Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Aise umetaka nimekuonesha bado unalalamika ni fupi unataka ndefu wewe mbona unapenda ndefu sana?

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Umeona kile alichoandika mleta mada pale juu upime kama kinaendana na hicho ulichonionesha?

Najua hata hiyo akili ya kuchambua mambo huna, ni kushangilia tu kama kasuku.
 
Nyuma Nyuma labda ww ndio uko mbele[emoji15][emoji12]
 
Hawa miaka yote wanasukumwa na udini tu, sio wa kuwatilia maanani.
 
Hivi kwa huu ujinga wenu hamjioni mnavyothibitisha mna chuki binafsi dhidi ya Dr. Slaa, ndio maana mmeleta uzi usio na ushahidi wa video kuthibitisha madai yenu dhidi yake?

Akili hamna kabisa.
Nilijua tu nyie wakenya mnapata tabu sana kuona Tanzania imetulia.
Nakuwekea video tena kwa mara ingine uone huyo Slaa kasema nini.
Huyu ni wa kunyonga tu.
Tazama hio video halafu nambie. Huyu anatakia mema nchi yetu?
 

Attachments

  • VID-20230814-WA0017.mp4
    276.3 KB
Kubadilishiwa mashtaka sio justification ya huu usanii mlioleta hapa, msijidanganye kama watoto wadogo kwa mihemko yenu ya kidini.
Sasa unatutuhumu sisi kwa usanii, wakati Wambura alitangaza kabla? Au ulidhani alikuwa anatania?
 
Wewe unajua madhara ya kushitakiwa kwa kesi ya Uhaini? Kwanza ujue hiyo kesi haina dhamana wanaweza kunyea MTONDOO kwa muda mrefu tu
 
Kuna uwezekano wa kufanya mapinduzi bila ya kufanya vurugu

Niger wamepindua serikali kiulani sana,bila kuchoma ofisi za umma na vituo vya POLISI,
Chama tawala cha kibaraka wa wafaransa pekee ndio muathirika.
Hata hapa kwetu CCM ndio itasurubika pekee
 
watu weusi tunashida sana..

Hoja zao juu ya mkataba wa dp world zijibiwe kwa hoja sio mabavu na mkono wa chuma. Nchi ni yetu wote, nia yao IPO clear kabisa ni kujaribu kulinda rasilimali za nchi.
we kenge hapo bandari inaiingiaje, we utakuwa mpumbavu mpaka unakufa, mbwa koko wewe, hata bandari yenyewe hujui iko wapi, mtanyooshwa mambwa nyie, mnatumia bandari kufanya mambo mengine, siyo Tanzania hii we mbwa
 
Hapo mlalamikaji ni Rais si ndio? na mashahidi watakuwa ni Tiss? pamoja na Police na wengineo?
 
we kenge hapo bandari inaiingiaje, we utakuwa mpumbavu mpaka unakufa, mbwa koko wewe, hata bandari yenyewe hujui iko wapi, mtanyooshwa mambwa nyie, mnatumia bandari kufanya mambo mengine, siyo Tanzania hii we mbwa
- unatakiwa kuelewa kiini cha Dr slaa kuongea hayo aliyoongea ni Kupinga mkataba wa Bandari, kiini hapo ni Bandari
 
Huyu Raisi mjanja sana kawasubiri Wanaharakati mpaka wamejaa wenyewe kama Senene halafu akawanyaka😁

Tundu Lissu alikuwa anaprovoke bila kuvuka red line😆
Huyo Lussu mwenyewe sijuwi kama yupo nchini, au aliachiwa asepe.
 
Hapo mlalamikaji ni Rais si ndio? na mashahidi watakuwa ni Tiss? pamoja na Police na wengineo?
Ulishamsikia Rais katia lake?

Mmepakaza wenyewe mkayazowe sasa, mama wala hana habari, anapewa briefing tu.
 
Kupinga kuuzwa kwa bandari ni Uhaini[emoji3][emoji3][emoji3]Black people bhanaa kweli bara la gizaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…