AahaaaaaaIla wakuwaamini ni Lissu na Mbowe waliosema Lowassa ni fisadi mpaka wakamtaja kwenye list of shame baadae hao hao wakamteua kuwa mgombea wao wa Uraisi
Kuna yule mataga sijui aliendaga wapi,thread kama hizi ni lazima apost picha ya Mbowe,Lissu,Mnyika na Msigwa wakimponda Lowasa kabla hajahamia CHADEMA na kauli zao baada ya Lowasa kuhamia CHADEMAUnamwaminije mtu ambae haamini anasimamia nini, mambo mawili tu yananifanya nione kama Hana uhalali wa kuongea ni huyu aliwaita ccm mafusadi waovu wasiofaa lakini alitoka chadema akajiunga nao akapewa ubalozi akala nao meza moja namwinije sasa
Alisema alivokua chadema kuna mtu alitekwa wakaripoti polisi kesho yake mtekwaji akasema alijiteka akiwa katibu mkuu akatunza Siri ya mbinu za chama chake alivotoka akaanza kuzitoa nimwaminije mzee kama huyu
Kushambuliwa kwa lissu nako ni majanga huyu mzee hakuonesha wala kulaani lile tukio
AahaaaaaKwahiyo unawaamini waliotoa orodha ya mafisadi Papa Mwembeyanga, miaka michache mbele wakamchukua fisadi mmojawapo na kumpa nafasi kugombea ngazi ya juu(cheo Cha juu) kuliko vyote nchini?, Huwa nahisi Kuna nguvu za giza zilitumika kuwafanya watu mataahira 2015, badala ya kushambulia waliomkaribisha Lowassa alishambuliwa Slaa na kuonekana mbaya, waliobadili gia angani walionekana wajanja.
Wamesahau Asante kwa kuwakumbushaKwahiyo unawaamini waliotoa orodha ya mafisadi Papa Mwembeyanga, miaka michache mbele wakamchukua fisadi mmojawapo na kumpa nafasi kugombea ngazi ya juu(cheo Cha juu) kuliko vyote nchini?, Huwa nahisi Kuna nguvu za giza zilitumika kuwafanya watu mataahira 2015, badala ya kushambulia waliomkaribisha Lowassa alishambuliwa Slaa na kuonekana mbaya, waliobadili gia angani walionekana wajanja.
Unamuongeleaje Mbowe aliyempokea Lowassa na kuzunguka nchi nzima kumsafishaUnamwaminije mtu ambae haamini anasimamia nini, mambo mawili tu yananifanya nione kama Hana uhalali wa kuongea ni huyu aliwaita ccm mafusadi waovu wasiofaa lakini alitoka chadema akajiunga nao akapewa ubalozi akala nao meza moja namwinije sasa
Alisema alivokua chadema kuna mtu alitekwa wakaripoti polisi kesho yake mtekwaji akasema alijiteka akiwa katibu mkuu akatunza Siri ya mbinu za chama chake alivotoka akaanza kuzitoa nimwaminije mzee kama huyu
Kushambuliwa kwa lissu nako ni majanga huyu mzee hakuonesha wala kulaani lile tukio
Ndivyo walivyoaminishwaHii Nchi ina matutusa wengi sana
Lini Dr Slaa alirudi CCM?
🤣🤣🤣🤣🤣Unamuongeleaje Mbowe aliyempokea Lowassa na kuzunguka nchi nzima kumsafisha
🤣🤣🤣🤣Kuna yule mataga sijui aliendaga wapi,thread kama hizi ni lazima apost picha ya Mbowe,Lissu,Mnyika na Msigwa wakimponda Lowasa kabla hajahamia CHADEMA na kauli zao baada ya Lowasa kuhamia CHADEMA
Dah!,,siasa hizi acha tu.Ila wakuwaamini ni Lissu na Mbowe waliosema Lowassa ni fisadi mpaka wakamtaja kwenye list of shame baadae hao hao wakamteua kuwa mgombea wao wa Uraisi
Ukiwa mshabiki wa chama utateseka kweli kweli labda uwe chawaDah!,,siasa hizi acha tu.
Unamwaminije mtu ambae haamini anasimamia nini, mambo mawili tu yananifanya nione kama Hana uhalali wa kuongea ni huyu aliwaita ccm mafusadi waovu wasiofaa lakini alitoka chadema akajiunga nao akapewa ubalozi akala nao meza moja namwinije sasa
Alisema alivokua chadema kuna mtu alitekwa wakaripoti polisi kesho yake mtekwaji akasema alijiteka akiwa katibu mkuu akatunza Siri ya mbinu za chama chake alivotoka akaanza kuzitoa nimwaminije mzee kama huyu
Kushambuliwa kwa lissu nako ni majanga huyu mzee hakuonesha wala kulaani lile tukio
Sawa na wewe zungumza ili tukudharau kama Dr Slaa!Unamwaminije mtu ambae haamini anasimamia nini, mambo mawili tu yananifanya nione kama Hana uhalali wa kuongea ni huyu aliwaita ccm mafusadi waovu wasiofaa lakini alitoka chadema akajiunga nao akapewa ubalozi akala nao meza moja namwinije sasa
Alisema alivokua chadema kuna mtu alitekwa wakaripoti polisi kesho yake mtekwaji akasema alijiteka akiwa katibu mkuu akatunza Siri ya mbinu za chama chake alivotoka akaanza kuzitoa nimwaminije mzee kama huyu
Kushambuliwa kwa lissu nako ni majanga huyu mzee hakuonesha wala kulaani lile tukio