- Thread starter
- #181
Hivi wakuu ni kwel njaa inaweza kukutoa akili? Je wazee kama hawa ambao kupitia siasa washapata pesa zao mpaka ubaloz, je ni njaaa hii au ana tatizo la akili au ni unafiki?? Hivi hakuna namna ya kukaa kimya na kula ulichochuma?
..nadhani hoja yake imewashinda kuipangua ndio maana mmeishia kumtukana.