibu.
Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo
Dr. Slaa alishatoka CHADEMA siku nyingi tu.Sasa nani hajui anachokifanya? Na Serikali imemtia kibindoni Ili akome kumchafua Rais kisa upumbavu wao wa huko Chadomo.
Kiusalama ni lazima ahojiwe. Mbaya zaidi alisemea Clubhouse ambamo watu wa usalama wa taifa lazima wamo. Na wanaweza kukurekodi kirahisi tu. Amejitakia mwenyewe.
Amandla...
Ila Slaa ni mtu mahiri wa kucheza mind games.Watu wanachukulia poa lakini sasa hivi huko CCM na serikalini kuko moto zaidi kuliko huu moto wa mabua unaowaka Chadema. Dr. Slaa amesema hao wasiri wake wamemwambia aeleze wazi kuwa taarifa hizo zimetoka huko na kwa sasa wameamua kutoka hadharani hivyo hili jambo ni kubwa,Mama amechokwa kama alivyochokwa Sultan Mbowe ndiyo maana wana maagano yao kusaidiana katika hizi vita zao.
Yaani unajaribu kumfunza nini Cha kuongea Dr Slaa?Kifo cha Kujitakia Hakina Msiba..
Kama Usalama wa Taifa walimwambia Kuhusu Njama za Mama Abdul katika kuharibu au Kumpa Uenyekiti Mbowe Na Kumfedhehesha TAL..
Alitakiwa Ampe TAL Taarifa na Baada ya hapo wafanye Harakati Underground na Sio kwenda Media Na Kuongea alichoongea Serkali haijaribiwi..
Yeye kuwa na Mtu wa Ndani Ndani ya Idara ya TISS tayari ni Tishio kwa Serikali (Hasa kama Taarifa zake Ni za Kweli)..
Na Kibaya zaidi kama Taarifa yake aliyoitoa Ni ya Kweli Inaweza Kupelekea Au Kuhatarisha Maisha yake binafsi..
Wengi wana Watu pandikizi kwenye System Kina Lissu, Kina Mbowe na hata Kina Zitto ila Huwezi kuwakuta Mitandaoni au Club House wanatangaza Hilo..
Hiyo ni uchonganishi baina ya Serikali na Idara zake au Na majeshi yake..
Kutaka Kuonyesha Ufalme Umefitinika..
Pole zake na Akitoka Hapo Ajifunze..
"Sumu Aionjwi kwa Kulambwa"
Mbweni tena jamani mbona hatari2025
Akizungumza kwa njia ya simu Dkt. Slaa ameeleza kuwa, polisi wamefika nyumbani kwake na kumchukua na kuelekea naye kituo cha polisi Mbweni.
Alisemaje?!!Itakuwa alivyomuongelea mama
Moto ndani ya Chadema unawababua CCMWatu wanachukulia poa lakini sasa hivi huko CCM na serikalini kuko moto zaidi kuliko huu moto wa mabua unaowaka Chadema. Dr. Slaa amesema hao wasiri wake wamemwambia aeleze wazi kuwa taarifa hizo zimetoka huko na kwa sasa wameamua kutoka hadharani hivyo hili jambo ni kubwa,Mama amechokwa kama alivyochokwa Sultan Mbowe ndiyo maana wana maagano yao kusaidiana katika hizi vita zao.
Hauwezi kusema hadharani uwa umeambiwa na afisa wa Usalama wa Taifa kuhusu mazungumzo binafsi kati ya Rais na raia mwingine wakipanga kuvunja sheria kwa kuwahonga watu ili wa subvert uchaguzi wa ndani wa chama pinzani ha siasa. Lazima ujue TISS watataka kujua ni nani aliyevujisha mazungumzo ya faragha ya rais.Really? Alichokisema kinahatarisha usalama wa nchi kweli?
Hata kama walihitaji kumhoji, sioni ulazima wa kumkamata usiku.
Mambo mengine huwa wanaenda overboard. Labda kama hatua za awali za kutaka kuongea naye hazikuzaa matunda.
Ila kama shida yao ilikuwa ni kuongea naye tu, hakuna haja ya kumkamata usiku.
Dkt. Slaa siyo jambazi.
Nani hajui kwamba ccm inaingilia michakato ya Cbadema?Panawaka,
Zile Shutuma alizotoa Kwa Rais mnaona zipo sawa?
Hakuna siasa au harakati za vile tuache siasa za Kishamba.
----
Aina ya Siasa wanazofanya SyW zitawaponza wengi sana... Honestly..
Shutuma chafu sana dhidi ya Mbowe, Rais na watu wanomuunga mkono Mbowe.
Wasichojua hakuna kitu cha maana wanaweza panga CH kisivuje..
Sasa Dr. Slaa kadakwa wanahangaika kufanya updates CH na kutafuta mawakili bila hata utaratibu.
Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo
Wamefanya kwa mzukaWamekosea. Waliotoa amri wamefanya kwa Jazba. Walitakuwa watulie kidogo hali itulie. Hivyo walivyofanya raia wengi wataona ni kama anazibwa mdomo hata kama yalikuwa propaganda ya Dr. Slaa