Nimeiona hiyo post #6, ni video fupi ambayo haithibitishi kila neno aliloandika mleta mada pale juu, akidai ndio maneno yaliyotamkwa na Dr. Slaa..Rudi juu post #6 utamuona Dr.slaa anavoropoka kwa jazba.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Inasemekana wamenaswa kwenye maongezi ya simu zilizodukuliwa.Huu ushahidi hautoshi kuthibitisha madai ya mleta mada, huyo Dr. Slaa amezungumza maneno machache ambayo hata sekunde kumi hazijafika, halafu mmekata maneno ili kutimiza malengo yenu ovu dhidi yake.
Mlichofanya hapo ni utoto.
Kwa kesi ya uchochezi labda wangeweza kumpata. Lakini kosa la uhaini hata mimi ningekuwa ndio wakili mzee anashinda mapema sana. Kuipindua serikali ya nyumbani kwake, haijawahi kuwa uhaini. Hapa mwendesha mashtaka atakuwa na wajibu wa kuthibitisha Slaa alitaka kuipindua serikali ya jamhuriya muungano wa Tanzania.WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi
"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"
"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"
"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Kubadilishiwa mashtaka sio justification ya huu usanii mlioleta hapa, msijidanganye kama watoto wadogo kwa mihemko yenu ya kidini.Hatupo mahakamani hapa.
Jiulize kwanini Slaa kabadilishiwa shtaka baada ya kufanyiwa upekuzi nyumbani kwake? Na kwanini katolewa na kupelekwa Mbeya?
Haya mambo si madogo.
Tunangoja sasa na wa mikoa mengine. Hao naona itakuwa kimya kimya, tunawastukia mahakamani tu.
Hoja za DP World zinahusisha kupindua Serikali?watu weusi tunashida sana..
Hoja zao juu ya mkataba wa dp world zijibiwe kwa hoja sio mabavu na mkono wa chuma. Nchi ni yetu wote, nia yao IPO clear kabisa ni kujaribu kulinda rasilimali za nchi.
Mbona hujielewi, kwa hiyo ushahidi ni video uliyotuwekea pale juu, au ni hiyo simu iliyodukuliwa?Inasemekana wamenaswa kwenye maongezi ya simu zilizodukuliwa.
Vyote kwa pamoja Babu ananing'iniaMbona hujielewi, kwa hiyo ushahidi ni video uliyotuwekea pale juu, au ni hiyo simu iliyodukuliwa?
Nyie ni wajinga.
Aise umetaka nimekuonesha bado unalalamika ni fupi unataka ndefu wewe mbona unapenda ndefu sana?Nimeiona hiyo post #6, ni video fupi ambayo haithibitishi kila neno aliloandika mleta mada pale juu, akidai ndio maneno yaliyotamkwa na Dr. Slaa..
Mna akili ndogo, mnashangilia vitu visivyo na ushahidi kama watoto..
Hii kesi imekaa vibaya.Vyote kwa pamoja Babu ananing'inia
Slaa anaweza kunyongwa hivi hivi anajiona
Aya zote nne ni maneno kutoka kwa Dr. Slaa?WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi
"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"
"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"
"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Mkuu Ritz mbona unavuka mipaka kwa kuweka maneno ambayo watanzania hawajayasikia yakitamkwa na huyo mtu kwenye vyombo vya habari recently? Nia ni nini hasa?!π€WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi
"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"
"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"
"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Umesahau Nyerere aliacha kazi yake, Madela alifungwa gerezani, Kenyatta alifungwa gerezani. Hawa hawakuwa na shida ya pesa, wala njaa, bali walisukumwa na uzalendo.Mwakubusi ameyatimba, kafutwa uwakili, kajieka kwenye matatizo makubwa, hivi angetulia zake maisha yaende kama na hela anayo angepungukiwa nn? ππ, Hivi nikifiria jinsi kuwa wakili ilivyokuwa ngumu, Yani upige vizuri advance, chuo uishone kwelikweli, school of law ule mtihani wao mgumu kumeza utoboe, bado uchaguliwe na judge mkuu, uoneshe juhudi uwe wakili, af kisa mambo ya serikali ufutwe uwakili...dooh!!
Akianza kuongea nini hadi akafikia hapo kwenye mapinduzi?View attachment 2718158
Mzee mtondoo ataubeba sana
Mbele ya sheria kosa lao ni uhaini au ni uchochezi?Kweli baadhi ya vipengele baina ya serikali na DP World vinachangamoto lakini ni kipi kilichowasukuma mpaka watoe kauli za namna hiyo?
Swali lisiwe kwamba je wana uwezo wa kupindua? Swali liwe Kipi kilochowasukuma wao kutoa kauli za kuchochea kufanya mapinduzi?
Itakuwa ni zile hoja zake za kutafuta cheap popularity baada ya kufukuzwa UbaloziAkianza kuongea nini hadi akafikia hapo kwenye mapinduzi?
Mmeshindwa kuthibitisha madai yenu dhidi ya Dr. Slaa, mmefeli.Vyote kwa pamoja Babu ananing'inia