Dkt. Slaa kuongoza kongamano kujadili falsafa ya Hayati Magufuli

Balozi Dk Wilbroad Slaa anatarajiwa kuongoza kongamano la tafakuri tunduizi ya kumbukizi ya mwaka mmoja tangu kifo cha hayati John Pombe Magufuli...
Kwani ubalozi wa kuwakilisha nchi ulisha koma?
 
Utamsahau wewe, sisi wengine tume apa kuendeleza legacy yake na huo uwezo tunao, nguvu tunazo na sababu tunazo.
 
Ni pimbi peke yake ambaye anaamini hao uliowataja hawana wa kupinga falsafa zao!

Wa kwanza ambaye humpinga mwl ni Lisu shujaa wako, Jpm anapingwa na mamia ya watu na anakubalika kwa Mamilioni ya watanzania
 
Balozi Dk Wilbroad Slaa anatarajiwa kuongoza kongamano la tafakuri tunduizi ya kumbukizi ya mwaka mmoja tangu kifo cha hayati John Pombe Magufuli...
Dah litarushwa live au ??!
 
Mwanasiasa bora kabisa kuwahi kutokea ktk nchi hii.

Viva Dr slaaa!

Mwanasiasa mkweli asiyeyumba wala kuyumbishwa ktk misimamo yake.

Hana mvuto kwa sasa, nyota anayotaka kutembelea kwenye hilo kongamano ni aliyotoka nayo cdm. Toka ajiunge ccm nyota imefubaa.
 
Hili ni kongamano la kujadili mizimu ya jehanamu.

Ni kongamano haramu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…