Ndio utaratibu wa kukamata huo?Panawaka,
Zile Shutuma alizotoa Kwa Rais mnaona zipo sawa?
Hakuna siasa au harakati za vile tuache siasa za Kishamba.
----
Aina ya Siasa wanazofanya SyW zitawaponza wengi sana... Honestly..
Shutuma chafu sana dhidi ya Mbowe, Rais na watu wanomuunga mkono Mbowe.
Wasichojua hakuna kitu cha maana wanaweza panga CH kisivuje..
Sasa Dr. Slaa kadakwa wanahangaika kufanya updates CH na kutafuta mawakili bila hata utaratibu.
Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo
Wewe umetumia kipimo gani kuthibitisha kuwa ni UONGO.....??Tunajuaje nani kamuitia polisi, inaweza kuwa Mbowe/CDM ndio wamemshitaki kuwatungia uongo.
Ndio akathibitishe sasa hao wajumbe wa Nyasa wanaotaka rushwa, hayo maongezi ya bi-tozo na Mbowe kwenye simu, loud enough wasaidizi wake luluki wasikie maana inaonekana uwa wanarundikana mpaka ofisini kwake kiasi kwamba ni rahisi kutoa siri za maongezi yake bila ya kujulikana.
Uongo wa Dr Slaa saa zingine yaani anaona watu watoto wadogo kweli.
Kama Mbowe/CDM wameshitaki sawa, lakini kama serikali imemkamata hii sasa ni double standard; kwanini Slaa akamatwe halafu Mwamakula aachwe maana wote uongo wao unafanana tu.
Ndicho wanachokifikiria hicho kwamba asiongelewe wakati kila siku anakamata kinyesi chake kwa mkono.Hivi nyie mnamuona rais ni kama malaika kwamba hatakiwi kusemwa kwa baya lolote hata kama kalifanya?
Serikalini huko karibu idara zoote wamejaa vilaza tu vichwa vyepesi sana halafu wana mamlaka makubwa ya kufanya maamuzi na tatizo ndipo lilipo kubwaWamekosea. Waliotoa amri wamefanya kwa Jazba. Walitakuwa watulie kidogo hali itulie. Hivyo walivyofanya raia wengi wataona ni kama anazibwa mdomo hata kama yalikuwa propaganda ya Dr. Slaa
Hawa wana ccm wamejijengea mfumo wa kutetemekea wenye mamlaka hata kama wamekosea wana ujinga mwingi sana hawaNdicho wanachokifikiria hicho kwamba asiongelewe wakati kila siku anakamata kinyesi chake kwa mkono.
Na ujinga wao wote hoja zao na kujiamini kwao nikwasababu ya upoliccm kinyume chake hamna lolote kwa wajinga hawo.Hawa wana ccm wamejijengea mfumo wa kutetemekea wenye mamlaka hata kama wamekosea wana ujinga mwingi sana hawa
Mbona hukutia neno alipozawadiwa Ubalozi na chama chako??Mshenzi sana huyu ,ningeshangaa kama angeachwa
Wait n see.Kwa maana atafurahi kukamatwa?
Kwaio police wamemkamata kisa alimshambulia mbowe?wee mpuuz sanaPanawaka,
Zile Shutuma alizotoa Kwa Rais mnaona zipo sawa?
Hakuna siasa au harakati za vile tuache siasa za Kishamba.
----
Aina ya Siasa wanazofanya SyW zitawaponza wengi sana... Honestly..
Shutuma chafu sana dhidi ya Mbowe, Rais na watu wanomuunga mkono Mbowe.
Wasichojua hakuna kitu cha maana wanaweza panga CH kisivuje..
Sasa Dr. Slaa kadakwa wanahangaika kufanya updates CH na kutafuta mawakili bila hata utaratibu.
Vijana kuweni makini, mtaingia kwenye matatizo na wakukusaidieni hawatakuwepo
Dk Slaa ni 'kifaranga' wa siasa za Tz?Siasa za bongo ukiwa unakamatwakamatwa ndio unaishia tena kama kina mtikila, hazikupi umaarufu wowote hasa ukiwa kifaranga hata BBC hawakujui....
Wewe punguani shetani wakati wote ni kufurahia mambo ya kishetani.Maria Sarungi kamuingiza chaka huyu Slaa, mwache akanyee debe kidogo akili imkae vizuri😎😎
Kwaio kafanya kosa kuongea ukweli?Mhaini, kasema tundu Lissu anafaa kuwa Rais wa jmt leo!
Zile shutuma alizotoa ili kua lazima akathibitishe, lkn wasinge mkamata usiku,angeitwa tu...na watata awataje hao aliojigamba eti wako ndani ya vyombo vya dola waliompa taarifa ya mipango na mawasiliano ya Raisi na MboweSubiri utaambiwa kesho ila hajamgusa Bibi ushungi kweli?
Kamuulize MwendazakeMbona hukutia neno alipozawadiwa Ubalozi na chama chako??
Hawawezi kukuelewa hata kidogoHivi balozi mstaafu na aliyewahi kuwa Afisa usalama wa Taifa anaweza kukamatwa na ninyi mkaamini kabisaa kuwa nikweli,huu uhuni utaisha hadi pale waTz watakaposema sasa basi kuzungushiwa dawa ya mbu!!!
Mama yako anahusikaje hapa?Itakuwa alivyomuongelea mama