KIGENE
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,552
- 813
Dawa ni kuiacha demokrasia itamalaki,kwa sababu hata Zimbabwe bila shaka walijaribu China na Asia lakini haikuwasaidia.Si tunaweza kufanya biashara na nchi za Asia na China?? Au nako pia haitowezekana??
Naomba kuuliza, kwani so far tunapeleka bidhaa gani huko Ulaya???