hacha kutisha watu kenge wePanawaka,
Zile Shutuma alizotoa Kwa Rais mnaona zipo sawa?
Hakuna siasa au harakati za vile tuache siasa za Kishamba.
----
Aina ya Siasa wanazofanya SyW zitawaponza wengi sana... Honestly..
Shutuma chafu sana dhidi ya Mbowe, Rais na watu wanomuunga mkono Mbowe.
Wasichojua hakuna kitu cha maana wanaweza panga CH kisivuje..
Sasa Dr. Slaa kadakwa wanahangaika kufanya updates CH na kutafuta mawakili bila hata utaratibu.
Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo
Shauri yenu😃hacha kutisha watu kenge we
Mbowe ndiyo katengeneza hayo ili amdhoofishe lisuHii sio sawa
Mbowe hana huruma kwa sasa nafanya kazi kwa Akili za chawa zake akina wenje sugu mdee Boniface na wengineo wajinga wajinga ndiyo wamemshauri Mbowe amtengenezee Slaa tukio ikiwa ni mbinu ya hovyo ya kumdhoofisha LisuNdio utaratibu wa kukamata huo?
Na badoMbowe ndiyo katengeneza huo uone ili kumdhoofisha kambi ya lisu
Siasa za mbowe zimekuwa za hovyo sana mda wote anawaza kuumiza wapinzani wakeUmeshangaa !?
Siasa ndivyo zilivyo 😅
Mbowe laana za kuiba pesa za chadema zinamtesa kiakiliNa bado
Mbowe anataka slaa akae jela ili awe huru kuhujumu kambi ya Lisu bila kikwazoKuna uhaini gani hapo? Waache kumsumbua Mzee.
Mbowe anahaha kuwateketeza kambi ya lisu anatamani hata wafe wote, Mbowe kawa mchawi hatariKitendo Cha Dkt. Slaa, kukamatwa Leo Ijumaa, ni timing nzuri sasa atapata dhamana Jumatatu
Yule mzee kwa sasa hayupo sawa kisaikolojia - tangu ubalozi wake ulipokoma ni kama ana kinyongo hivi.Dr. Slaa siyo mjinga kufanya vile.
Anajua anafanya nini na siyo mara ya kwanza kusema hivyo.
Lakini kwa sasa mbowe ndiyo kamtengenezea zengwe ili kuidhoofisha kambi ya LisuYule mzee kwa sasa hayupo sawa kisaikolojia - tangu ubalozi wake ulipokoma ni kama ana kinyongo hivi.
Zis iz akoding to mama Abdulz.Kuna uhaini gani hapo? Waache kumsumbua Mzee.
Usimuingize Mungu kwenye haya mambo.Dr Yumo Rumande!!
MTU una miaka 76, unamtafuta mungu maneno😳
Nyie wafuasi wa Mr ropo mtamuua mzee wa watu!!Duh。。。!
P