Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni aina mojawapo ya wapumbavu walioko Tanzania!
Unauliza makofi polisi?Yote hii ni ili Mbowe awe mwenyekiti?
Huyo ni Rais wa nchi. Kuna tofauti kubwa kati ya kusema Rais anahonga watu na " nimeambiwa na Afisa wa Usalama wa Taifa kuwa alimsikia Rais akipanga mipango ya kutoa hongo na kweli alitoa pesa za kufanya hivyo. Hilo sio jambo la kawaida.Hizi ni siasa tu za kutupiana maneno, Dr Samia ni Mwenyekiti wa CCM akishutumiwa kuingilia mambo ya Chadema wala sio jambo la ajabu kwenye minyukano ya kisiasa.
Slaa alisema katika nchi za magharibi hairuhusiwi kufanya mambo ya siasa baada ya uchaguzi.Slaa hajawahi sema uongo miaka yake yote tokea kwa Mkapa hadi Sasahivi hata hakina Lissu na Mbowe walikuwa wakitembelea nyota ya Slaa,waga haropoki huyu Mzee ukiona ametamka kitu jua ananyaraka tiyari, aliwahi kumtaja Mkapa kwenye rist ya mafisadi wakati hakiwa rais.
Wakifanya hivyo watakuwa wanamuonea na hawezi kupatikana na hatia.Afunguliwe KESI ya uhaini
Uhaini ni niniAfunguliwe KESI ya uhaini
Kama ile ya mzee Ali Kibao, au hii ni tofauti?Dr Slaa yuko katika mikono salama.
Anaoigia Kampeni Lisu Kwa kumchafua Rais Kwa sababu zipi?Dr. Slaa alishatoka CHADEMA siku nyingi tu.
Ngoja akaongezewe usafi jelaMchafu hachafuliwi
Unaposema umepata habari kutoka TISS ni kuharibu taswira ya TISS. Huwezi kufanya hivyo kwenye Nchi yeyote yenye utawala wa sheria. Athibitishe kauli kwani yeye sio Mwandishi wa habari kwa hiyo halindwi na sheria ya kutomtaja source wa habari yake. Hali hii ikiendelea itafanya watu wakose imani na kuanza kujiuliza kuhusu uweledi wa chombo hicho muhimu.Katukanaje na hiyo taharuki imetokea wapi?
Hayo maelezo yako yameshathibitisha kuwa Slaa kasema Uongo? Imekuwaje umefikia hitimisho kuwa Dr. Slaa anatoa shutuma bila ya vithibitisho?Unaposema umepata habari kutoka TISS ni kuharibu taswira ya TISS. Huwezi kufanya hivyo kwenye Nchi yeyote yenye utawala wa sheria. Athibitishe kauli kwani yeye sio Mwandishi wa habari kwa hiyo halindwi na sheria ya kutomtaja source wa habari yake. Hali hii ikiendelea itafanya watu wakose imani na kuanza kujiuliza kuhusu uweledi wa chombo hicho muhimu.
Huwezi kudai tu bila uthibitisho. Kwa hiyo burden ya proof kwa madai yake ipo kwake.
Angeanza yeye kwanza kuwa consistent..Hata kama….hiyo hailalishi yeye kunyanyaswa.
Ni muhimu kuwa consistent kwenye haya mambo.
Kwa sababu anaongea as a sweeping statement.Kwamba huyo afisa usalama alimsikia Rais akizungumzia kuhusu hongo.Hivyo kama hasemi uongo athibitishe sasa.Hayo maelezo yako yameshathibitisha kuwa Slaa kasema Uongo? Imekuwaje umefikia hitimisho kuwa Dr. Slaa anatoa shutuma bila ya vithibitisho?
Kuongea mno ni dhambi!!??Wanaongea mno
Ndiyo kakamatwa... Na kuthibitisha si mahakamani? Jee Rais anaweza kwenda mahakamani kuthibitisha kwamba hakusema/kupanga anayosema Slaa?Kwa sababu anaongea as a sweeping statement.Kwamba huyo afisa usalama alimsikia Rais akizungumzia kuhusu hongo.Hivyo kama hasemi uongo athibitishe sasa.
Si amtaje huyo aliyemwambia (ofisa usalama)ili nae athibitishe kwamba alimwambia Slaa.Ndiyo kakamatwa... Na kuthibitisha si mahakamani? Jee Rais anaweza kwenda mahakamani kuthibitisha kwamba hakusema/kupanga anayosema Slaa?