Unamwaminije mtu ambaye haamini anasimamia nini, mambo mawili tu yananifanya nione kama Hana uhalali wa kuongea ni huyu aliwaita CCM mafisadi waovu wasiofaa lakini alitoka Chadema akajiunga nao akapewa ubalozi akala nao meza moja namwinije sasa.
Alisema alivokua chadema kuna mtu alitekwa wakaripoti polisi kesho yake mtekwaji akasema alijiteka akiwa katibu mkuu akatunza Siri ya mbinu za chama chake alivotoka akaanza kuzitoa nimwaminije mzee kama huyu.
Kushambuliwa kwa lissu nako ni majanga huyu mzee hakuonesha wala kulaani lile tukio.
Alisema alivokua chadema kuna mtu alitekwa wakaripoti polisi kesho yake mtekwaji akasema alijiteka akiwa katibu mkuu akatunza Siri ya mbinu za chama chake alivotoka akaanza kuzitoa nimwaminije mzee kama huyu.
Kushambuliwa kwa lissu nako ni majanga huyu mzee hakuonesha wala kulaani lile tukio.