Mnafki sana huyu mzeeeeHalina hata aibu kufungua domo lake Leo wakati wote wa Magufuli alikuwa kimyaa akiunga mkono kilakitu
Kwahiyo na Ben Saanane hakupotea Kwa sababu hakuna taarifa ya polisi inasema hakupotea?
wanasiasa wote ni wanafkiMnafki sana huyu mzeeee
J#ng#aaa kabisaaa huyu
Am telling you, hii nchi pambana na hali yako! Hawa watu sio wajinga, ila chakula yao inategemea na wao kuonekana wapumbavu!Halina hata aibu kufungua domo lake Leo wakati wote wa Magufuli alikuwa kimyaa akiunga mkono kilakitu
Kwahiyo na Ben Saanane hakupotea Kwa sababu hakuna taarifa ya polisi inasema hakupotea?
Wewe ndiyo mwenye haki ya kuongea lakini Dr Slaa afunge domo?Halina hata aibu kufungua domo lake Leo wakati wote wa Magufuli alikuwa kimyaa akiunga mkono kilakitu
Kwahiyo na Ben Saanane hakupotea Kwa sababu hakuna taarifa ya polisi inasema hakupotea?
Jamani muulizeni kwanza kama amepiga mswaki kuondoa ndaza kabla ya kuongea haya.Halina hata aibu kufungua domo lake Leo wakati wote wa Magufuli alikuwa kimyaa akiunga mkono kilakitu
Kwahiyo na Ben Saanane hakupotea Kwa sababu hakuna taarifa ya polisi inasema hakupotea?
Hakukuwa na katazo lolote kisheria!Katazo lilikuwepo , katazo haramu, ndio maana tunasema Magufuli alikuwa dikteta aliyekuwa akiipuuza katiba ila Slaa anasema Magufuli hakua dikteta
We jamaa huwa upo neutral sana mungu akubariki.Kama Slaa ana matatizo, basi wewe una matatizo kama yake, as simple as that.
Kama Slaa ni mfia dini, hata nawe ni mfia dini vile vile ndio maana hujawahi kuona baya lolote la Zitto au Samia, you are simply hopeless. Unataka kutudanganya Samia kuzuia mikutano ya siasa kwako ilikuwa demokrasia!
Kwako Slaa kutokuona baya la Magufuli, una conclude ni kwasababu ya dini yake, yani ujinga uliojaza kwenye kichwa na moyo wako, ndio huo huo unautumia kuhukumu wengine, hovyo kabisa.
Ndiyo tatizo la kufakamia nguruwe bila kipimo ile minyoo isiyokufa lazima itaathiri kichwa chako kwahiyo yeye aliona kilichozuiwa na magu ilikuwa sherehe za harusi!
Chuki ni mzigo, pole sana.Sio popo...ni mfia dini .
Wakati wa Magufuli alimuunga mkono kila kitu Hadi udikteta..
Now anapinga kila kitu hata demokrasia mradi Rais sio wa dini yake...
Ninachokumbuka aliwahi kulizungumzia ili kipindi cha mwendazake alikuja likizo! aliwaambia waende Mahakaman kupinga tamko la RaisHalina hata aibu kufungua domo lake Leo wakati wote wa Magufuli alikuwa kimyaa akiunga mkono kilakitu
Kwahiyo na Ben Saanane hakupotea Kwa sababu hakuna taarifa ya polisi inasema hakupotea?
Wewe pia hujamuelewa Dr.Kwanza Magufuli hakukataza iyo mikutano ya hadhara ila alibadilisha mfumo kuwa Kila mtu afanye sehemu yake ya Jimbo lakini hoja ya Dr. Ni kwamba kwa ngazi ya Rais lazima kuwepo na official document ya Hilo tamko ndo hata Rais mwingine anaweza kuliondoa Sasa wote wawili wametoa tamko la mdomo then who know kesho uyo Rais ataamua nn kama nchi haitakiwi kufurahia tu Kila jambo au kulaumu kwa Kila jambo huu ujinga kunasiku utatukosti sana
Hii inahusika vipi?Halina hata aibu kufungua domo lake Leo wakati wote wa Magufuli alikuwa kimyaa akiunga mkono kilakitu
Kwahiyo na Ben Saanane hakupotea Kwa sababu hakuna taarifa ya polisi inasema hakupotea?
MKUU na ww umetekwa na siasa ya ushabiki?ulitaka dr aseme uongo?ni maoni yake km ilivyo ya kwako nakasema kweli ila ukiwa na siasa yanga na simba n vigumu kumwelewa watu km dr slaaKwahiyo ndio anataka kusemaje? Kuna kinachomtafuta huyu mzee na kitampata
Hapana elewa logic amemaanisha mabavu ya utawala usio wa kisheria wa system chini ya mwendazake! Hakuna sheria ya katazo iliyowahi kupitishwa na kisheria ilipaswa kupitishwa na Bunge!Yameibuka haya tena
JIBU HOJA LAKE NA C MATUSI.MARA NYNG WENYE AKILI MGANDO BADALA YA KUJIBU HOJA WANATUKANANdiyo tatizo la kufakamia nguruwe bila kipimo ile minyoo isiyokufa lazima itaathiri kichwa chako kwahiyo yeye aliona kilichozuiwa na magu ilikuwa sherehe za harusi!