Umeona kile alichoandika mleta mada pale juu upime kama kinaendana na hicho ulichonionesha?Aise umetaka nimekuonesha bado unalalamika ni fupi unataka ndefu wewe mbona unapenda ndefu sana?
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Kasuku mmebaki na ushabiki maandazi tu.Afadhali hata Mdude kazoea jela huyo Mzee anaweza kufia huko
Hawa miaka yote wanasukumwa na udini tu, sio wa kuwatilia maanani.Mkuu Ritz mbona unavuka mipaka kwa kuweka maneno ambayo watanzania hawajayasikia yakitamkwa na huyo mtu kwenye vyombo vya habari recently? Nia ni nini hasa?![emoji848]
Je kutetea mirija ambayo mlishajijengea kwa njia zenu?
Je nia ni kuona damu ya wanaowapigania watanzania walio wengi ikimwagika kwa maslahi ya wachache?
Hii nchi ni ya wote, kila mtu ana haki ya kuongea kile kinachomjia kichwani na akivuka mipaka arekebishwe as long as kuna tatizo linalotakiwa kupatiwa muafaka.
Mbona mmefika huko kabla ya kujibu hoja za wenye maswali?
Laana itawatafuna, Kama sio nyinyi bhasi watoto wenu hakika nawaambia. It's just a matter of time
Nimesema uongo?Kasuku mmebaki na ushabiki maandazi tu.
Nilijua tu nyie wakenya mnapata tabu sana kuona Tanzania imetulia.Hivi kwa huu ujinga wenu hamjioni mnavyothibitisha mna chuki binafsi dhidi ya Dr. Slaa, ndio maana mmeleta uzi usio na ushahidi wa video kuthibitisha madai yenu dhidi yake?
Akili hamna kabisa.
Kwanini unapenda sana kuongelea udini?Hawa miaka yote wanasukumwa na udini tu, sio wa kuwatilia maanani.
Aisee.View attachment 2718158
Mzee mtondoo ataubeba sana
Sasa unatutuhumu sisi kwa usanii, wakati Wambura alitangaza kabla? Au ulidhani alikuwa anatania?Kubadilishiwa mashtaka sio justification ya huu usanii mlioleta hapa, msijidanganye kama watoto wadogo kwa mihemko yenu ya kidini.
Wewe unajua madhara ya kushitakiwa kwa kesi ya Uhaini? Kwanza ujue hiyo kesi haina dhamana wanaweza kunyea MTONDOO kwa muda mrefu tuKwa kesi ya uchochezi labda wangeweza kumpata. Lakini kosa la uhaini hata mimi ningekuwa ndio wakili mzee anashinda mapema sana. Kuipindua serikali ya nyumbani kwake, haijawahi kuwa uhaini. Hapa mwendesha mashtaka atakuwa na wajibu wa kuthibitisha Slaa alitaka kuipindua serikali ya jamhuriya muungano wa Tanzania.
Lengo kubwa la mashtaka haya ni kuwatesa wahusika ili kuwatia woga watu wengine wenye nia ya kuipinga serikali ktk suala la uwekezaji ktk bandari.
Kuna uwezekano wa kufanya mapinduzi bila ya kufanya vuruguWANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi
"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"
"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"
"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
...... hii ni akili au matope?The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa
Kwa hii kauli Dr Slaa anaweza kuchezea Kitanzi
Kamvunje Wambura anaewakamata, sisi msituingize kwenye balaa mlilojitengenezea wenyewe.Nyie watoto tu hamna lolote, tutawavunja mbavu hizo 🤣🤣🤣
we kenge hapo bandari inaiingiaje, we utakuwa mpumbavu mpaka unakufa, mbwa koko wewe, hata bandari yenyewe hujui iko wapi, mtanyooshwa mambwa nyie, mnatumia bandari kufanya mambo mengine, siyo Tanzania hii we mbwawatu weusi tunashida sana..
Hoja zao juu ya mkataba wa dp world zijibiwe kwa hoja sio mabavu na mkono wa chuma. Nchi ni yetu wote, nia yao IPO clear kabisa ni kujaribu kulinda rasilimali za nchi.
- unatakiwa kuelewa kiini cha Dr slaa kuongea hayo aliyoongea ni Kupinga mkataba wa Bandari, kiini hapo ni Bandariwe kenge hapo bandari inaiingiaje, we utakuwa mpumbavu mpaka unakufa, mbwa koko wewe, hata bandari yenyewe hujui iko wapi, mtanyooshwa mambwa nyie, mnatumia bandari kufanya mambo mengine, siyo Tanzania hii we mbwa
Huyo Lussu mwenyewe sijuwi kama yupo nchini, au aliachiwa asepe.Huyu Raisi mjanja sana kawasubiri Wanaharakati mpaka wamejaa wenyewe kama Senene halafu akawanyaka😁
Tundu Lissu alikuwa anaprovoke bila kuvuka red line😆
Ulishamsikia Rais katia lake?Hapo mlalamikaji ni Rais si ndio? na mashahidi watakuwa ni Tiss? pamoja na Police na wengineo?
Aende wapi Jemadari wetu Tundu Lissu?Huyo Lussu mwenyewe sijuwi kama yupo nchini, au aliachiwa asepe.