Tetesi: Dkt. Slaa kuibuka na Umoja Party

Tetesi: Dkt. Slaa kuibuka na Umoja Party

its the old technique that CCM has been using... Wagombanishe, wagawanye kisha uwatawale. Kumbuka UKAWA ilivyosambaratika dakika za majerushi kabla ya uchaguzi Mkuu.
ndio maana sasaiv ccm wanahaha maana chadema imewashika pabaya na 2025 huku kanda ya ziwa ccm haitapata majimbo zaid ya 10.
 
Slaa anataka katiba mpya wakati Magufuli alipinga vikali katiba mpya

Magufuli pia aliamini katika mfumo wa chama kimoja, ambacho ni CCM, na wanaopinga CCM ni marafiki wa mabeberu
Unakumbuka jibu alilotoa Tundu Lissu alipoulizwa kwanini wamekubali kupokea ruzuku ingawa sababu za kukataa mwanzo hazijabadilika? Mimi nilimwelewa vizuri ndio maana kuna directions mpya tunahitaji.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Umoja Party ndo chama kitachosimama badala ya Chadema.

Umoja Party kisitegemee ruzuku pekee maana ruzuku hiyo huwa yatumika kudidimiza harakati za vyama vya upinzani.

Umoja Party kikazanie kuandikisha wanachama wa kutosha ambao ni si chini ya milioni mbili na zaidi.

Chama kianzishe wito wa "Donate Now" ili kupata wafadhili na wachangiaji wa juhudi za ukuaji wake kuwa cama kiuu cha upinzani.

Chama kijitangaze nchi nzima kwa kutumia rasilimali iliyopo ya mitandao ya kijamii ili kujiweka katika nafasi ya kutambulika rasmi na kujijenga.

Chama kizingatie masuala makuu matano

1. Kusimama pamoja
2. Mikutano ya kila mwaka.
3. Utungaji na uendelezaji sera za chama.
4. Kufanya mikutano ya hadhara na mikutano ya kampeni.

Yaani Umoja Party kiwe tofauti kabisa na vyama ambavyo kwa sasa vipio kwa jina.

Kuhusu Dr Slaa ni kwamba huyu ni mwanasiasa ambae anafaa kuongozxa chama kwa kuanzia kwani ana uzoefu, umahili wa kuweza kujenga hoja na ni mtu mwenye msimamo usoyumba.

Wale wanodai kuwa aliyumbishwa kwa kupewa nafasi ya ubalozi, hiyo twaweza kusema ilikuwa iwe hivyo ili kuleta "compromise" na akiwa mwanasiasa wa kweli ni lazima aeleze kwanini alikubali kurejea CCM na kukuibali nafasi ya ubalozi nchini Canada.

Mengine tutaendelea kuchangia zaidi na kwamba bado twaongeklea tetesi.
 
Ndio taarifa za chini kwa chini kwamba Dr Slaa ataibuka na chama kipya cha Umoja ( Umoja Party)

Taarifa zaidi zitawajia kwa kadri zitakavyothibitishwa hasa na watu wa ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa

Mlale unono!
Hiki kama Mungu akijalia ndo kitakuwa chama changu Cha kwanza kujiunga nacho Mungu saidia UMOJA PARTY kipate usajili
 
Ukweli uliowazi tunahitaji upinzani wenye nguvu na wenye hoja na hekima, unaotambua serikeli mbili za muungano na kuheshimu vyombo vya dola pamoja na kuheshimu viongozi wa vyama vingine.

Hatuhitaji upinzani unaochafua watu wengine ambao unahisi watakuja kugombea urais huko mbeleni. Upinzani ni lazima uwe na agenda zenye mashiko na zakitaifa, hatuhitaji upinzani ambao ukitafuta nani anafaa kugembea urais hupati, wao ni kuchafua viongozi ambao wamebana maslahi yao, upinzani ni lazima uwe sauti ya wananchi la sivyo huo sio upinzani.
 
Ndio taarifa za chini kwa chini kwamba Dr Slaa ataibuka na chama kipya cha Umoja ( Umoja Party)

Taarifa zaidi zitawajia kwa kadri zitakavyothibitishwa hasa na watu wa ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa

Mlale unono!
watz wanapenda umbea sana. yaani watu wa ofisi ya msajili ndiyo wanavujisha mambo ya siri kuhusu vyama.
 
Hakuamini Katika Mfumo huu bandia!

Mbona Raila ni mpinzani lakini alikuwa ndio Rafiki yake mkubwa!
wasiwasi wake tu sababu alijijua hakuna na uwezo katika malumbano ya kisiasa na hapo ndipo udhaifu wake ulipokuwa.

Kwa mfano alipoitwa Dikteta uchwara alishindwa kabisa kuvumilia na kuwaambia watanzania kwamba yeye si dikteta, sasa badala yake alifanya kile anakiona ni chepesi kwake.
 
wasiwasi wake tu sababu alijijua hakuna na uwezo katika malumbano ya kisiasa na hapo ndipo udhaifu wake ulipokuwa.

Kwa mfano alipoitwa Dikteta uchwara alishindwa kabisa kuvumilia na kuwaambia watanzania kwamba yeye si dikteta, sasa badala yake alifanya kile anakiona ni chepesi kwake.
Alimuonesha kuwa Yeye siyo Uchwara!
 
Alisaliti wachaga siyo watanzania. Watanzania alituunga mkono kwa kuondoka kweñye chama cha kikabila na kuungana na muungwana mwenzake Magufuli
hamna lolote njaa haina adabu... hainaga cha mzee wala kijana inakufanya uuze utu wako.
 
Back
Top Bottom