Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hawawezi CCM nao ni waogaWanaweza kuwakamata wote, na uchaguzi ukaishia hapo kwa Lissu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawawezi CCM nao ni waogaWanaweza kuwakamata wote, na uchaguzi ukaishia hapo kwa Lissu.
Kwa maana atafurahi kukamatwa?Hao wameongia kwenye mfumo wa Dr. Slaa, ni dhahiri anajua kuwa kwa maneno yake lazima jamaa wangemrukia fasta tu,swali ni jee ana agano gani na hao wasiri wake ndani ya TISS? Stay tuned kuna kitu kinasukwa. Chadema kwa moto lakini CCM nako kwa moto zaidi.
Ana afya njema tu, ukimchunguza yupo stressed, hivi yule mke wake wa kihaya yupo wapi? / angekuwa ni wale akina Mdude, angestahili viboko 30!,kwa utovu wa nidhamu.Ukuu wa Wilaya seventies
The system...Dr Slaa amekamatwa usiku huu.
Inasemekana amepelekwa kituo cha Polisi Mbweni.
Soma pia: Dkt. Slaa: Tundu Lissu anafaa kuwa Rais wa JMT leo na siyo Oktoba 2025...
Awataje hao usalama wa taifa waliompatia taarifa.Wamekosea. Waliotoa amri wamefanya kwa Jazba. Walitakuwa watulie kidogo hali itulie. Hivyo walivyofanya raia wengi wataona ni kama anazibwa mdomo hata kama yalikuwa propaganda ya Dr. Slaa
Nimemsikia anavyoongea, analafudhi ya kizee anauma meno. Mikiki na purukushani za U-dc hataziweza kabisa.Ana afya njema tu, ukimchunguza yupo stressed, hivi yule mke wake wa kihaya yupo wapi? / angekuwa ni wale akina Mdude, angestahili viboko 30!,kwa utovu wa nidhamu.
Hakuna cha 4R Kwa mtu anayezusha uongo Kiasi kileKazi imeanza tena.
Hizo ndio 4R za mama Abdul
Atawataja tuAwataje hao usalama wa taifa waliompatia taarifa.
Wangemwambia ajipeleke tu ila kwakuwa wwanapenda kujustify matumizi ya pesa walipane posho wakaona wamfuateHalafu wanamkamata usiku…..utadhani ni jambazi au gaidi!
Wangefanyaje underground. Kwenye uchaguzi huu Lissu na Slaa hawana sehemu ya kukimbilia zaidi ya public. Wakirudi kwenye Chama wanamkuta Mbowe. Wapi waende, wanakimbilia kwenye public ili wahusika watiwe aibu kwamba waneshajulikanaKifo cha Kujitakia Hakina Msiba..
Kama Usalama wa Taifa walimwambia Kuhusu Njama za Mama Abdul katika kuharibu au Kumpa Uenyekiti Mbowe Na Kumfedhehesha TAL..
Alitakiwa Ampe TAL Taarifa na Baada ya hapo wafanye Harakati Underground na Sio kwenda Media Na Kuongea
Safi sana huyu Mzee mpumbavu amekuwa anamchafua Rais kisa upuuzi wao wa kugombea madaraka huko Chadomo via vibaraka wake.Dr Slaa amekamatwa usiku huu.
Inasemekana amepelekwa kituo cha Polisi Mbweni.
Akizungumza kwa njia ya simu Dkt. Slaa ameeleza kuwa, polisi wamefika nyumbani kwake na kumchukua na kuelekea naye kituo cha polisi Mbweni.
Soma pia: Dkt. Slaa: Tundu Lissu anafaa kuwa Rais wa JMT leo na siyo Oktoba 2025...
View attachment 3197059
Mshenzi sana huyu ,ningeshangaa kama angeachwaPanawaka,
Zile Shutuma alizotoa Kwa Rais mnaona zipo sawa?
Hakuna siasa au harakati za vile tuache siasa za Kishamba.
----
Aina ya Siasa wanazofanya SyW zitawaponza wengi sana... Honestly..
Shutuma chafu sana dhidi ya Mbowe, Rais na watu wanomuunga mkono Mbowe.
Wasichojua hakuna kitu cha maana wanaweza panga CH kisivuje..
Sasa Dr. Slaa kadakwa wanahangaika kufanya updates CH na kutafuta mawakili bila hata utaratibu.
Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo
endelea kusuport ujinga ,...kujeni sababu nyingine ila sio shutuma nyepesi vile mtu hutakiwi sema mawazo yakoPanawaka,
Zile Shutuma alizotoa Kwa Rais mnaona zipo sawa?
Hakuna siasa au harakati za vile tuache siasa za Kishamba.
----
Aina ya Siasa wanazofanya SyW zitawaponza wengi sana... Honestly..
Shutuma chafu sana dhidi ya Mbowe, Rais na watu wanomuunga mkono Mbowe.
Wasichojua hakuna kitu cha maana wanaweza panga CH kisivuje..
Sasa Dr. Slaa kadakwa wanahangaika kufanya updates CH na kutafuta mawakili bila hata utaratibu.
Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo
Hivi nyie mnamuona rais ni kama malaika kwamba hatakiwi kusemwa kwa baya lolote hata kama kalifanya?Panawaka,
Zile Shutuma alizotoa Kwa Rais mnaona zipo sawa?
Hakuna siasa au harakati za vile tuache siasa za Kishamba.
----
Aina ya Siasa wanazofanya SyW zitawaponza wengi sana... Honestly..
Shutuma chafu sana dhidi ya Mbowe, Rais na watu wanomuunga mkono Mbowe.
Wasichojua hakuna kitu cha maana wanaweza panga CH kisivuje..
Sasa Dr. Slaa kadakwa wanahangaika kufanya updates CH na kutafuta mawakili bila hata utaratibu.
Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo