Dkt. Slaa anadaiwa kusafirishwa Usiku huu (August 14, 2023) kuelekea Mbeya

Dkt. Slaa anadaiwa kusafirishwa Usiku huu (August 14, 2023) kuelekea Mbeya

Hii ndio Taarifa ya sasa tunayokunong'oneza kutoka kwenye vyanzo vyetu vya Uhakika , Kwamba Balozi Dr Wilbrod Slaa ambaye ni miongoni mwa Watetezi wa Bandari za Tanganyika , anasafirishwa Usiku huu kuelekea Mbeya , kwa lengo la kuunganishwa na 'wahaini' wenzake ili wafikishwe Mahakamani .

Utetezi wake wa Mali za Tanganyika umempa kesi ya Uhaini .

View attachment 2717521
Nchi ngumu sana hii,halafu Rostam Aziz yupo nyuma ya hii saga
 
Nimekuelewa mkuu umeenda mbali.Nimemaanisha,kwa nini kutumia nguvu nyingi kukinzana na watu wadogo kuliko serikali ili kuleta suluhu?Wanatufundisha nini hapo?Kuua mende kwa nyundo ya kuvunjia majabali au kuua chawa kwa AK 47?Tutafika?
For sure hatufiki.. Kuna namna mamlaka zinapwaya au kutowajibika ipasavyo. Ndio maana mizigo ya lawama wanaangushiwa wengine
 
Why mbeya?

Wachuna ngozi walianzia mbeya!!!

Mlipuko wa madhehebu Mbeya!!!

DP world waichagua mbeya kujenga msikiti mkubwa mbeya!!

Kesi ya kupinga kubinafsishwa bandari Mbeya!!!

Kesi ya Uhaini Mbeya!!!

Nabii Filikunjombe pia alitokea Mbeya!!!

Prophet Mwabukusi anatokea Mbeya!!!

Mbeya kunani?!¡???
Mtume Mwamposa Mbeya 😂😂
 
Acha apelekwe tu ili akajibu mahakamani.masuala ya madawati sijui ajira yanatekelezwa vizuri sana na serikali yetu,.miezi michache iliyopita serikali yetu imemwaga maelfu ya ajira kwa vijana katika kada za ualimu ,afya n.k.kila mwaka inafanya hivyo na inaendelea kufanya hivyo.wachochezi wote ni lazima wasakwe popote walipo na kutupwa ndani .
Wanachochea kuhusu nini sisi wa vijijini tujue.
Kwani hawapo wasemaji wa kujibu hoja zao
 
mmmmh! Sawa ila hakuna net kule na kuna mmbu nukus. Wala mbususu haupat
Mandela alikaa miongo takribani mitatu.Na wengine wengi tu.Kusumbua wanaharakati/wapiganiao haki hakuna tofauti na kujilisha upepo kwa kutumia kijiko.Suluhu au maelewano huja baada ya busara kupewa muda itamalaki ilipopungua au kukosekana.
 
Hii ndio Taarifa ya sasa tunayokunong'oneza kutoka kwenye vyanzo vyetu vya Uhakika , Kwamba Balozi Dr Wilbrod Slaa ambaye ni miongoni mwa Watetezi wa Bandari za Tanganyika , anasafirishwa Usiku huu kuelekea Mbeya , kwa lengo la kuunganishwa na 'wahaini' wenzake ili wafikishwe Mahakamani .

Utetezi wake wa Mali za Tanganyika umempa kesi ya Uhaini .

View attachment 2717521
Yana mwisho
 
Aisee ???

Hivi watu wakisema Tanganyika wanaongelea hilo jina Nyika za Tanga au wanaongelea eneo fulani kabla ya kuungana na eneo jingine ?; Kwa mantiki yako Africa ingekuwa inaitwa Afru-ika, (Motherland) au aphrike, (without cold) au aprica, (sunny) ingekuwa sio hii Afrika ?.
Rudi tena ukasome ni nani alituletea jina la Africa ndipo uje ulinganishe na nilichoandika mimi
 
Back
Top Bottom