Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Mpk sasa serikal haijajibu swali lolote la wakosoaji , wanajibu maswali yao wenyew , ila hawawez sema mkataba wa muda gan
Upo dunia hii?

Kaisome hukumu iliyotolewa mahakamani.
 
Ndio nikasema jifunze sheria kwanza kabla ya kuja hapa kujadili masuala ya sheria
Anaehukumiwa kifo anawekwa MAHABUSU kusubiri siku yake ya kunyongwa.
Jela anapelekwa mtu ambae amehukumiwa kifungo cha muda flani.
Iwe mwaka au maisha.
Na hizo mahabusu mara nyinginr zinakuwa humo humo kwenye ukuta wa jela.

Nadhani leo utakuwa umejifunza kitu hapa.
Unachanganya maelezo! Je,hukumu hiyo hutekelezwa na nani!?
 
Mwakubusi ameyatimba, kafutwa uwakili, kajieka kwenye matatizo makubwa, hivi angetulia zake maishtia yaende kama na hela anayo angepungukiwa nn? 😂😂, Hivi nikifiria jinsi kuwa wakili ilivyokuwa ngumu, Yani upige vizuri advance, chuo uishone kwelikweli, school of law ule mtihani wao mgumu kumeza utoboe, bado uchaguliwe na judge mkuu, uoneshe juhudi uwe wakili, af kisa mambo ya serikali ufutwe uwakili...dooh!!
- Mwabukusi bado ni Wakili,ameshitakiwa tu kwenye Kamati ya Mawakili,hajakutwa na hatia.
-
That's is out of this thread.
Hapa tunajadili huyu mhalifu Dr Slaa . Huyu lzm akamatwe na mwisho ni Kunyongwa.
Ukitaka kujifunza kitu kutoka kwangu anzisha uzi kisha nialike tujadili hayo maswali yako.
Ahsantaa
-mbona umeogopa kutaja sheria unazozijua

- hii haiko nje ya mada ulijinasibu kuwa unajua sheria since vita ya Kagera
-inshort hujui sheria yoyote.
 
Babu kaukalia teh teh sasa itakuwa Babu na mtondoo mtondoo na Babu.

Sisi yetu macho tu
 
Unachanganya maelezo! Je,hukumu hiyo hutekelezwa na nani!?
Labda nikusaidie tena.
TANZANIA HUKUMU ZOTE ZINATOLEWA NA HAKIMU WA MAHAKAMA.
iwe hukumu ya kulipa faini ya elf 1 au hukumu ya KIFO.
zote zinatolewa na Hakimu .
Tofauti inakuwa ni mahakama gani inatoa hukumu gani.
 
Labda nikusaidie tena.
TANZANIA HUKUMU ZOTE ZINATOLEWA NA HAKIMU WA MAHAKAMA.
iwe hukumu ya kulipa faini ya elf 1 au hukumu ya KIFO.
zote zinatolewa na Hakimu .
Tofauti inakuwa ni mahakama gani inatoa hukumu gani.
-hukumu ya kunyongwa inatolewa na Jaji au hakimu aliyeongezewa mamlaka
-na sio hukumu zote zinatolewa na mahakimu
 
Upo dunia hii?

Kaisome hukumu iliyotolewa mahakamani.
Kwamba muda wa mkataba umetajwa na mahakama? hv madai ya muda wa mkataba yalianza tajwa baada ya kesi au hata kabla ya kesi? Je kuna hata mmoja either wa ccmu au serikali au bunge waliojib?
 
WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi

"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"

"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"

"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Mkuu wa majeshi
 
- ndio ujue hujui kitu
Fools have a fixed mindset
They always bring up stupid logic to support their theory
Despite what you mention or say, they will always try to bring you down to their playing field
They believe their ways to be correct, and they are the only ways that will work for anyone
They are never open to new ideas
They will go to any level to prove their point.
Good day nicompoop
 
Yaani wewe umeamua kukata kakipande haka tu ili ku justify uhaini wa Dr Slaa?

Mazungumzo yake yote kuanzia mwanzo mpaka hapo yako wapi ili tupate mantiki ya hoja yote?
Nadhani ni Star TV
 
WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi

"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"

"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"

"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Acheni upumbavu. Hayo maneno kayatamka au kuyaandika mtandao gani? Au wewe ni Kingai kuanza kulisha watu uongo mpuuzi wewe!! Watakuamini wapuuzi wenzio.
 
Mnatunga uongo wa kihinga kama uleule wa siku zote , lakini mtadhalilika tu
Shujaa wa nyuma ya keyboard upo? Itisha maandamano ya kupinga kina Mdude kukamatwa. Ila wewe na kikundi kidogo cha Mbowe ndani ya CHADEMA huwa ni wajanja hamwendi front kizembe kama Mdude. Sasa hivi mko makwenu mnajilambia asali wakati Mdude akipigwa baridi kwenye sakafu za mahabusu.
 
Nimepata habari kuwa Mdude na Mwambukusi wako hoi kwa sababu ya kugoma kula
 
Back
Top Bottom