Dkt. Slaa: CHADEMA walimteka mtu wao, wakamtesa, wakamtupa, mimi nikajua watekaji ni Usalama wa Taifa

Munachukia wasema ukweli. Dr Slaa ni mmoja wa viongozi bora Tanzania. Mumezowea opportunists kama Zitto Kabwe na puppets kama Tundu Lissu. Hampendi ukweli. Viongozi njaa bila siasa hawali
Sijui watumia vigezo gani ndugu? Tundu Lissu ndie mkweli wa kweli.
Aliwindwa na kumiminiwa marisasi kama swala, kwa kusema na kuwaambia ukweli. Mwendazake aliambiwa hadharani kuwa ni dikteta Aliyowaambia kwenye sakata la makinikia yaliwauma lakini kimya kimya waliyafuata.
Kwa maana halisi ya puppet kaangalie tena kwa hao wengine.
 
Umaskini ni mbaya na akuna kitu kibaya dunian km kua maskini umaskin unapoteza utu, akili , fikla, mawazo, hekima na mengneyo
Vijana tutafteni pesa tuje kulinda utu wetu tukikua
 
Kuna kitu kaongea hapa kuhusu kuteka na Red brigade then kuna kifo Cha CHACHA WANGWE hapa kuna kitu ndani ya hivi vyama vya siasa
 
Police wanatakiwa wamkamate mara moja huyu paroko aliyeasi, ni mnafiki wa viwango vya juu
 
Nafikiri Slaa anaamini anamjua Magufuli kuliko Rais Samia au Dr. Mpango!
Watu waliofanya kazi pamoja,wakiongea karibu kila siku, kwamba yeye alivyoitwa na kupewa ubalozi na kutudanganya eti alimpa masharti asimlazimishe aingie ccm!! Magufuli ni mtu wa kumpa masharti kweli.
Kwa umashuhuri gani aliokuwa nao? Kwamba yeye alikuwa ni mwanadiplomasia saana kiasi cha kumtishia Magufuli!!
Umesikia viongozi wenzako walitaka kuua,umeambiwa ukanyamaza kimya,mbona hiyo ilikuwa sababu nzito sana ya kuondoka Chadema kuliko ya Lowasa.
Au anataka kutuambia uliridhishwa na sababu za kutaka kumuua,ukaona ukae kimya!!
Kwamba tofauti zake na Lowasa ni principals.
Unasema Chadema kwa nini wasiende mahakamani kwa issue ya kina Mdee, yeye kumng'a ng"ania Lowasa ni fisadi kuna mahakama yoyote imewahi kuthibitisha hizo tuhuma? Pamoja na rafiki yake Magu kwa mbwembwe kumjengea na mahakama eti ya mafisadi,lini alimshauri Magufuli ampeleke Lowasa mahakamani,ili ithibitishe tuhuma zake na uzuri na yeye angekuwa sehemu ya mashahidi!!
Kwa nini hakumpa masharti Magu kuwa ukitaka niwe balozi mpeleke mahakamani Lowasa ndo tungeona kweli kidume.
 
Kwanini usubiri ukweli uropokwe na mtu wakati hii ni nchi yenye vyombo vinavyoweza kufanya uchinguzi vikaleta majibu.tofauti na hapo ni unafiki tu.
 
kweli CHADEMA ni chama cha magadi! Na mwenyekiti wake alikutwa na mahakama kuwa ana kesi ya kujibu japo baadaye wakamshit!
 
Kwanini usubiri ukweli uropokwe na mtu wakati hii ni nchi yenye vyombo vinavyoweza kufanya uchinguzi vikaleta majibu.tofauti na hapo ni unafiki tu.
Ila akiropoka Lisu ni sawa.

Vyombo vyenyewe haviaminiki ndiyo maana tunasubiri ku-hear from the horse's mouth.
 
Tunajadili hoja za Dr Slaa
 
Tunajadili hoja ya Dr Slaa
 
Elewa hoja, jadili hoja jikite katika hoja
 
"Kuna kipindi Mwenyekiti wetu @ChademaTz Wilaya alitekwa saa 6 usiku na kuumizwa akatupwa ununio. Mimi nikaita vyombo vya habari kukemea vyombo vya Usalama kuteka watu.Baada ya mwezi mmoja mmoja wa walinzi wetu wa chama akaniambia yeye alihusika kumteka" Dkt. Slaa
source😀ar24 https://t.co/hPjWe6288V
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…