Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Slaa asituchoshe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anao alizaa na rose kamili wakati akiwa bado padre wa kanisa.Hivi Slaa anamtoto?
Dkt. Slaa anasema katazo la Magufuli lilikuwa null void ab initio.
Yaani ni agizo haramu na halina tofauti na agizo ambalo halikuwepo.
Msikilizeni Dr hapa chini.
Alisema tena Liwaaambia waende mahakamanMbona wakati mwendazake, aliookuwa hai hakuyasema hayo
Wanasiasa bana [emoji1]
Ova
Dkt. Slaa anasema katazo la Magufuli lilikuwa null void ab initio.
Yaani ni agizo haramu na halina tofauti na agizo ambalo halikuwepo.
Msikilizeni Dr hapa chini.
Huyu mzee ni popoHuyu ndiyo maana hatakumbukwa kamwe kama mwenzake Kafulila. Huyu ana maneno mengi sana yasiyo na maana
Dr Slaa, Old wine in old bottles.
Huyu ni wa kumpotezea tu! 🙏🙏🙏
Ndo tatizo ya akili ndogo we tuletee katazo Hilo harafu ndo uje na maneno Yako hayo machafuHalina hata aibu kufungua domo lake Leo wakati wote wa Magufuli alikuwa kimyaa akiunga mkono kilakitu
Kwahiyo na Ben Saanane hakupotea Kwa sababu hakuna taarifa ya polisi inasema hakupotea?