The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Sio popo...ni mfia dini .Huyu mzee ni popo
Wakati wa Magufuli alimuunga mkono kila kitu Hadi udikteta..
Now anapinga kila kitu hata demokrasia mradi Rais sio wa dini yake...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio popo...ni mfia dini .Huyu mzee ni popo
anajiandaa kurudi kwenye siasa za majukwaani - kwa sasa naona ataibukia kwa Zitto.Aache unafiki. Wakati wa UKUTA alikuwa upande wa watesi leo katumbuliwa kajifanya kugeuka.
Ndo tatizo ya akili ndogo we tuletee katazo Hilo harafu ndo uje na maneno Yako hayo machafu
Mngepunguza ushabiki mngeelewa Sasa inaonekana mmepanga vya kusikia tu hamtaki tofautiAache unafiki. Wakati wa UKUTA alikuwa upande wa watesi leo katumbuliwa kajifanya kugeuka.
Dini pia ilimshinda, Padri mwenye wake wawili wapi na wapi?.Sio popo...ni mfia dini .
Wakati wa Magufuli alimuunga mkono kila kitu Hadi udikteta..
Now anapinga kila kitu hata demokrasia mradi Rais sio wa dini yake...
Ni ngumu sana kumuelewa Dr. Slaa kwa akili za kawaida, na hapa watanzania wajifunze kutumia swali la kwanini? Na huyu ameshawajibia hilo swali. Zuio lilikuwa kinyume na katiba na imebaki hivyo kimsingi hilo tamko ni kusema possibly Rais Hassan kashurutishwa na wadau wa maendeleo.
Naomba linkAlisema tena Liwaaambia waende mahakaman
Kwanza Magufuli hakukataza iyo mikutano ya hadhara ila alibadilisha mfumo kuwa Kila mtu afanye sehemu yake ya Jimbo lakini hoja ya Dr. Ni kwamba kwa ngazi ya Rais lazima kuwepo na official document ya Hilo tamko ndo hata Rais mwingine anaweza kuliondoa Sasa wote wawili wametoa tamko la mdomo then who know kesho uyo Rais ataamua nn kama nchi haitakiwi kufurahia tu Kila jambo au kulaumu kwa Kila jambo huu ujinga kunasiku utatukosti sanaLeo mnasema katazo halikiwepo? Kwa hivyo CHADEMA walijiamulia kutofanya mikutano na juzi Rais Samiah karuhusu kwa kujifurahisha?. Tupunguze unafiki. Unakumbuka harakati za UKUTA?
Kama Slaa ana matatizo, basi wewe una matatizo kama yake, as simple as that.Sio popo...ni mfia dini .
Wakati wa Magufuli alimuunga mkono kila kitu Hadi udikteta..
Now anapinga kila kitu hata demokrasia mradi Rais sio wa dini yake...
MBWAAAAAA WEWEEEEE TULIAKULEEE PAMBAAAFUUUUU
Muache atoe maoni yake, kama unataka afunge domo lake nawe funga lako.Halina hata aibu kufungua domo lake Leo wakati wote wa Magufuli alikuwa kimyaa akiunga mkono kilakitu
Kwahiyo na Ben Saanane hakupotea Kwa sababu hakuna taarifa ya polisi inasema hakupotea?
Kwahiyo ndio anataka kusemaje? Kuna kinachomtafuta huyu mzee na kitampata[emoji116]View attachment 2470528
Karibu nyumbani Dr Slaa[emoji116]View attachment 2470528