imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kuna uhaini gani hapo? Waache kumsumbua Mzee.Mhaini, kasema tundu Lissu anafaa kuwa Rais wa jmt leo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna uhaini gani hapo? Waache kumsumbua Mzee.Mhaini, kasema tundu Lissu anafaa kuwa Rais wa jmt leo!
Tusubiri tuone😎Huyo anaachiwa leo.
Alitukana vipi?Yaani atukane aachwe.Hujui kutukana ni kosa la jinai. Pia kuna kuzusha na kuleta taharuki pia ni kosa.Akathibitishe.
Sasa wewe kwa akili yako unafikiri Dr. Slaa alivyo na I.Q kubwa anashindwa kufahamu masuala ya Recordings and bugging??..Kiusalama ni lazima ahojiwe. Mbaya zaidi alisemea Clubhouse ambamo watu wa usalama wa taifa lazima wamo. Na wanaweza kukurekodi kirahisi tu. Amejitakia mwenyewe.
Amandla...
Sijawahi kumpima IQ yake wala kuipata mahali popote. Naomba niambie ukubwa wa hiyo IQ yake.Sasa wewe kwa akili yako unafikiri Dr. Slaa alivyo na I.Q kubwa anashindwa kufahamu masuala ya Recordings and bugging??..
Haya manyumbu ya Mbowe yana ujinga mwingi sana.Sasa wewe kwa akili yako unafikiri Dr. Slaa alivyo na I.Q kubwa anashindwa kufahamu masuala ya Recordings and bugging??..
Mimi sipo kwa Mbowe wala Lissu mkuu. Mimi ni neutral alafu SIPENDI SIASA..Haya manyumbu ya Mbowe yana ujinga mwingi sana.
Inasikitisha sana kuona watu wanafagilia sana kutekana karne hii kisa tu hawataki Tundu Lisu awe kiongozi,ccm wana shida sana.Dr Slaa amekamatwa usiku huu.
Inasemekana amepelekwa kituo cha Polisi Mbweni.
Matukio ya kiusalama kuelekea uchaguzi mkuu 2025 angalia hapa: Kuelekea 2025 - Uzi Maalum wa Matukio ya Kiusalama kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akizungumza kwa njia ya simu Dkt. Slaa ameeleza kuwa, polisi wamefika nyumbani kwake na kumchukua na kuelekea naye kituo cha polisi Mbweni.
- Kuelekea 2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma pia: Dkt. Slaa: Tundu Lissu anafaa kuwa Rais wa JMT leo na siyo Oktoba 2025...
View attachment 3197059
Kufa basi kama hupendi siasa ila dunia ibaki shwari bila bughudha.Mimi sipo kwa Mbowe wala Lissu mkuu. Mimi ni neutral alafu SIPENDI SIASA..
CCMCaptured by unkown people
Kufa kwanza wewe kvma..Kufa basi kama hupendi siasa ila dunia ibaki shwari bila bughudha.
Na wewe ni nyumbu wa sultan mbowe?Mimi sipo kwa Mbowe wala Lissu mkuu. Mimi ni neutral alafu SIPENDI SIASA..
Tayari umekubali kuwa wewe ni mwanasiasa.Kufa kwanza wewe kvma..
Welcome to my ignore list..Tayari umekubali kuwa wewe ni mwanasiasa.
Kukurupuka Hakuitaji Umri Mkuu!Yaani unajaribu kumfunza nini Cha kuongea Dr Slaa?
Kwa Maarifa, uzoefu na umri alionao Unadhani aweza kukurupuka?