Hivi wakuu ni kwel njaa inaweza kukutoa akili? Je wazee kama hawa ambao kupitia siasa washapata pesa zao mpaka ubaloz, je ni njaaa hii au ana tatizo la akili au ni unafiki?? Hivi hakuna namna ya kukaa kimya na kula ulichochuma?
Bado anatafuta uteuzi?
Hii nchi imekuwa ilivyo sasa kwa sababu ya watu kama huyu asiyejua kipi anakisimamia maishani mwake.
Kwa hiyo leo ndio amegundua ubatili wa hayo aliyoyafanya Magufuli; mbona hakuhoji alipokuwa anahongwa hongo ya ubalozi?
BTW: Huko ubalozini alifanya jambo lipi la manufaa kwa nchi aliyoiwakilisha kwa muda wote aliokuwa huko. Anaweza kutaja hata jambo moja tu?
Ninashangaa sana bado kuna watu wanampa 'relevance', hadi ya kuleta takataka zake hapa jukwaani.
Hoja ya nini kwa mtu mpumbavu,aliyoyafanya awamu ya tano yana uzima kweli kwenye taifa huru na lenye demokrasia?..jadili hoja yake.
..matusi hayasaidii.
Haya basiHata ikibackfire haina shida kwani sitakufa
Lile kofi alilipewaga mzee ruksa alipaswa apigwe huyu mzee kipindi hiki[emoji38][emoji38][emoji38] alishawahi kusema hata Canada watu wanapigwa risasi , kwahiyo tusishangae Lissu kushambuliwa
"Mtoa hoja"? Nani Slaa?..uko nje ya mada.
..jadili hoja iliyoko mezani, usimjadili mtoa hoja.
"Mtoa hoja"? Nani Slaa?
Utatenganisha vipi mtoa hoja na hoja anazowasilisha?
Ninaamini nipo ndani ya hoja kikamilifu.
Kama huniamini, soma mtiririko wa michango inayowekwa hapa.
Ninakubaliana na we juu ya umuhimu wa hoja; lakini kwa bahati mbaya sana aliyeiwasilisha si mfano mzuri wa hoja inayowasilishwa, ndiyo sababu watu wengi wanageukia kwa mleta hoja badala ya hoja yenyewe...naamini hoja hii ni muhimu na hatutaitendea haki kama tutajikita kwenye kumchambua na kumshambulia mtoa hoja.
Hata mimi nimeshangaa kwa nini watu hawajadili hoja wanamjadili mtoa hoja,..uko nje ya mada.
..jadili hoja iliyoko mezani, usimjadili mtoa hoja.
Mbona mama nae alivyoshika madaraka alizuia?vp kuhusu yyDkt. Slaa anasema katazo la Magufuli lilikuwa null void ab initio.
Yaani ni agizo haramu na halina tofauti na agizo ambalo halikuwepo.
Msikilizeni Dr hapa chini.
Watu wengi wanatumia akili ndogo kuchambua mambo magumu yanayohitaji akili kubwa.Hata mimi nimeshangaa kwa nini watu hawajadili hoja wanamjadili mtoa hoja,
Lakini nimeshangaa zaidi kwa mtu kama kalamu naye kuingia kwenye mkumbo huo,
Kama hivi ndio Watanzania tulivyo, basi inasikitisha sana.
Dr Slaa kwa mambo aliyozungumza, itoker bahati mbaya aone majibu au mwitikio wa Watanzania ulivyo hapa, basi atakuwa na kitu kigumu sana kuwatetea au hata kuwapa elimu wananchi,
Tuna mihemko ya kijinga sana ninaweza kusema hivyo,
Mimi naungana na Dr Slaa katika yote aliyozungumza humu
Mbona mama nae alivyoshika madaraka alizuia?vp kuhusu yy
Kigeugeu. Kwanini hakuyasema wakati simba mwenyewe akiwa hai? Au njaa na kiu ya asali ya mama?Dkt. Slaa anasema katazo la Magufuli lilikuwa null void ab initio.
Yaani ni agizo haramu na halina tofauti na agizo ambalo halikuwepo.
Msikilizeni Dr hapa chini.
Kweli wewe joka kwa hii hadaa kubwa umetisha wewe ni jokaDkt. Slaa anasema katazo la Magufuli lilikuwa null void ab initio.
Yaani ni agizo haramu na halina tofauti na agizo ambalo halikuwepo.
Msikilizeni Dr hapa chini.