Pre GE2025 Dkt. Slaa akamatwa usiku nyumbani kwake Mbweni

Pre GE2025 Dkt. Slaa akamatwa usiku nyumbani kwake Mbweni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Panawaka,

Zile Shutuma alizotoa Kwa Rais mnaona zipo sawa?

Hakuna siasa au harakati za vile tuache siasa za Kishamba.

----
Aina ya Siasa wanazofanya SyW zitawaponza wengi sana... Honestly..
Shutuma chafu sana dhidi ya Mbowe, Rais na watu wanomuunga mkono Mbowe.

Wasichojua hakuna kitu cha maana wanaweza panga CH kisivuje..

Sasa Dr. Slaa kadakwa wanahangaika kufanya updates CH na kutafuta mawakili bila hata utaratibu.

Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo
hacha kutisha watu kenge we
 
Dr. Slaa siyo mjinga kufanya vile.
Anajua anafanya nini na siyo mara ya kwanza kusema hivyo.
Yule mzee kwa sasa hayupo sawa kisaikolojia - tangu ubalozi wake ulipokoma ni kama ana kinyongo hivi.
 
Ubaya wote umetokea kwa mbowe kwani slaa anajua siri nyingi za mbowe na akiendelea kuwa huru ataongea vingi vya Mbowe na kumwathiri siku ya uchaguzi, Mbowe kaamua Slaa apewe msoto ili iwe ni njia ya kumyamazisha apate kuidhoofisha kambi ya Lisu kiwepesi bila kikwazo
 
Yule mzee kwa sasa hayupo sawa kisaikolojia - tangu ubalozi wake ulipokoma ni kama ana kinyongo hivi.
Lakini kwa sasa mbowe ndiyo kamtengenezea zengwe ili kuidhoofisha kambi ya Lisu
 
Lawama zote abebe Mbowe ndiyo yupo ya yote yanayomtokea slaa sasa
 
Back
Top Bottom