Pre GE2025 Dkt. Slaa akamatwa usiku nyumbani kwake Mbweni

Pre GE2025 Dkt. Slaa akamatwa usiku nyumbani kwake Mbweni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Panawaka,

Zile Shutuma alizotoa Kwa Rais mnaona zipo sawa?

Hakuna siasa au harakati za vile tuache siasa za Kishamba.

----
Aina ya Siasa wanazofanya SyW zitawaponza wengi sana... Honestly..
Shutuma chafu sana dhidi ya Mbowe, Rais na watu wanomuunga mkono Mbowe.

Wasichojua hakuna kitu cha maana wanaweza panga CH kisivuje..

Sasa Dr. Slaa kadakwa wanahangaika kufanya updates CH na kutafuta mawakili bila hata utaratibu.

Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo
Ndio utaratibu wa kukamata huo?
 
Tunajuaje nani kamuitia polisi, inaweza kuwa Mbowe/CDM ndio wamemshitaki kuwatungia uongo.

Ndio akathibitishe sasa hao wajumbe wa Nyasa wanaotaka rushwa, hayo maongezi ya bi-tozo na Mbowe kwenye simu, loud enough wasaidizi wake luluki wasikie maana inaonekana uwa wanarundikana mpaka ofisini kwake kiasi kwamba ni rahisi kutoa siri za maongezi yake bila ya kujulikana.

Uongo wa Dr Slaa saa zingine yaani anaona watu watoto wadogo kweli.

Kama Mbowe/CDM wameshitaki sawa, lakini kama serikali imemkamata hii sasa ni double standard; kwanini Slaa akamatwe halafu Mwamakula aachwe maana wote uongo wao unafanana tu.
Wewe umetumia kipimo gani kuthibitisha kuwa ni UONGO.....??
 
Wamekosea. Waliotoa amri wamefanya kwa Jazba. Walitakuwa watulie kidogo hali itulie. Hivyo walivyofanya raia wengi wataona ni kama anazibwa mdomo hata kama yalikuwa propaganda ya Dr. Slaa
Serikalini huko karibu idara zoote wamejaa vilaza tu vichwa vyepesi sana halafu wana mamlaka makubwa ya kufanya maamuzi na tatizo ndipo lilipo kubwa
 
Akathibitishe Sasa kuwa Raisi Samia aliagiza CHADEMA/Mbowe ipewe fedha za kampeni.

Akathibitishe kuwa usalama wa taifa nao wamechoshwa na yanayoendelea ndani ya utawala wa Samia. Hivyo wameamua kutoka kama jeshi lolivyotoka 2010.

Ukitoka tuhuma, uwe tayari kuthibitisha.
 
Panawaka,

Zile Shutuma alizotoa Kwa Rais mnaona zipo sawa?

Hakuna siasa au harakati za vile tuache siasa za Kishamba.

----
Aina ya Siasa wanazofanya SyW zitawaponza wengi sana... Honestly..
Shutuma chafu sana dhidi ya Mbowe, Rais na watu wanomuunga mkono Mbowe.

Wasichojua hakuna kitu cha maana wanaweza panga CH kisivuje..

Sasa Dr. Slaa kadakwa wanahangaika kufanya updates CH na kutafuta mawakili bila hata utaratibu.

Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo
Kwaio police wamemkamata kisa alimshambulia mbowe?wee mpuuz sana
 
Subiri utaambiwa kesho ila hajamgusa Bibi ushungi kweli?
Zile shutuma alizotoa ili kua lazima akathibitishe, lkn wasinge mkamata usiku,angeitwa tu...na watata awataje hao aliojigamba eti wako ndani ya vyombo vya dola waliompa taarifa ya mipango na mawasiliano ya Raisi na Mbowe
 
Back
Top Bottom