Dkt. Slaa katika uzinduzi wa jengo la kuhifadhia madawa CCBRT

...hii si habari mpya......slaa tayari alikuwa mwenyekiti(rais) wa bodi ya ccbrt tangu kitambo....ameshawahi hata kutembea matembezi ya hisani ccbrt na kina JK....uenyekiti(urais) wa slaa kk bodi ya ccbrt si jambo jipya...labda kama mnataka kuwaaminisha watu hivyo ili wasahau kilichotokea kwa slaa kisiasa....Labda jambo jipya lije liwe yeye slaa kurudi ccm alikokuwa kitambo kabla hajaenda chadema...jambo ambalo sasa tayari ni tetesi....Soma gazeti la mwanahalisi....
 
Mwa J, eti kama mcheza shoo wa Pepe Kalle
uvaaji gani huo? mibwanga kama mcheza shoo wa pepekale!! mi mtu akinivalia hivyo akatoka kwenye issue kubwa hivyo nampa likizo,

hapo ni nje hiyo bukta, boxer itakuwa imepwaya balaa
 
Josorobert

Sijaona hapo RAIS hata mmoja,afadhali angekuwepo RAIS wa ACUDO INPACT ningeshoboka kidogo.
 
Last edited by a moderator:
Dr. Slaa wewe ndo kiongozi wa kweli uliyebakia. MUNGU AKULINDE MILELE
 
 
Maajabu haya hivi makonda si angetoshantu kwenda kuzindua
 
Yaani kaondoka Ukawa na Shati likampwaya!
 
Jmn ama kweli,,,kikwete siojui kifo chake kitakuwaje namchukia zaidi ya shetani,,,anagawa vyeo hovyo hovyo tuuu tn anafanya kwa makusudi kbxaa
 
Kaamua kujipa cheo cha urais!
Baada ya kuona Urais wa JMT umebuma, kaona bora ajipe Upresidaa wa CCBRT.

Duh............... Dr wa Mihogo ana mikwara.................................................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…