Dkt. Slaa katika uzinduzi wa jengo la kuhifadhia madawa CCBRT

mzee ajifunze kutokea smart kwenye hadhira ya watu!!, mtu anatokea kama ametokea chumbani??

nguo hajachomekea, very dis-organized!




 
Watanzania kwa unafki bana, sijui nchi itajukwamua vipi kutoka hapa tulipo. " eti tunataka mabadiliko kutoka ccm" kuna watanzania wa kupima akili.!
 
Hivi tangia Josephine afungie nguo za Dr. Slaa, bwana huyu ameshindwa hata kupata vinguo decent vya mitumba?
 
Dah haka kazee kanapenda urais sana,ona kapambana hadi kaupata japo 'urais' wa CCBRT!
Uroho wa madaraka mbaya sana,naona hapo kafarijiiiiika mwenyewe na Mushumbusi wake.
 
Aisee kweli siasa ni mchezo wa hatari sana, yaani slaa anaonekana kama mjasiriamali aliyepata mkopo
 
uvaaji gani huo? mibwanga kama mcheza shoo wa pepekale!! mi mtu akinivalia hivyo akatoka kwenye issue kubwa hivyo nampa likizo,

hapo ni nje hiyo bukta, boxer itakuwa imepwaya balaa
 
Ivi Slaa kamtambua JK kama raisi wake haaaa haaaa kweli siasa haina rafiki wala adui wa kudumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…